Mwanafunzi wangu amenidhalilisha

Mwanafunzi wangu amenidhalilisha

Wakuu wenzangu poleni na majukumu ya ujenzi wa taifa letu.

Naomba nijitambulishe, mimi ni mwalimu wa shule za English medium, yaani shule za mchepuo wa lugha ya kiingereza.

Huwa nafundisha madarasa ya mtihani, wale darasa la saba na darasa la nne. Tatizo limeanzia baada ya mwalimu mwenzetu mmoja anayefundisha darasa la tatu kwenda masomoni, sasa nikiwa kama mwalimu wa taaluma niliamua kugawa vipindi vya mwalimu huyu kwa wengine na mimi nikachukua somo la sayansi.

Sasa Leo nikiwa katika kipindi nafundisha na kuandika notisi,kuna kitu cha ajabu kilitokea, mtoto mmoja wa kike aliita sir, nikageuka kumsikiliza akasema"mwalimu Neema kasema eti huyu mwalimu ilibidi awe msichana"(mimi)

Wakuu mwili ulikufa ganzi, nikaishiwa pozi, ilibidi nipotezee ili kuwatuliza wanafunzi maana niliona walidhani labda nitahamaki, kisha nikawaelekeza wale watoto wawili wake ofisini baada ya kipindi.

Walipofika nikataka kiini cha Neema kusema vile akasema akaniangalia nilivyo eti nimefanana na dada yake Dah! Nilikasirika sana ila Neema akajitetea kuwa hata rafiki yake aliemtaja yeye naye husema hivyo hivyo.

Niliwaonya wale wanafunzi kwa kuwapa counselling tu, sikuwaadhibu

Je, wakuu ingekuwa ni wewe ungechukua hatua gani, ili kama nimekosea niboreshe.
ana kuona udindishi.mpe siku moja ili haka wambie watoto kuwa yule ni mwanaume
 
Inawezekana mkuu una wowowo ndo maana ulipowategea mgongo watoto walikuchunguzaaa wakahitimisha kwamba hilo wowowo ni la mwanamke siyo la mwanaume!
 
Wakuu wenzangu poleni na majukumu ya ujenzi wa taifa letu.

Naomba nijitambulishe, mimi ni mwalimu wa shule za English medium, yaani shule za mchepuo wa lugha ya kiingereza.

Huwa nafundisha madarasa ya mtihani, wale darasa la saba na darasa la nne. Tatizo limeanzia baada ya mwalimu mwenzetu mmoja anayefundisha darasa la tatu kwenda masomoni, sasa nikiwa kama mwalimu wa taaluma niliamua kugawa vipindi vya mwalimu huyu kwa wengine na mimi nikachukua somo la sayansi.

Sasa Leo nikiwa katika kipindi nafundisha na kuandika notisi,kuna kitu cha ajabu kilitokea, mtoto mmoja wa kike aliita sir, nikageuka kumsikiliza akasema"mwalimu Neema kasema eti huyu mwalimu ilibidi awe msichana"(mimi)

Wakuu mwili ulikufa ganzi, nikaishiwa pozi, ilibidi nipotezee ili kuwatuliza wanafunzi maana niliona walidhani labda nitahamaki, kisha nikawaelekeza wale watoto wawili wake ofisini baada ya kipindi.

Walipofika nikataka kiini cha Neema kusema vile akasema akaniangalia nilivyo eti nimefanana na dada yake Dah! Nilikasirika sana ila Neema akajitetea kuwa hata rafiki yake aliemtaja yeye naye husema hivyo hivyo.

Niliwaonya wale wanafunzi kwa kuwapa counselling tu, sikuwaadhibu

Je, wakuu ingekuwa ni wewe ungechukua hatua gani, ili kama nimekosea niboreshe.
Sometime watoto hata watu wazima hudhani mwanaume handsome alitakiwa awe msichana, nahisi utakuwa hansome hatari!
 
Mkuu unge apply knowledge ya Operant Conditioning Theory ambayo imekuwa

developed by American Psychologist B. F. Skinner

Ww apo ulichokifanya ni negative punishment bora ungetumia Positive Punishment ili jambo hilo lisijekujirudia tena Darasani Uamuzi huo ulioufanya upande wangu naona nimakosa hapo ilikuwa inaitajika Adhabu alafu ndo ije hiyo Counselling
 
  • Thanks
Reactions: B40
Mkuu unge apply knowledge ya Operant Conditioning Theory ambayo imekuwa

developed by American Psychologist B. F. Skinner

Ww apo ulichokifanya ni negative punishment bora ungetumia Positive Punishment ili jambo hilo lisijekujirudia tena Darasani Uamuzi huo ulioufanya upande wangu naona nimakosa hapo ilikuwa inaitajika Adhabu alafu ndo ije hiyo Counselling
Mkuu kama umesoma stages za mental development ,za mtaalamu Sigmund Freud ,ndizo zimenifanya nifanye hivyo nilivyofanya.
 
Kuna wimbi kubwa la vijana wa kiume wanaopenda vijitabia vya kike kuanzia ndani hadi nje. Ona sasa hadi watoto wamegundua hilo....je kwa wakubwa kuna kilichojificha? Kizazi hiki kazi ipo.
POLE
 
  • Thanks
Reactions: B40
Mkuu kama umesoma stages za mental development ,za mtaalamu Sigmund Freud ,ndizo zimenifanya nifanye hivyo nilivyofanya.
Ndiyo nmezisoma mkuu ila hapo bado utakuwa upo kwenye makosa Kumbuka

Social Learning Theory ya Albert Bandura kwamba kawaida watu hujifunza kupitia Kuiga "Imitation" kwaiyo usishangae siku nyingine mtoto mwingine akakutusi tena

Ushauri wangu

Ilikupasa kama Mwalimu Uchukue Action dhidi yao ili watoto wasijekurudia jambo hilo na wengine wasijekuiga

Kitu Chengine anapokuwa na watoto darasani au Nche ya Darasa epuka kitukinachitwa

Zero Distance Relationship

Baina yako wewe na wanafunzi jitaidi kuwa Serious kiasi chake !!
 
Kuna wimbi kubwa la vijana wa kiume wanaopenda vijitabia vya kike kuanzia ndani hadi nje. Ona sasa hadi watoto wamegundua hilo....je kwa wakubwa kuna kilichojificha? Kizazi hiki kazi ipo.
POLE
Am gentleman more than you may predict
 
Its just kids...ignore them...if u make a big deal out of it, a big deal it will become.
 
  • Thanks
Reactions: B40
Back
Top Bottom