Mwanafunzi wangu amenidhalilisha

Mwanafunzi wangu amenidhalilisha

Acha kupaka carolite mzee mzima. Hao ni wasichana waliokusema, mabraza men watakuomba utamu. Utagawa 0713.... kwa madenti wako?
Mimi sio mweupe ni chocolate
 
me nafikir matendo yako ya kike labda ndo mana unafananishwa na dada zao so jarib kuchange kiasi uwe mgum we huoni justin bieber anavo ishi kunyoa,kuvaa,tofaut na alivo yote hayo anaepuk kuitwa mzuri
Mkuu Mimi very gentleman
 
Mkuu uko serious!! hata kama mm ni mwalimu wake anapaswa kuwa Na nidhamu,ikiwa wewe ni mzazi utanielewa.
Watoto huwa wanahisi ni sahihi kusema chochote na popote. Ila wewe ni jukumu lako kuwaelimisha jinsi ya kuwasilisha Jambo katika muda na sehemu sahihi
 
  • Thanks
Reactions: B40
Pole hzo ni changamoto makazn. Tafta njia nzur ya kuiondoa hyo hari. Pia angalia dressing yako
 
  • Thanks
Reactions: B40
Watoto huwa wanahisi ni sahihi kusema chochote na popote. Ila wewe ni jukumu lako kuwaelimisha jinsi ya kuwasilisha Jambo katika muda na sehemu sahihi
Kivyovyote mkuu hili sio jambo la kuwasilisha
 
Kwa ule uvaaji wako wa vinguo vya kubana, unavyobinua midomo na kutandaza vidole...hata mi nlijua u mwanamke sema usoni ndo mtu anaweza hisi u. Mwanaume sema nawe unachukia sana ndevu? Why?mi nlimleta jamaa yangu anatoka na mwalimu maina tukiwa tumesimama jamaa akanionesha wewe kuwa ni shoga... Akashangaa shule wanaruhusu watu aina hiyo wafundishe... Ndo mtu mmoja akasema we ni mvulana... Badilika ndugu yangu
 
Pole hzo ni changamoto makazn. Tafta njia nzur ya kuiondoa hyo hari. Pia angalia dressing yako
Mkuu nadhani naongoza kuvaa kiheshima kazini
 
Wachukulie hao ni watoto,kwa watoto kuongea vituko ni kawaida.Ukiwa mwalimu lazima uwe mvumilivu.
 
  • Thanks
Reactions: B40
Back
Top Bottom