kilombero yetu
JF-Expert Member
- May 6, 2011
- 1,004
- 116
jifunze kuandika kwanza ndio uchangie
Nafikiri mtoa mada hamjamwelewa vizuri, kwangu mimi naona kama labda anaendelea na maelezo, zijaona point hata moja maelezo yake yanarudia jina zito mara kibao. Msimtukane jamani mwwelewesheni.
Anayeponda gazeti la mwanahalisi nafiki atakuwa ni mmoja wa wale wanaotamba mitaani kwamba walinyweshwa maji ya bendera ja rangi fulani hivyo hawawezi kubadirika.