Mwana JF mwenzangu uko wapi muda huu?

Leo kila nikitaka kutoka dhamira inanisuta, hasa nikimwangalia maiwaifu wangu na hili tumbo la mwezi wa mwisho na siku kadhaa! Nimekata shauri sitoki ng'o. Nye nendeni...! Anastahili kampani moo zan eva!
 
Niko NBC club posta mpya nakula mbuzi choma, je wewe mwenzangu uko wapi na nani na mnafanya nini?
 
Ndio kwanza nimeingia ofisini kwa Mwana-JF mwenzangu hapa city centre, nimempitia ili tukapate lunch hapo Brk Point. Karibuni.
 
Dah! nipo mndenyi nakamua ngararimo na maziwa mtindi, mbege pembeni ur welcome natives.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom