Earthmover
JF-Expert Member
- Sep 28, 2012
- 25,975
- 25,288
baeleze baelewe !!! sayitaa
...sayu ...diri diri
baeleze baelewe !!! sayitaa
Hamna kupanic hapa, ku panic kukiniona nakuja kwenyewe kuna panic.
Labda wewe usiyelewa tofauti ya passion na panic ndiye utakayeweza ku confuse the two.
Atoe options yeye kama nani?
Nani kamtuma atoe options?
Kuna mwenzake mtu wa PR mdada katuma tweet ya maneno ya ovyo ovyo, PR firm wamemfukuzilia kazi mbali.
Mtu wa PR hajui hata PR?
Sasa huyu Mwamvita anayetakiwa kuwa msomi na hao ambao hawana talanta wana tofauti gani kama ushauri ndio huu?
Anajua kwamba kuna watu wako "on the precipice" wanasubiri mtu yeyote anayejulikana kuhalalisha mabuzi tu wapate excuse?
Anatoa message gani kwa umma sasa? Kwamba yeye kapanda kufika hapo kwa migongo ya mabuzi?
Mbona hao mabuzi, wengi wao ndiyo wauza sembe, kwani huyo jack, bahasha wake si ni fundikira ambaye naye yumo.
Sasa utachuna buzi liuza sembe halafu unusurike kufanywa punda, mwanvita nae huwa anakunywa maji ya chooni
mkuu tweeter handle yake ina m-present yeye kama mwanvita makamba a.k.a mtoto wa kitanga na sio PR wa taasisi flani.she was ryt to tweet with such a standard remark cos "mabuzi" ndo kimbilio la wadada wengi wa mujini.kwenye upunda inawabidi tuu ila sio eneo lao.
Hivi mwamvita ndo nani?
mkuu samahani bana! mi si mwenyeji sana w haya mambo! hivi kunywa maji ya chooni ndo kufanyeje?
halafu hivi huyu fundikira ndio nani? mi mbona sina idea nae kabisa?
mwamvita makamba, kupitia ukuta wake wa twitter,
amepost haya kuwaasa wadada kuhusu sembe..
Girls:
kama huna akili- hujasoma na huna kazi,
kama ni mvivu na sio mbunifu,
mpenda dezo na huwezi honest living,
mara mia 'buzi' sio sembe!.
------
mwamvita ametoa ujumbe huu mkali baada ya mwanadada mwenzie #jackie-cliff kukamatwa na sembe huko china
muda si mrefu!
habari zilizoko kwenye mitandao mingi hivi sasa zinathibitisha kuwa, mrembo huyu pichani, yuko mikononi mwa wachina
wenye hasira kali dhidi ya wachafuzi wa afya za raia wao, baada ya kudakwa na kilo nzima ya unga!!
![]()
kazi kwenu wadada (na hata wakaka pia) mnaopenda maisha ya steep slope!!
mwamvita makamba, kupitia ukuta wake wa twitter,
amepost haya kuwaasa wadada kuhusu sembe..
Girls:
kama huna akili- hujasoma na huna kazi,
kama ni mvivu na sio mbunifu,
mpenda dezo na huwezi honest living,
mara mia 'buzi' sio sembe!.
------
mwamvita ametoa ujumbe huu mkali baada ya mwanadada mwenzie #jackie-cliff kukamatwa na sembe huko china
muda si mrefu!
habari zilizoko kwenye mitandao mingi hivi sasa zinathibitisha kuwa, mrembo huyu pichani, yuko mikononi mwa wachina
wenye hasira kali dhidi ya wachafuzi wa afya za raia wao, baada ya kudakwa na kilo nzima ya unga!!
![]()
kazi kwenu wadada (na hata wakaka pia) mnaopenda maisha ya steep slope!!
kwani wanaingiziwaje haya madude matumboni mwao!?
na process za kutoa zikoje jamani?
Natamani sana niwajue wanaowabebesha huu ujauzito wa sembe!
Aisee siku wema ama diamond wakikamatwa itakuwa noma sana!
kwani wanaingiziwaje haya madude matumboni mwao!?
na process za kutoa zikoje jamani?
Kuna uzi uliwekwa hapa wa jinsi wanavyoyaingiza hayo madude tumboni, nadhani aliuleta Dr MziziMkavu mie nilijionea shida kuusoma wote.