Mwanafunzi wangu amenidhalilisha

Mwanafunzi wangu amenidhalilisha

Ila watoto wa siku hizi na wenyewe pia ni shida tu,pole Mwl check hasa uvaaji wako na matamshi yako.mwili mshukuru mungu tu maana ndivyo ulivyoumbwa usikufuru.
 
  • Thanks
Reactions: B40
Ila watoto wa siku hizi na wenyewe pia ni shida tu,pole Mwl check hasa uvaaji wako na matamshi yako.mwili mshukuru mungu tu maana ndivyo ulivyoumbwa usikufuru.
Matamshi Na uvaaji huwezi kunikamata hapo mkuu,sema watoto maadili ni shida toka nyumbani
 
Wakuu wenzangu poleni na majukumu ya ujenzi wa taifa letu.

Naomba nijitambulishe, mimi ni mwalimu wa shule za English medium, yaani shule za mchepuo wa lugha ya kiingereza.

Huwa nafundisha madarasa ya mtihani, wale darasa la saba na darasa la nne. Tatizo limeanzia baada ya mwalimu mwenzetu mmoja anayefundisha darasa la tatu kwenda masomoni, sasa nikiwa kama mwalimu wa taaluma niliamua kugawa vipindi vya mwalimu huyu kwa wengine na mimi nikachukua somo la sayansi.

Sasa Leo nikiwa katika kipindi nafundisha na kuandika notisi,kuna kitu cha ajabu kilitokea, mtoto mmoja wa kike aliita sir, nikageuka kumsikiliza akasema"mwalimu Neema kasema eti huyu mwalimu ilibidi awe msichana"(mimi)

Wakuu mwili ulikufa ganzi, nikaishiwa pozi, ilibidi nipotezee ili kuwatuliza wanafunzi maana niliona walidhani labda nitahamaki, kisha nikawaelekeza wale watoto wawili wake ofisini baada ya kipindi.

Walipofika nikataka kiini cha Neema kusema vile akasema akaniangalia nilivyo eti nimefanana na dada yake Dah! Nilikasirika sana ila Neema akajitetea kuwa hata rafiki yake aliemtaja yeye naye husema hivyo hivyo.

Niliwaonya wale wanafunzi kwa kuwapa counselling tu, sikuwaadhibu

Je, wakuu ingekuwa ni wewe ungechukua hatua gani, ili kama nimekosea niboreshe.

HAO NI WATOTO, HAKUNA UDHALILISHWAJI HAPO. MI NINGEAMBIWA HIVYO NA MTOTO NINGETABASAMU NA MAISHA YANGEENDELEA.
 
  • Thanks
Reactions: B40
"Shooga unanionea buure"nimeukumbuka tu huu wimbo!
 
  • Thanks
Reactions: B40
Wakuu wenzangu poleni na majukumu ya ujenzi wa taifa letu.

Naomba nijitambulishe, mimi ni mwalimu wa shule za English medium, yaani shule za mchepuo wa lugha ya kiingereza.

Huwa nafundisha madarasa ya mtihani, wale darasa la saba na darasa la nne. Tatizo limeanzia baada ya mwalimu mwenzetu mmoja anayefundisha darasa la tatu kwenda masomoni, sasa nikiwa kama mwalimu wa taaluma niliamua kugawa vipindi vya mwalimu huyu kwa wengine na mimi nikachukua somo la sayansi.

Sasa Leo nikiwa katika kipindi nafundisha na kuandika notisi,kuna kitu cha ajabu kilitokea, mtoto mmoja wa kike aliita sir, nikageuka kumsikiliza akasema"mwalimu Neema kasema eti huyu mwalimu ilibidi awe msichana"(mimi)

Wakuu mwili ulikufa ganzi, nikaishiwa pozi, ilibidi nipotezee ili kuwatuliza wanafunzi maana niliona walidhani labda nitahamaki, kisha nikawaelekeza wale watoto wawili wake ofisini baada ya kipindi.

Walipofika nikataka kiini cha Neema kusema vile akasema akaniangalia nilivyo eti nimefanana na dada yake Dah! Nilikasirika sana ila Neema akajitetea kuwa hata rafiki yake aliemtaja yeye naye husema hivyo hivyo.

Niliwaonya wale wanafunzi kwa kuwapa counselling tu, sikuwaadhibu

Je, wakuu ingekuwa ni wewe ungechukua hatua gani, ili kama nimekosea niboreshe.
Punguza kujipodoa mwalimu,
 
  • Thanks
Reactions: B40
Mkuu uwezo wako Wa kufikiri ni mdg sana
Kwa hiyo wewe uwezo wako ni mkubwa ukaamini ni kweli unafanana na huyo dada? Ok poa tu. hata mimi nikikuangalia naona unafanana fanana na shangazi yangu.
 
Back
Top Bottom