Hahah,Mtoa habari ulikuwa na HARAKA ya Kwenda wapi??? Hadi utuandikie Mboroni badala ya Mbaroni??? Well,kijana mwenyewe hata kwa muonekano tu alionekana sii Askari,mkao wake,MAVAZI yake,na hata tu namna alivyopozi kupiga picha zenyewe,ni basi tu NCHI imegeuzwa genge la WASEMA CHOCHOTE tukajikuta hata Nukuu za MANENO yake Huko merelani zikibeba vichwa vya habari katika magazeti,no wonder hata hapa watu hawataamini Kama kweli sii Askari Bali wataona ni usanii,hoja ya kwamba ALIKUWA wapi na hizo uniform asikamatwe,huenda sii mvaaji wa hizo uniform AWAPO mtaani kwake,maana kiuhalisia UNOKO wa Askari jeshi katika MAVAZI Yao unajulikana Naamini angekuwa keshakamatwa,ni AMA AMEKUWA akizivaa kwa Matukio Maalum anayoyajua yeye,au hata kujikuta MAVAZI hayo yakitumika kuhadaa watu na kuwatapeli au kufanya vitendo vibaya,Bado Kama wananchi,tunaowajibu wa kushirikiana katika kuwaibua watu wa namna hii,Kama tu kweli MAVAZI Haya AMEKUWA akiyavaa kimakosa.NA HIYO SIKU NDO AROBAINI YAKE ILIKUWA IMEFIKA.