Watu wa Iringa bana.. kwani Diamond platnamz ana elimu gani
Wakiume ndugu alikuwa mfanyakazi wa idara ya mipango katika halmashauri ya kondoa.
Wakiume ndugu alikuwa mfanyakazi wa idara ya mipango katika halmashauri ya kondoa.
Kumbe hadi masters kuna disco?
Khaaa kumbe na kazi alikuwa nayo tayari
Eeeeh...... pole zake.
Kwani masters ni lazima vile??:what:
mzumbe within a semister unadisco ukiingiza vinne 2 hakuna mjadalaHvi mzumbe huwa wanadisco semister ya kwanza?
Sio kazi tu jamaa ni mkuu wa idara ya mipango kondoa
Kwani diamond ana nini mkuu