Fatara j Fatara
Member
- Oct 1, 2013
- 20
- 1
Mbona maisha ni zaidi ya elimu
Masters anajinyonga.????????
Kuna watu nawajua wameishia darasa la 7 wakajiendeleza english course.sasa hivi wameoa na wana kazi zao nzuri na maisha yao mazuri sana .
Uyo aliyejinyonga alale anapostahili
at least ingekuwa kafeli 1st degree ningemuelewa,otherwise ni pepo la mauti.
Mkuu huyo si wa kwanza, 2013 kuna hbr ya masters of medicine bila shaka ilikuwa kcmc alijimaliza for the same reason.
kila mtu ana threshold yake tofaut ktk ku absorb stress, na wakat mwingne watu huamini kuwa wameonewa
Muhehe huyo!
Basi mzumbe wana admit wanafunzi wa uzamili vilaza sana
Maskini, atakuwa alikuwa anajisikia aibu vip akirudi ofisini, unajua mtu umeaga na watu wote ofisin wanajua bosi kaenda kuongeza elimu sasa, na inawezekana aliondoka kwa majivuno kibao, sasa amedisco anaona kwa ofisi kuna aibu kubwa kuwa jamaa ni kilaza. R.I.P
Huyo pepo la mauti lilikuwa linamuandama mbona sisi tuna watu kibao ambao wamedisco na wamerudi makazini kama kawaida....Maskini, atakuwa alikuwa anajisikia aibu vip akirudi ofisini, unajua mtu umeaga na watu wote ofisin wanajua bosi kaenda kuongeza elimu sasa, na inawezekana aliondoka kwa majivuno kibao, sasa amedisco anaona kwa ofisi kuna aibu kubwa kuwa jamaa ni kilaza. R.I.P
kumbe kalishakuwa na kazi.. !? au kilitaka kuwa kabosi kwenye hako kaalmashauri.!? kimeeona kimecheze disco dance basikakaona kataendelea kutumwa.