Mwanafunzi wangu amenidhalilisha

Mwanafunzi wangu amenidhalilisha

Mkuu we unafikiri ni kwa nini wanafunzi wako wameamua kukufananisha na mwanamke? Jichunguze utaoata jibu. Halafu jirekebishe
 
Masogange ndo nani Na yukoje labda
32dc1d1a12d5c44e9710d65229d9c165.jpg
 
Mi nakushauri acha kupaka poda,lipstick, wanja, na uache kulambalamba midomo.
Pia kama una umbo kama la yule jamaa wa Kolomije usivae zile "Sarawili" za kubana.
 
Kuna wanaume wanakuwaga na mashauzi kama wadada.

Guess mmoja wao, tena nyie wa english kunani hizi. Siwaamini kabisa
 
Back
Top Bottom