Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,864
- 155,821
Mi niko Temeke mtaa wa Yombonatafuta sehemu muruwa nitakayo weza kupata mdudu na viondoa mawazo.
Je wewe uko wapi na unafanya nini?
Je wewe uko wapi na unafanya nini?
<br /><br /><br />
<br /><br />
JF ndio wapi?
<br />Ndo nakatiza kwenye mataa ya hapa Boma Ilala. Nimo ktk Gobole la Mbagala-Kawe. Kitu kipo nyomi usiulize yani ni mtiti bin Shazi a.k.a mchongoma!
<br />Niko home hapa nacheza na watoto <br />
Bujibuji karibu sana hapa upate moja moto moja baridi
<br /><br /><br />
<br /><br />
Nielekeze bwana mkubwa nije kuleta upendo palipo na chuki
<br />nipo kitandan naumwa,ndo dunia wengne mnaenjoy wengne hoi,its life
umepata nafasi ya kukaa au umesimama kama mchongoma?Ndo nakatiza kwenye mataa ya hapa Boma Ilala. Nimo ktk Gobole la Mbagala-Kawe. Kitu kipo nyomi usiulize yani ni mtiti bin Shazi a.k.a mchongoma!
<br /><br /><br />
<br /><br />
Angalia tuu wasikuchomolee kisimu chako
<br /><br /><br />
<br /><br />
Mkuu umejuaje? Nimekoswa hapa kona ya Taifa kibaka alitaka kujajwapua. Dah!