Mwanafunzi wangu amenidhalilisha

MTU UNA HIPS KAMA BASHITE AFU UNAVAA MODO DARASANI UNATEGEMEA NN???
 
kweli wanaume tunazidi kupungua................
 
Reactions: B40
Teacher ungetuonesha pc yako ingekuwa poa kweli
Ili kuepusha dhana baina ya ww na your students wako
 
Vitu kama unavipotezea...sio utangaze hadharani mkuu watu watakufikilia vibaya shauri yako [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
je unazingatia haiba ya mwalimu anayotakiwa kuwa nayo? maana nyie walimu wa siku hiz hatari tupu..mnavaa surual za kubana na mashati yaani kiufupi wengi wenu hamna maadili.
 
Kwenye maisha kuna vitu unaweza kuchagua kua navyo na vingine huna uwezo wa kuchagua kua navyo au kuto kua navyo; kimoja wapo ni mwonekano wako wa sura hilo hupangi wewe; yawezekana wewe unafanana na mama yako na sio baba yako, that much is out of your capacity, you cant change it ni suala la Mungu na wala sio wazazi wako wala wewe, ni issue ya uumbaji wa Mungu mwenyewe. So yawezekana kweli umefanana na dada yao huwezi jua. Nakupongeza sana kwa jinsi ulivyo wa treat hao watoto cause ungewapiga ukweli ni kwamba wala wasingeelewa kosa lao ni lipi, wao wanaona umefanana na dada yao and that is not one of their mistake. Kweli wewe ni mwalimu na mimi nakupongeza. Nimeandika haya nikiwa sijasoma comment ya mtu hata mmoja kwenye uzi wako so sielewi stands za wenzangu concerning this, to me I give you 5
 
Reactions: B40
fuga ndefu, acha kuonyesha onyesha simu kwa wanafunzi na hasa kujipigapiga selfie huku wakiona-inasemekana wanaume wanaopeda kujipiga/au kupigwa picha wana genes za kike
 
Reactions: B40
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…