Mwanafunzi wangu amenidhalilisha

Mwanafunzi wangu amenidhalilisha

Wala hamna tatizo hapo, hao ni watoto tu. Huwa wana tabia ya kudadisi na kutaka kujua mengi. Sema wanadadisi kwa namna mbali mbali, Wala hawajui kwa nini kuna mwanaume na mwanamke mkuu... Huwa wanaongea tuu
Ni kweli sema watu wameandika bila kushirikisha akili ( sio wote)
 
Wakuu wenzangu poleni na majukumu ya ujenzi wa taifa letu.

Naomba nijitambulishe, mimi ni mwalimu wa shule za English medium, yaani shule za mchepuo wa lugha ya kiingereza.

Huwa nafundisha madarasa ya mtihani, wale darasa la saba na darasa la nne. Tatizo limeanzia baada ya mwalimu mwenzetu mmoja anayefundisha darasa la tatu kwenda masomoni, sasa nikiwa kama mwalimu wa taaluma niliamua kugawa vipindi vya mwalimu huyu kwa wengine na mimi nikachukua somo la sayansi.

Sasa Leo nikiwa katika kipindi nafundisha na kuandika notisi,kuna kitu cha ajabu kilitokea, mtoto mmoja wa kike aliita sir, nikageuka kumsikiliza akasema"mwalimu Neema kasema eti huyu mwalimu ilibidi awe msichana"(mimi)

Wakuu mwili ulikufa ganzi, nikaishiwa pozi, ilibidi nipotezee ili kuwatuliza wanafunzi maana niliona walidhani labda nitahamaki, kisha nikawaelekeza wale watoto wawili wake ofisini baada ya kipindi.

Walipofika nikataka kiini cha Neema kusema vile akasema akaniangalia nilivyo eti nimefanana na dada yake Dah! Nilikasirika sana ila Neema akajitetea kuwa hata rafiki yake aliemtaja yeye naye husema hivyo hivyo.

Niliwaonya wale wanafunzi kwa kuwapa counselling tu, sikuwaadhibu

Je, wakuu ingekuwa ni wewe ungechukua hatua gani, ili kama nimekosea niboreshe.


Pole mkuu ila watoto wadogo huwa wanasema kweli ingekuwa wa sekondari ningesema labda wanekudharau, jaribu kujichunguza muonekano wako pamoja na mavazi uwapo darasani pia namna ya vitendo unapofundisha.

ukiona kuna hali ya kikekike jirekebishe haraka mkuu... au jaribu kumdadisi kiongozi yoyote wa hapo darasani kama ni monita au kiranja na atakacho kwambia jirekebishe ili usije tungwa jina maana wanafunzi nawafahamu!!
 
  • Thanks
Reactions: B40
Pole mkuu ila watoto wadogo huwa wanasema kweli ingekuwa wa sekondari ningesema labda wanekudharau, jaribu kujichunguza muonekano wako pamoja na mavazi uwapo darasani pia namna ya vitendo unapofundisha.

ukiona kuna hali ya kikekike jirekebishe haraka mkuu... au jaribu kumdadisi kiongozi yoyote wa hapo darasani kama ni monita au kiranja na atakacho kwambia jirekebishe ili usije tungwa jina maana wanafunzi nawafahamu!!
Kuhusu tabia hizo za kikekike sina
 
Fanyia kazi hayo waliokwambia wanafunzi kwa kujiweka kiume Zaidi ndugu yangu. Watoto uwa hawa-fake wanasema ukweli ingawa wamekosea tu jinsi ya kuwasilisha ujumbe kwa utoto wao. Nakushauri jitahidi kutengeneza mwonekano wa kiume kwa kufanya mazoezi ya kukuweka ukae kibabe pia vaa nguo zisizobana sana mwili wako ili usionyeshe maungo yako uenda yanaonekana kike kike. Washukuru hao watoto wamekufikishia ujumbe ambao mtu mzima asingekwambia. Pia wasamehe kama ulivyofanya maana ni watoto na wamekupa ujumbe sahihi kwa njia ya kitoto.

Kuna kipindi nilikuwa na stress sana na nikawa nakasirika ovyo, kukunja sura na kukaa peke yangu. Familia nzima ilikuwa inaogopa hali hiyo. Kuna siku last born wangu alinichana live kuwa nimekuwa baba mbaya nakasirika ovyo, siwapendi na pia nakunja sura inakuwa mbaya kama jambazi. Nilibadilika baada ya hapo maana kwa umri wake alisema tabia zangu ingawa aliwasilisha ujumbe kitoto ila nikagundua kuwa stress zangu zinawaletea matatizo na wao
 
  • Thanks
Reactions: B40
Avatar yako tu inaonyesha mfano wa kuwa upo bombaaaaa.

Bora umeyamaliza vizuri hao watoto wadogo ungeenda mbali wangekugeuzia kivao kwa kitu cha kipuuzi, ukakimbia kazi au kumsabahi Kamanda wa mkoa ulipo.
Achana na Avatar mkuu!!!mwalimu alikuwa anafundisha na anaandika ubaoni.Tambua ukiwa unaandika ukigeukia ubao wao wanafunzi unawapa mgongo na makalio.So hapo ndipo kwenye tatizo,sio avatar ni shape ya nyuma ya mwalimu.Inaonyesha anamakalio kama ya mtoto wa kolomoje
 
Pole mkuu ndo changamoto ya kazi and umetumia proffesionalism ipasavyo kumaliza tatizo
 
Achana na Avatar mkuu!!!mwalimu alikuwa anafundisha na anaandika ubaoni.Tambua ukiwa unaandika ukigeukia ubao wao wanafunzi unawapa mgongo na makalio.So hapo ndipo kwenye tatizo,sio avatar ni shape ya nyuma ya mwalimu.Inaonyesha anamakalio kama ya mtoto wa kolomoje
Haya bhana!!
 
Kabla ya kuleta hii mada hapa ulitakiwa kuwa umekwisha mpatia dose ili apate 'real information'.
 
hahaha acha kutafuta kiki bro kwa wadada wa JF wakujue wewe ni handsome!! si useme tu?
 
  • Thanks
Reactions: B40
Wakuu wenzangu poleni na majukumu ya ujenzi wa taifa letu.

Naomba nijitambulishe, mimi ni mwalimu wa shule za English medium, yaani shule za mchepuo wa lugha ya kiingereza.

Huwa nafundisha madarasa ya mtihani, wale darasa la saba na darasa la nne. Tatizo limeanzia baada ya mwalimu mwenzetu mmoja anayefundisha darasa la tatu kwenda masomoni, sasa nikiwa kama mwalimu wa taaluma niliamua kugawa vipindi vya mwalimu huyu kwa wengine na mimi nikachukua somo la sayansi.

Sasa Leo nikiwa katika kipindi nafundisha na kuandika notisi,kuna kitu cha ajabu kilitokea, mtoto mmoja wa kike aliita sir, nikageuka kumsikiliza akasema"mwalimu Neema kasema eti huyu mwalimu ilibidi awe msichana"(mimi)

Wakuu mwili ulikufa ganzi, nikaishiwa pozi, ilibidi nipotezee ili kuwatuliza wanafunzi maana niliona walidhani labda nitahamaki, kisha nikawaelekeza wale watoto wawili wake ofisini baada ya kipindi.

Walipofika nikataka kiini cha Neema kusema vile akasema akaniangalia nilivyo eti nimefanana na dada yake Dah! Nilikasirika sana ila Neema akajitetea kuwa hata rafiki yake aliemtaja yeye naye husema hivyo hivyo.

Niliwaonya wale wanafunzi kwa kuwapa counselling tu, sikuwaadhibu

Je, wakuu ingekuwa ni wewe ungechukua hatua gani, ili kama nimekosea niboreshe.
Weka picha yako mkuu tutajua cha kusema
 
Jichunguze., Kama unavaa vimodel uache mara moja., Yumkini ilo umbo lako linaonekana ni janga kama sio sura..!! Had watoto Wame notc..!!
Utakuwa unavaa nguo zinazokushika sana mwili na kuonyesha mwili wako....acha kuvaa vimodel
 
hahaha acha kutafuta kiki bro kwa wadada wa JF wakujue wewe ni handsome!! si useme tu?
Ndio mawazo yk sikulaumu,nadhani ktk mapenzi bora kutazama tabia zaidi kuliko muonekano maana hujafa hujaumbika.
 
Back
Top Bottom