klorokwini
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 8,648
- 5,139
khaaa! nimehairisha safari yangu ya kwenda kuabudu ujue nasubiri jibu!mmmh.....ngoja kwanza.......
khaaa! nimehairisha safari yangu ya kwenda kuabudu ujue nasubiri jibu!mmmh.....ngoja kwanza.......
<br /><br /><br />
<br /><br />
ahaaaaa!habari za mufindi mkuu!pale ''shimoni'' bado kinadada wanafanya harakati zao zile?pole na baridi
<br /><br /><br />
<br /><br />
Hao watoto mnacheza nao vipi wakati mnalewa?au nao ni washirika wa moja moto moja baridi?
<br />Niko chakonichako,hapa dom,napata kuku choma
<br />nipo dragonaire hapo moro karibun sana
<br />
Angalia msichanganye vyupa maana yale maji ya ilala yakikolea,huwa yanabadilisha ubongo na macho vinakosa ushirikiano.
<br />nipo nyumbani tu sina pa kwenda <br />
kama kuna mtu yupo lonely ani PM nipo hapa dar nitamfuata kiwanja <br />
napendelea savannah au callfonia..drinks nyama choma <br />
hhahaha
<br /><br /><br />
<br /><br />
Mwanaume umbea kusutwa suna ha ha ha
<br /><br /><br />
<br /><br />
habari za moro mkuu!usinikumbushe hicho kiwanja,nilimfumania dem wangu na mhadhiri wake wa mzumbe..ila sehemu nzuri sana ya kistarabu
<br />nipo dragonaire hapo moro karibun sana
<br />
<br />
mbombo ngafu mwisyugu
Bado haujaikomboa Libya tu? au bunduki la maji hilo?