seedfarm
JF-Expert Member
- Feb 9, 2020
- 260
- 2,654
Wanabodi, Wabunge wa CCM walimtukana Zitto Kabwe wakati wa hayati JPM kuhusu hoja ya Zitto kuwa watoto Tanzania waliopata mimba hawapewi nafasi ya kusoma shule za kawaida
Wabunge wa CCM Wengine walitishia kumuua zito Kabwe kwa kosa kuwa anawasaliti
Wabunge wote wa CCM wakati wa JPM hawakutaka watoto wa kike waliopata mimba warudi shule kusoma kwa nafasi ya pili
Wabunge wa CCM Waliunga mkono ile hotuba ya JPM hayati kuwa Katika serikali yake hakuna mtoto aliyepata mimba kurudi shule kusoma, Lakini watoto wao wabunge na mawaziri Wakipata mimba wanaenda kusoma Kenya na uganda
Wabunge wa CCM walitukana kuwa hawa watoto ni wazazi, wananyonyesha, wapumbavu na hawana akili, Leo wamegeuka wanaunga mkono hoja ya Rais Samia na Zitto Kabwe kuwa watoto waliopata mimba wana haki ya kurudi shule kama watoto wengine
Zitto aliweka msimamo lazima watoto wa kike warudi shule na akaandika barua Benki ya dunia kuwa Serikali ya Tanzania inapokea pesa lakini hawatekelezi kitu
Kama Taifa tutaendelea na Vituko hivi vya CCM mpaka lini kwa kuwa na watu vigeugeu?
Watu wazima halafu wabunge wanakuwa vigeugeu kila wakati mara korona hakuna mara korona ipo, Mara chanjo hazifai mara chanjo ni nzuri
Hoja zote za wapinzani Bungeni wakati huo ndio sasa wana CCM wanashangilia, Walipinga hoja za upinzani huku wakimwimbia hayati JPM kila nyimbo ya ufalme, Leo wanakubaliana na hoja za mtu waliyesema msaliti
Mambo ya CCM yanasikitisha sana
Ni dhahiri wabunge wa CCM hawana uwezo wa kujenga hoja bungeni
Wabunge wa upinzani ndio wenye uwezo mkubwa wa kujenga hoja na kuisaidia nchi, Hoja hizi waliziongea sana akina Zitto, Msigwa na wenzao lakini wabunge wa CCM walizikataa halafu Leo wanaunga mkono wakati wa Rais Samia
1.Hoja zao nyingi wapinzani kama elimu ya usawa kwa mtoto wa kike na kumpa fursa ya kusoma bila kumtenga kwani ana umri mdogo apatapo mimba Leo ndio hoja kuu ya CCM
2. Kuwa uchumi unaporomoka
3. Korona ipo, Chanjo muhimu
4. Serikali inakopa pesa nyingi kwa siri
5. Vyombo vya habari vinabanwa Leo Polepole analia kuandikwa na Raia mwema
6. Wamachingwa wanadanganywa na serikali kuna siku watatakiwa kufanya biashara kwa kufuata sheria, Leo Machinga wanatimuliwa
7. Umeme wa maji hauaminiki, Leo ccm wanaongelea tena Gas
Wabunge wa CCM Wengine walitishia kumuua zito Kabwe kwa kosa kuwa anawasaliti
Wabunge wote wa CCM wakati wa JPM hawakutaka watoto wa kike waliopata mimba warudi shule kusoma kwa nafasi ya pili
Wabunge wa CCM Waliunga mkono ile hotuba ya JPM hayati kuwa Katika serikali yake hakuna mtoto aliyepata mimba kurudi shule kusoma, Lakini watoto wao wabunge na mawaziri Wakipata mimba wanaenda kusoma Kenya na uganda
Wabunge wa CCM walitukana kuwa hawa watoto ni wazazi, wananyonyesha, wapumbavu na hawana akili, Leo wamegeuka wanaunga mkono hoja ya Rais Samia na Zitto Kabwe kuwa watoto waliopata mimba wana haki ya kurudi shule kama watoto wengine
Zitto aliweka msimamo lazima watoto wa kike warudi shule na akaandika barua Benki ya dunia kuwa Serikali ya Tanzania inapokea pesa lakini hawatekelezi kitu
Kama Taifa tutaendelea na Vituko hivi vya CCM mpaka lini kwa kuwa na watu vigeugeu?
Watu wazima halafu wabunge wanakuwa vigeugeu kila wakati mara korona hakuna mara korona ipo, Mara chanjo hazifai mara chanjo ni nzuri
Hoja zote za wapinzani Bungeni wakati huo ndio sasa wana CCM wanashangilia, Walipinga hoja za upinzani huku wakimwimbia hayati JPM kila nyimbo ya ufalme, Leo wanakubaliana na hoja za mtu waliyesema msaliti
Mambo ya CCM yanasikitisha sana
Ni dhahiri wabunge wa CCM hawana uwezo wa kujenga hoja bungeni
Wabunge wa upinzani ndio wenye uwezo mkubwa wa kujenga hoja na kuisaidia nchi, Hoja hizi waliziongea sana akina Zitto, Msigwa na wenzao lakini wabunge wa CCM walizikataa halafu Leo wanaunga mkono wakati wa Rais Samia
1.Hoja zao nyingi wapinzani kama elimu ya usawa kwa mtoto wa kike na kumpa fursa ya kusoma bila kumtenga kwani ana umri mdogo apatapo mimba Leo ndio hoja kuu ya CCM
2. Kuwa uchumi unaporomoka
3. Korona ipo, Chanjo muhimu
4. Serikali inakopa pesa nyingi kwa siri
5. Vyombo vya habari vinabanwa Leo Polepole analia kuandikwa na Raia mwema
6. Wamachingwa wanadanganywa na serikali kuna siku watatakiwa kufanya biashara kwa kufuata sheria, Leo Machinga wanatimuliwa
7. Umeme wa maji hauaminiki, Leo ccm wanaongelea tena Gas