'Mwanajeshi' aliyepiga Picha na Lema Mbaroni

'Mwanajeshi' aliyepiga Picha na Lema Mbaroni

[h=2]Breaking News: Mwanajeshi aliyepiga Picha na Lema Mboroni[/h]Mbona kuna majina ya kichaga yanafanana na hilo?

Mkuu yani nimecheka mpaka tumbo linauma du...!

Hebu angalia usije ukapata ban.
 
Lema bana kamsnitch jambazi mwenzake.
Mkuu Nduka,una maanisha Kamanda Lema ni jambazi? Mkuu elewa kuna maisha baada ya kutumiwa kwenye hizi propaganda zenu,any way endelea kupokea posho zako kutoka Lumumba lakini mwisho wake hautakuwa mzuri.
 
CHADEMA, Lema, Mwanajeshi katuni, majeshi ya tanzania, wooote wanacheza.
 
Yule mtu aliyedaiwa kuwa ni mwanajeshi wa JWTZ wa kikosi cha monduli emetiwa mbaroni leo kwa ushirikiano wa jeshi la wananchi na Police. Uchunguzi wa awali umebaini kuwa kijana huyu hakuwa mwanajeshi wa JWTZ kama alivyojitambulisha kwa waandishi wa habari ila aliwahi kuwa JKT na akaacha, ila amekuwa akivaa ngua hizo za jeshi kwa miaka mingi na wananchi wa melerani wanamtambua kama mwanajeshi. Maswali ya kujiuliza inakuwaje raia anavaa nguo za jeshi kwa miaka mingi bila kuchukuliwa hatua, hayo mavazi kayapata wapi? Je Lema asingepiga picha naye angejulikanaje kuwa ni raia anavaa nguo za jeshi na kujitambulisha kama mwanajeshi???

Mnisamehe kwa neno la mwisho kwenye tittle nilimaanisha ametiwa mbaroni! Nemejaribu kuedit inanigomea naendelea na jitihada!
 
Huyu jamaa amekuwa akivaa hizi jezi siku zote na wananchi wa Melerani wanajua ni soja, huu ni uhuni wa CCM!
 
Nilishasema haihitaji kwenda shule kujua yule sio mwanajeshi....
 
Maskini weeeeee....namhurumia atapona kweli ?vitu venye incha Kali jamani.....
 
Back
Top Bottom