<br />Nipo Igunga..
<br />nipo kitandan naumwa,ndo dunia wengne mnaenjoy wengne hoi,its life
QUOTE=Wa Ndima;2444009]niko kibanda cha simu nimejikinga mvua usiulize wapi usije niambia niihamishie Mtera bure!
Aise si uihamishie mtera tupate umeme bana
We unakubalije inyeshe hapo isinyeshe mtera kule s
<br />niko kibanda cha simu nimejikinga mvua usiulize wapi usije niambia niihamishie Mtera bure!
<br /><br /><br />
<br /><br />
<br />
Du, umeanza kampeni nini? RA anakufa na magamba safari hii (lakini nasikia mumempigia magoti na kulamba viatu vyake) yule ni mu Iran, kujitoa mhanga hakwii.<br />
Kitendo cha dogo Nape kumtangazia kufukuzwa kilimuudhi sana. Na sasa kashikwa pabaya mbo na Msemakweli, DPP ana ushahidi, asipouanya kazi jamaa anaandika kitabu, this time both on line and hard copy.
<br />umepata nafasi ya kukaa au umesimama kama mchongoma?
<br /><font color="#2f4f4f"><i><b>Niko baa ya midadi nakunywa pombe za kiasili................</b></i></font>
<br />Mbeeyaaaaaa.... mabatini