Mwanafunzi ajinyonga Mzumbe.

Mwanafunzi ajinyonga Mzumbe.

tafadhali asithubutu kutuwekea hako kafoto, kanaweza kutoa fundisho kwa wanyalu ambao hawajui jinsi ya kuifunga kamba shingoni ikawa balaa.

kanaalufu ya unyalu hako ndio maana kamejitundika...
 
Wakiume ndugu alikuwa mfanyakazi wa idara ya mipango katika halmashauri ya kondoa.

kumbe kalishakuwa na kazi.. !? au kilitaka kuwa kabosi kwenye hako kaalmashauri.!? kimeeona kimecheze disco dance basikakaona kataendelea kutumwa.
 
Huyu brother namfahamu vizuri sana,,nimesikia tu kafariki lakini sikujua chanzo nini?kama kajinyonga basi kakosea sana,,maana alikuwa ni mtumishi wa halmashauri ya kondoa kama mkuu wa idara ya mipango,,rest in peace brother peter kinyasi
 
Roho ya mauti ilikuwa imemsonga huyo bwana...
 
Maskini, atakuwa alikuwa anajisikia aibu vip akirudi ofisini, unajua mtu umeaga na watu wote ofisin wanajua bosi kaenda kuongeza elimu sasa, na inawezekana aliondoka kwa majivuno kibao, sasa amedisco anaona kwa ofisi kuna aibu kubwa kuwa jamaa ni kilaza. R.I.P
 
Yaani ku disco kwa mwanafunzi wa masters ni kazi sana...atakuwa sliingia anga za lecturer tu
 
Kweli pepo la mauti, masters unajinyonga! Form four wa Mulugo mbona wanakula ujana tu kitaa? Tena alikuwa muajiriwa sasa stress ya nini? Haya bana huenda zake zilikuwa zimewadia tu.
 
Maskini, atakuwa alikuwa anajisikia aibu vip akirudi ofisini, unajua mtu umeaga na watu wote ofisin wanajua bosi kaenda kuongeza elimu sasa, na inawezekana aliondoka kwa majivuno kibao, sasa amedisco anaona kwa ofisi kuna aibu kubwa kuwa jamaa ni kilaza. R.I.P

Mpuuzi tu!mbona wapo wengi waliodisco masters wakarudi na kudanganya wamehitimu na wakapeta tu?Yuko jamaa mmoja sasa ni associate prof.alifeli masters Ujerumani akaambulia kurudi na Benz lakini jamaa aliendelea kujitangaza kuwa ana masters!Hakuacha bidii ya kusoma na hatimae alisoma SA hadi kupata PhD na sasa yuko chuo fulani sikitaji anakula bata tu!

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Kwa mzumbe mbona masters kibao tu wanadisco Sio ye wa kwanza so siamini kuhusu ugomvi na lecture
#kingkong masters wanadisco Sana tu Sema kwa kuwa ni wachache hata rate yao inakuwa ndogo.
 
Kwa mzumbe mbona masters kibao tu wanadisco Sio ye wa kwanza so siamini kuhusu ugomvi na lecture
#kingkong masters wanadisco Sana tu Sema kwa kuwa ni wachache hata rate yao inakuwa ndogo.

Basi mzumbe wana admit wanafunzi wa uzamili vilaza sana
 
Mpuuuuuuuzi mkubwa huyo! Ujue alivyoondoka kwenda kusoma Ndio wale wanafanyaga sherehe kubwaaaa as if wakirudi wameshakuwa maprofesa** nyoooo sio simple hivyo.
 
Masanilo nidanganye isaidie nini? Peter Kenyasi ndio jina uliza ofisi ya mipango kondoa watakuambia mazishi ni Njombe.masuala ya kuweka picha mi siyajui nikiwa na huo utaalam nitaweka.
 
Hvi mzumbe huwa wanadisco semister ya kwanza?
 
Inauma sana yaani wazazi wake wamehangaika nayeeee weeeee halafu umefika muda wa yeye kuwaangalia wazazi anajiondoa uhai
 
Wanadisco kaka ni suala la kuwa na sup zaidi ya Tatu kwa undergraduate masters sijui sna ila kudisco pale ni pie watu wanaondoka as if hawakuhangaika kuingia pale.uliza she ria.
 
Back
Top Bottom