Dream Queen
JF-Expert Member
- Nov 4, 2015
- 8,262
- 18,251
Makubwa haya.
Mkuu nimekupata lakini kama ningeshadadia ndivyo ingevuma zaidi,hivyo nilivyofanya hata my colleagues know nothing.Ndiyo nmezisoma mkuu ila hapo bado utakuwa upo kwenye makosa Kumbuka
Social Learning Theory ya Albert Bandura kwamba kawaida watu hujifunza kupitia Kuiga "Imitation" kwaiyo usishangae siku nyingine mtoto mwingine akakutusi tena
Ushauri wangu
Ilikupasa kama Mwalimu Uchukue Action dhidi yao ili watoto wasijekurudia jambo hilo na wengine wasijekuiga
Kitu Chengine anapokuwa na watoto darasani au Nche ya Darasa epuka kitukinachitwa
Zero Distance Relationship
Baina yako wewe na wanafunzi jitaidi kuwa Serious kiasi chake !!
Avatar yako tu inaonyesha mfano wa kuwa upo bombaaaaa.
Bora umeyamaliza vizuri hao watoto wadogo ungeenda mbali wangekugeuzia kivao kwa kitu cha kipuuzi, ukakimbia kazi au kumsabahi Kamanda wa mkoa ulipo.
Anyway Chunga vitu kama hivyo darasani kwako bila ya Discipline hakuna Academic achievement daima huwa hivyo maana utakuwa unafundisha lakini mwanafunzi anakuona wewe kama Katuni mbele ya Darasa hivyo hato zingatia wala kuelewa kitu darasani!!!Mkuu nimekupata lakini kama ningeshadadia ndivyo ingevuma zaidi,hivyo nilivyofanya hata my colleagues know nothing.
Mkuu Mimi sina hizo features za gay,ni mwanaume niliyekamilika ninayeweza kumridhisha mwanamke yeyote.unajua watu wengi hawatumii muda wa kutosha kujitathmini na kujijua kiundani zaidi kua wao ni akina nani...........
kuna uwezekano mkubwa hao watoto wakawa wamemsaidia mwalimu wao na hali hiyo itamfanya ajitathmini zaidi hasa kujiuliza maswali yafuatayo....je ye yupo kike kike au kiume? ikumbukwe kua sio kila mwenye jinsia ya kiume ni mwanaume rijali, hata aunty Kessy wa magomeni alikua na jongoo lakini katika akili na fikra zake alikua mtoto wa kike tena mwenye hisia za kuolewa na kushughulikiwa kisodoma.
Mkuu Mimi sina hizo features za gay,ni mwanaume niliyekamilika ninayeweza kumridhisha mwanamke yeyote.
Mkuu huwa Niko charming wakati nafundisha ili kujenga good rapport Na pupils,lakini huwa sina unnecessary jokes with them,this came as a surprise to me.Anyway Chunga vitu kama hivyo darasani kwako bila ya Discipline hakuna Academic achievement daima huwa hivyo maana utakuwa unafundisha lakini mwanafunzi anakuona wewe kama Katuni mbele ya Darasa hivyo hato zingatia wala kuelewa kitu darasani!!!
ningemwambia anipe namba ya simu ya dada yake alafu picha lingeendelea kimyakimya ili yule mwanafunzi aniite shemeji yakeJe, wakuu ingekuwa ni wewe ungechukua hatua gani,
Hivi nikikutumia picha unaweza badili muonekano wangu mkuu?Na ikiwa ninafanana Na Huyo dadake,utanisaidiaje!We jamaa unaejiita B40 ni kiaz sanaaa..
Unaambiwa tuma picha ako tutathimn kama kweli umefanana na dada Neema hutaki sasa cjui unataka ushauriwe nn?
Hii mada ingekuwa poa ungeipeleka kwa wazazi wako waijadili maana wao ndo wanakujua zaid