mob
JF-Expert Member
- Dec 4, 2009
- 2,262
- 1,360
Kimsingi lazima tujiulize hay maswali je huko kazi I alikuwa hajapiga hela,? Je mambo yake ya kifamilia yalikuwaje? Je huko shule alikuwa na mahusiano gani na wanafunzi wenzake na walimu wake.ukipata majibu yake ndo tuhusishe na kujichukulia maamuzi haya mikononi mwake