Mwanafunzi wangu amenidhalilisha

Mwanafunzi wangu amenidhalilisha

Ndiyo nmezisoma mkuu ila hapo bado utakuwa upo kwenye makosa Kumbuka

Social Learning Theory ya Albert Bandura kwamba kawaida watu hujifunza kupitia Kuiga "Imitation" kwaiyo usishangae siku nyingine mtoto mwingine akakutusi tena

Ushauri wangu

Ilikupasa kama Mwalimu Uchukue Action dhidi yao ili watoto wasijekurudia jambo hilo na wengine wasijekuiga

Kitu Chengine anapokuwa na watoto darasani au Nche ya Darasa epuka kitukinachitwa

Zero Distance Relationship

Baina yako wewe na wanafunzi jitaidi kuwa Serious kiasi chake !!
Mkuu nimekupata lakini kama ningeshadadia ndivyo ingevuma zaidi,hivyo nilivyofanya hata my colleagues know nothing.
 
Avatar yako tu inaonyesha mfano wa kuwa upo bombaaaaa.

Bora umeyamaliza vizuri hao watoto wadogo ungeenda mbali wangekugeuzia kivao kwa kitu cha kipuuzi, ukakimbia kazi au kumsabahi Kamanda wa mkoa ulipo.

unajua watu wengi hawatumii muda wa kutosha kujitathmini na kujijua kiundani zaidi kua wao ni akina nani...........
kuna uwezekano mkubwa hao watoto wakawa wamemsaidia mwalimu wao na hali hiyo itamfanya ajitathmini zaidi hasa kujiuliza maswali yafuatayo....je ye yupo kike kike au kiume? ikumbukwe kua sio kila mwenye jinsia ya kiume ni mwanaume rijali, hata aunty Kessy wa magomeni alikua na jongoo lakini katika akili na fikra zake alikua mtoto wa kike tena mwenye hisia za kuolewa na kushughulikiwa kisodoma.
 
  • Thanks
Reactions: B40
Mkuu nimekupata lakini kama ningeshadadia ndivyo ingevuma zaidi,hivyo nilivyofanya hata my colleagues know nothing.
Anyway Chunga vitu kama hivyo darasani kwako bila ya Discipline hakuna Academic achievement daima huwa hivyo maana utakuwa unafundisha lakini mwanafunzi anakuona wewe kama Katuni mbele ya Darasa hivyo hato zingatia wala kuelewa kitu darasani!!!
 
  • Thanks
Reactions: B40
unajua watu wengi hawatumii muda wa kutosha kujitathmini na kujijua kiundani zaidi kua wao ni akina nani...........
kuna uwezekano mkubwa hao watoto wakawa wamemsaidia mwalimu wao na hali hiyo itamfanya ajitathmini zaidi hasa kujiuliza maswali yafuatayo....je ye yupo kike kike au kiume? ikumbukwe kua sio kila mwenye jinsia ya kiume ni mwanaume rijali, hata aunty Kessy wa magomeni alikua na jongoo lakini katika akili na fikra zake alikua mtoto wa kike tena mwenye hisia za kuolewa na kushughulikiwa kisodoma.
Mkuu Mimi sina hizo features za gay,ni mwanaume niliyekamilika ninayeweza kumridhisha mwanamke yeyote.
 
Mkuu Mimi sina hizo features za gay,ni mwanaume niliyekamilika ninayeweza kumridhisha mwanamke yeyote.

basi kama wewe rijali kaza sasa mwili wako usiwe na umbo au sura ya kirembo nakushauri nenda dojo akafanye mazoezi ya judo, kung fu au krav maga.....
otherwise utazidi kudhalilika pia usiwe mpole kiivo madogo wa siku hizi hawana adabu
 
Anyway Chunga vitu kama hivyo darasani kwako bila ya Discipline hakuna Academic achievement daima huwa hivyo maana utakuwa unafundisha lakini mwanafunzi anakuona wewe kama Katuni mbele ya Darasa hivyo hato zingatia wala kuelewa kitu darasani!!!
Mkuu huwa Niko charming wakati nafundisha ili kujenga good rapport Na pupils,lakini huwa sina unnecessary jokes with them,this came as a surprise to me.
 
Ukiwa unaandika kwa Ubao itakuwa huku nyuma unawamwagia radhi jaribu kukaza viungo.
 
  • Thanks
Reactions: B40
We jamaa unaejiita B40 ni kiaz sanaaa..
Unaambiwa tuma picha ako tutathimn kama kweli umefanana na dada Neema hutaki sasa cjui unataka ushauriwe nn?
Hii mada ingekuwa poa ungeipeleka kwa wazazi wako waijadili maana wao ndo wanakujua zaid
 
  • Thanks
Reactions: B40
hahahahaha braza angalia, maana watoto huwa hawasemi uongo inawezekana matendo yako yanafanana na Neema dada yao
 
  • Thanks
Reactions: B40
Acha kunyoa nywele za kidevun, vaa nguo za suti suti, usipende kushika shika simu, usipake mafuta yeyote wala unyunyu, piga na cigar kdg
 
  • Thanks
Reactions: B40
We jamaa unaejiita B40 ni kiaz sanaaa..
Unaambiwa tuma picha ako tutathimn kama kweli umefanana na dada Neema hutaki sasa cjui unataka ushauriwe nn?
Hii mada ingekuwa poa ungeipeleka kwa wazazi wako waijadili maana wao ndo wanakujua zaid
Hivi nikikutumia picha unaweza badili muonekano wangu mkuu?Na ikiwa ninafanana Na Huyo dadake,utanisaidiaje!
 
Back
Top Bottom