Mwana JF mwenzangu uko wapi muda huu?

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Feb 4, 2009
74,864
155,821
Mi niko Temeke mtaa wa Yombonatafuta sehemu muruwa nitakayo weza kupata mdudu na viondoa mawazo.
Je wewe uko wapi na unafanya nini?
 
Niko nyumbani na mama watoto na watoto wetu wawili, weekend huwa tunaitumia kwa kucheza na watoto wetu ambao huwa tunawaacha kuanzia jumatatu hadi ljumaa wakiwa na house maid.
Karibuni nyumbani kwangu mpate bia, l am very sorry sina jiko la kutengenezea nyama.
 
naelekea maeneo ya Livingstone Bar hapa Stone Town kupata moja moja then baadae naelekea zangu Kendwa rock kuna bonge la pati.
 
Niko home hapa nacheza na watoto
Bujibuji karibu sana hapa upate moja moto moja baridi
 
Ndo nakatiza kwenye mataa ya hapa Boma Ilala. Nimo ktk Gobole la Mbagala-Kawe. Kitu kipo nyomi usiulize yani ni mtiti bin Shazi a.k.a mchongoma!
 
nipo kitandan naumwa,ndo dunia wengne mnaenjoy wengne hoi,its life
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Nielekeze bwana mkubwa nije kuleta upendo palipo na chuki
<br />
<br />
Bahati mbaya uko mbali sana na nilipo
Nipo Arachuga na wewe Dar so mbalimbali
Ila karibu waweza kuja tuu
 
niko kibanda cha simu nimejikinga mvua usiulize wapi usije niambia niihamishie Mtera bure!
 
QUOTE=Wa Ndima;2444009]niko kibanda cha simu nimejikinga mvua usiulize wapi usije niambia niihamishie Mtera bure![/QUOTE]<br />
<br />
Aise si uihamishie mtera tupate umeme bana
We unakubalije inyeshe hapo isinyeshe mtera kule s
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Mkuu umejuaje? Nimekoswa hapa kona ya Taifa kibaka alitaka kujajwapua. Dah!
<br />
<br />
Angalia usije ukakosa mawasiliano bure maana vibaka wanajua kuangalia mbaya na wana macho ya kuona mbali kinoma
 
nipo kwenye usafiri wa jumuiya halafu nimekalia bansen burner (sehemu ya injini ambapo wanafunzi wengi wanakaa) naelekea maeneo ya mkwajuni..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom