'Mwanajeshi' aliyepiga Picha na Lema Mbaroni

'Mwanajeshi' aliyepiga Picha na Lema Mbaroni

Mahaba yamekuzidi eee....usikurupuke huyo sio Mjeshi ni Mjeshi wa Lema Jeshi halimtambui ndio maana limemkamata aeleze yuko kambi gani

Sasa YULE aliyeshikwa NDANI ya CCM-NEC yeye ni wa NANI???
 
Kwa hiyo mantiki yako inasema jambazi likijitokeza na kupiga picha n waheshimiwa wa CDM its fair game?

Oh... Kwahiyo hata yule ASKARI aliyeshikwa NDANI ya CCM-NEC ni JAMBAZI????

Or as USUAL - DOUBLE STANDARD's
 
Mkuu Mag3 Sasa mtu mwenye akili kama wewe kumsapoti mtu mweye uwezo wa kumchukua mke wako, ukamshangilia na kukenua kama huna akili nzuri, wa hovyo hapo nani?

Last but not least differentiate yourself from the sans culotes, ​the braying masses , ili uwe na any meaningful contribution to an agument.
Need I say more? However, one thing is clear, if you can brand the above ebullition of trash as meaningful contribution to an argument...then me and you? we are definitely worlds apart. I rest my case.
 
unahitajika umakini katika ukaguzi wa taasisi zetu za kijeshi, kwani inashangaza sana kwa askari huyo kuvaa gwanda kwa muda wa miaka mingi na taasisi husika isitambue, je, taasisi hizi hazina registrational documents ambazo hutumika kukagua aliopo na asiye kuwepo? please we need your attention in your authority and responsibility!!!!!

Ndugu kwa mtazamo wangu inawezekana kabisa huyu jamaa ni Mwanajeshi ila kinachofanyika hapa ni kutaka kuipotezea kiaina ili ionekane hawa viongozi wa CDM wamepiga picha na Mharifu(mambo ya siasa) kwa hali halisi ya Tanzania kwa sasa hakuna raia ambae anaweza kuvaa nguo za Jeshi na asigundulike tumeshuhudia baadhi ya nguo zinazotoka ng'ambo zikishabiiana na rangi ya JWTZ na wao wanajeshi huwakamata watu hao na kunyang'anywa nguo hizo, pia nakumbuka serikali ilitoa tanzazo ya kupiga marufuku juu ya uvaaji nguo zinazofanana na JWTZ kama sikosei (2007). Tuvute subira ukweli utajulikana kama ni mwanajeshi hautasikia mwendelezo wa sakata hili lakini kama ni raia tutasikia mwendelezo wake.
 
Need I say more? However, one thing is clear, if you can brand the above ebullition of trash as meaningful contribution to an argument...then me and you? we are definitely worlds apart. I rest my case.

You seem to be comfortable wallowing in mediocre and cheap cliches that are more or less pungent hot air.

That part of theF world that you refer and come from is a deep pit latrin.
 
kuandika usichokijua kwa uchochez ni kuatarisha usalama wa taifa letu.jaribu kufanya utafiti wa tuhuma unazotoa humu JF
 
Akimchoma kisu Lema atakuwa ametumwa au ni kichaa, hakuna mtu mwenye akili timamu anaweza kumchoma kisu mpigania haki za Wanyonge!
jibu ni kudhuriwa iwe na mwenye akili timamu au mwehu ,umakini ni jambo la kwanza kwa mtu yeyote mwenye wafuasi wazuri au wabaya. joseph kony yuko makini, joseph kabila yuko makini, M23 wako makini, kauwawa wazir mkuu wa Israel kwa kukosa umakini, kauwawa rais kennedy wa MAREKANI kwa kukosa umakini hata kupiga picha na mwanajeshi fake na kutolea mfano kuwa si yy tu ,wako wengi ni kukosa umakini .
 
Muda si mrefu utasikia watu wanaotafuta umaarufu watasema ili wasikike waonekane wanatetea haki.
 
Tanzania ya ubabaishaji,NEC ~POLICE,CHADEMA~JWTZ,MAGEREZA~?
 
Nchi hii bwana ina vituko,we acha tu!

Sasa mimi nauliza swali: Kosa la huyu jamaa ni kuvaa sare za JWTZ au kupiga picha na Lema???
Mbona tunaona hata wana muziki wa Zaire na Bongo Fleva wakti mwingine wanacheza wakiwa wamevalia nguo za jeshi na hawakamatwi?? Siku hizi ukienda kwenye mitumba unatafuta nguo za kijeshi utazikuta za kumwaga!

Kweli nji hii ina laana ya Mwenye enzi Mungu! Yaani ukionekana tu unashabikia Upinzani ni kosa la jinai!!
Kiukweli CCM wana ivuruga Tanzania ya Mwalimu Nyerere kwa interest zao!!!Kuna siku watakuja lipia.
 
Inafanywaje kumsaidia?, haya malumbalo yote naona kama ni story za kijiweni ambazo hazina way forward.

Wakati anasakwa hapa JF kulikuwa na sifa nyingi na kupakana mafuta kwa mgongo wa chupa kuhusu "kamanda huyo", leo amekamatwa kama kawaida yetu kulalamika tu. Serikali haifanyikazi kazi kwa maneno ya huruma tunayoyatoa hapa JF
 
Yule mtu aliyedaiwa kuwa ni mwanajeshi wa JWTZ wa kikosi cha Monduli ametiwa mbaroni leo kwa ushirikiano wa jeshi la wananchi na Police.

Uchunguzi wa awali umebaini kuwa kijana huyu hakuwa mwanajeshi wa JWTZ kama alivyojitambulisha kwa waandishi wa habari ila aliwahi kuwa JKT na akaacha, ila amekuwa akivaa ngua hizo za jeshi kwa miaka mingi na wananchi wa Mererani wanamtambua kama mwanajeshi.

Maswali ya kujiuliza:
Inakuwaje raia anavaa nguo za jeshi kwa miaka mingi bila kuchukuliwa hatua, hayo mavazi kayapata wapi?
Je, Lema asingepiga picha naye angejulikanaje kuwa ni raia anavaa nguo za jeshi na kujitambulisha kama mwanajeshi?


attachment.php


Original hiyo hapo, kukuruka mwanangu
View attachment 79023
 
Back
Top Bottom