Curriculum Specialist
JF-Expert Member
- Oct 8, 2007
- 2,732
- 750
- Thread starter
- #81
Ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha! Mkuu hebu badili kwanza title ya habari...
Watu wambeya haya nimeshabadili tittle! Soma content sasa!
Ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha! Mkuu hebu badili kwanza title ya habari...
Wiki nzima magazeti yamepata cha kuandika kuanzia ya shigongo mpaka ya mzalendo.poor tzYule mtu aliyedaiwa kuwa ni mwanajeshi wa JWTZ wa kikosi cha monduli emetiwa mbaroni leo kwa ushirikiano wa jeshi la wananchi na Police. Uchunguzi wa awali umebaini kuwa kijana huyu hakuwa mwanajeshi wa JWTZ kama alivyojitambulisha kwa waandishi wa habari ila aliwahi kuwa JKT na akaacha, ila amekuwa akivaa ngua hizo za jeshi kwa miaka mingi na wananchi wa melerani wanamtambua kama mwanajeshi. Maswali ya kujiuliza inakuwaje raia anavaa nguo za jeshi kwa miaka mingi bila kuchukuliwa hatua, hayo mavazi kayapata wapi? Je Lema asingepiga picha naye angejulikanaje kuwa ni raia anavaa nguo za jeshi na kujitambulisha kama mwanajeshi???
Yule mtu aliyedaiwa kuwa ni mwanajeshi wa JWTZ wa kikosi cha monduli emetiwa mbaroni leo kwa ushirikiano wa jeshi la wananchi na Police. Uchunguzi wa awali umebaini kuwa kijana huyu hakuwa mwanajeshi wa JWTZ kama alivyojitambulisha kwa waandishi wa habari ila aliwahi kuwa JKT na akaacha, ila amekuwa akivaa ngua hizo za jeshi kwa miaka mingi na wananchi wa melerani wanamtambua kama mwanajeshi. Maswali ya kujiuliza inakuwaje raia anavaa nguo za jeshi kwa miaka mingi bila kuchukuliwa hatua, hayo mavazi kayapata wapi? Je Lema asingepiga picha naye angejulikanaje kuwa ni raia anavaa nguo za jeshi na kujitambulisha kama mwanajeshi???
Watu wambeya haya nimeshabadili tittle! Soma content sasa!
yuko kituo gani?
kila nchi ina sheria zake kutegemeana mazingira yake mfano huku ukiachia hali hiyo watu watumia caver kufanyia ujambazi utapeli kama huyu aliewatapeli wabunge wetu kwakujifanya askari wakati hali halisi askari alie kazini hata aliestaafu hawezi fanya hivi.Naomba kuuliza mbona nchi za wenzetu mfano Itali spain Urusi raia wao wanasafiri wakiwa wamezivaa nguo zinazo fanana na sare za jeshi lao iweje huku kwetu imekuwa ni makosa kuvaa au kubeba kitu chenye rangi ya kjeshi?
's wastageOnly in Tanzania. Huyo 'mwanajeshi' fast tu amekamatwa, lakini wezi wa EPA, wenye ela nje na mafisadi wa hapa mjini (mfano Jeetu Patel, baba yake wa kambo Nape), inakuwa ngumu kuwakamata au kuwachukulia hatua. Wanyarwanda waliojaa hapa town for special mission hawakamatwi, kweli hii ndo bongo...
ye si alisema mwanajeshi lazima ahojiwe yuko kambi gani hapa Tz na kama si mwanajeshi sare alizipataje na kwanii alifanya vile kule jeshini kila fani ipo atashugilikiwa ondoa hofu.Wanajeshi wa monduli waliondoka nae wameenda nae jeshini! Sasa kama siyo mwanajeshi wamempeka jeshini wa nini alipaswa apelekwe police akafunguliwa jalada apelekwe mahakamani!
Hakuna mwanajeshi anayefahamu maadili ya kazi yake angeweza kufanya alichokifanya huyu jamaa. Kuna kila sababu kuamini kuwa alikuwa raia ambaye anamiliki mavazi ya jeshi. Hata hivyo hii haina maana kuwa jeshi la usalama lilikuwa halijui kuwa huyo siyo askari na anavaa nguo hizo kimakosa lakini kwa sababu za kujuana wamekuwa wakimuacha hivyo.
ndio awe mwanajeshi au asiwe lazima apelekwe kwanza jeshini akajieleze kama raia itajulikana kama mwanajeshi atashuhurikia kwa mujibu wa taratibu zao wale jamaa wanamekamilika kila idara mfano: polisi, mahama, madaktal,usalama kila fani baba mi nina imani atashugulikiwa tu ondoa hofu.Wanajeshi wa monduli waliondoka nae wameenda nae jeshini! Sasa kama siyo mwanajeshi wamempeka jeshini wa nini alipaswa apelekwe police akafunguliwa jalada apelekwe mahakamani!
Nilishasema haihitaji kwenda shule kujua yule sio mwanajeshi....
Kwa hiyo Lema Kapigwa Changa La Macho
Chama makini hakiwezi kupiga picha na wakora wanao vaa nguo za jesho kutisha raia halafu kikajitetea eti yule ni mwanajeshi na jeshi linawaonea--fuatilia kauli za mnyika. Hahaha ni aibu sana kwa chadema inabidi iwe inafanya sorting ya nini cha kufanya hasa katika siasa hizi za ushindanni. Utoto umezidi upunguzwe. Yaelekea huyu mpiga picha alipangwa na alikodishwa kufanya hiyo kazi ya kughiribu watanzania eti jwtz inamuunga mkono lema. Kweli hata vikosi vya jeshi chadema haivifaamu amakweli kazi ipo
Nimecheka mpaka nimeumwa na kichwa
Yule mtu aliyedaiwa kuwa ni mwanajeshi wa JWTZ wa kikosi cha monduli emetiwa mbaroni leo kwa ushirikiano wa jeshi la wananchi na Police. Uchunguzi wa awali umebaini kuwa kijana huyu hakuwa mwanajeshi wa JWTZ kama alivyojitambulisha kwa waandishi wa habari ila aliwahi kuwa JKT na akaacha, ila amekuwa akivaa ngua hizo za jeshi kwa miaka mingi na wananchi wa melerani wanamtambua kama mwanajeshi. Maswali ya kujiuliza inakuwaje raia anavaa nguo za jeshi kwa miaka mingi bila kuchukuliwa hatua, hayo mavazi kayapata wapi? Je Lema asingepiga picha naye angejulikanaje kuwa ni raia anavaa nguo za jeshi na kujitambulisha kama mwanajeshi???