Mwanafunzi wangu amenidhalilisha

Mwanafunzi wangu amenidhalilisha

Kwenye maisha kuna vitu unaweza kuchagua kua navyo na vingine huna uwezo wa kuchagua kua navyo au kuto kua navyo; kimoja wapo ni mwonekano wako wa sura hilo hupangi wewe; yawezekana wewe unafanana na mama yako na sio baba yako, that much is out of your capacity, you cant change it ni suala la Mungu na wala sio wazazi wako wala wewe, ni issue ya uumbaji wa Mungu mwenyewe. So yawezekana kweli umefanana na dada yao huwezi jua. Nakupongeza sana kwa jinsi ulivyo wa treat hao watoto cause ungewapiga ukweli ni kwamba wala wasingeelewa kosa lao ni lipi, wao wanaona umefanana na dada yao and that is not one of their mistake. Kweli wewe ni mwalimu na mimi nakupongeza. Nimeandika haya nikiwa sijasoma comment ya mtu hata mmoja kwenye uzi wako so sielewi stands za wenzangu concerning this, to me I give you 5
Nashukuru sana mkuu kwa tathimini iliyo balanced.
 
fuga ndefu, acha kuonyesha onyesha simu kwa wanafunzi na hasa kujipigapiga selfie huku wakiona-inasemekana wanaume wanaopeda kujipiga/au kupigwa picha wana genes za kike
Sikumbuki lini nilipiga selfie
 
Daah, pole sana. Ila hongera kwa kuwapa counselling. Maana angekuwa mwingine hapo walishachezea mpaka ngumu.
 
  • Thanks
Reactions: B40
Wakuu wenzangu poleni na majukumu ya ujenzi wa taifa letu.

Sasa Leo nikiwa katika kipindi nafundisha na kuandika notisi,kuna kitu cha ajabu kilitokea, mtoto mmoja wa kike aliita sir, nikageuka kumsikiliza akasema"mwalimu Neema kasema eti huyu mwalimu ilibidi awe msichana"(mimi)

Je, wakuu ingekuwa ni wewe ungechukua hatua gani, ili kama nimekosea niboreshe.
Ningewaambia "Peale, Speak English"
 
Asante ila nilifikiria kuacha kufundisha hillo darasa
Hapana mkuu ni utoto wao tu.
Binamu yangu wa like aliwahi niambia *mama ni mjoma sema mjomba anavaa suruali* akieleza jinsi mama yake alivyofanana na mjomba wake..ni tabia za kawaida kabisa yaani...
 
  • Thanks
Reactions: B40
Hapana mkuu ni utoto wao tu.
Binamu yangu wa like aliwahi niambia *mama ni mjoma sema mjomba anavaa suruali* akieleza jinsi mama yake alivyofanana na mjomba wake..ni tabia za kawaida kabisa yaani...
 
Wala hamna tatizo hapo, hao ni watoto tu. Huwa wana tabia ya kudadisi na kutaka kujua mengi. Sema wanadadisi kwa namna mbali mbali, Wala hawajui kwa nini kuna mwanaume na mwanamke mkuu... Huwa wanaongea tuu
 
Back
Top Bottom