Mwamvita Makamba: Bora buzi kuliko sembe

Mwamvita Makamba: Bora buzi kuliko sembe

Hamna kupanic hapa, ku panic kukiniona nakuja kwenyewe kuna panic.

Labda wewe usiyelewa tofauti ya passion na panic ndiye utakayeweza ku confuse the two.

Atoe options yeye kama nani?

Nani kamtuma atoe options?

Kuna mwenzake mtu wa PR mdada katuma tweet ya maneno ya ovyo ovyo, PR firm wamemfukuzilia kazi mbali.

Mtu wa PR hajui hata PR?

Sasa huyu Mwamvita anayetakiwa kuwa msomi na hao ambao hawana talanta wana tofauti gani kama ushauri ndio huu?

Anajua kwamba kuna watu wako "on the precipice" wanasubiri mtu yeyote anayejulikana kuhalalisha mabuzi tu wapate excuse?

Anatoa message gani kwa umma sasa? Kwamba yeye kapanda kufika hapo kwa migongo ya mabuzi?

mkuu tweeter handle yake ina m-present yeye kama mwanvita makamba a.k.a mtoto wa kitanga na sio PR wa taasisi flani.she was ryt to tweet with such a standard remark cos "mabuzi" ndo kimbilio la wadada wengi wa mujini.kwenye upunda inawabidi tuu ila sio eneo lao.
 
Mbona hao mabuzi, wengi wao ndiyo wauza sembe, kwani huyo jack, bahasha wake si ni fundikira ambaye naye yumo.
Sasa utachuna buzi liuza sembe halafu unusurike kufanywa punda, mwanvita nae huwa anakunywa maji ya chooni
 
Mbona hao mabuzi, wengi wao ndiyo wauza sembe, kwani huyo jack, bahasha wake si ni fundikira ambaye naye yumo.
Sasa utachuna buzi liuza sembe halafu unusurike kufanywa punda, mwanvita nae huwa anakunywa maji ya chooni

mkuu samahani bana! mi si mwenyeji sana w haya mambo! hivi kunywa maji ya chooni ndo kufanyeje?

halafu hivi huyu fundikira ndio nani? mi mbona sina idea nae kabisa?
 
mkuu tweeter handle yake ina m-present yeye kama mwanvita makamba a.k.a mtoto wa kitanga na sio PR wa taasisi flani.she was ryt to tweet with such a standard remark cos "mabuzi" ndo kimbilio la wadada wengi wa mujini.kwenye upunda inawabidi tuu ila sio eneo lao.

Unapojitambulisha kwenye public sphere kama Mwamvita Makamba, huku umeajiriwa kama Mwamvita Makamba huyu huyu, hakuna kitu utakachofanya publicly kama Mwamvita Makamba ambacho hakiwezi kuathiri na kuunganika na your professional profile.

Ningeelewa separation ya private/ public kama maneno haya angekuwa anayatoa na shoga zake in the confines of her home, privately. Ningemuona mnafiki kwa zile kelele zote za vita dhidi ya UKIMWI, lakini ningeona private/ public separation ipo.

Mtu kaenda twitter, ka tweet for the whole world to see, how do you expect anyone to grant her any measure of privacy.

Umemuona huyo mtu wa PR mwingine aliye tweet kwamba anakwenda South Africa na kubeza SA kama pango la UKIMWI?

Wamemfukuza kazi.

No "private profile" argument pale.

Kama angetaka privacy angejisajili na an anonymous profile.

Watu wana kazi zao zinazotaka a high level of professionalism, trust is what matters the most, sasa leo umekuja kiofisi unasema kampuni yetu na watu wake wako dedicated kupiga vita UKIMWI, kesho unaenda twitter unasema kuwa na vibuzi poa tu, watu wenye zero tolerance wanakuona unacheza, wanakupiga chini.

Kibongobongo kuona hii kama issue si rahisi kwa sababu si tushazoea integrity inaoza mpaka watu wanakuua kama Mabina, na bado unazikwa kwa heshima zote za chama na serikali.
 
mkuu samahani bana! mi si mwenyeji sana w haya mambo! hivi kunywa maji ya chooni ndo kufanyeje?

halafu hivi huyu fundikira ndio nani? mi mbona sina idea nae kabisa?

google fundikira !
 
Alikuwa wapi siku zote mpaka tatizo linakuwa kubwa?
 
Alikuwa wapi siku zote mpaka tatizo linakuwa kubwa?

alikuwepo mkuu basi tu unajuwa wabongo kwenye matatizo ndio wanasafishia nyota!

kwa jinsi alivyoandika, inaonekana alikuwa anamponda bidada mwenzie badala ya kumpa ushauri nasaha!
 
Mmmmh na mabuzi pia si mchezo salama kabisa mwisho wa siku unajibebea maradhi...alafu kuna mabuzi hayachuniki hata kwa vigae

Bora hata niuze maandazi na chapati farkhina mie...lol

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
mwamvita makamba, kupitia ukuta wake wa twitter,

amepost haya kuwaasa wadada kuhusu sembe..

Girls:

kama huna akili- hujasoma na huna kazi,

kama ni mvivu na sio mbunifu,

mpenda dezo na huwezi honest living,

mara mia 'buzi' sio sembe!.

------

mwamvita ametoa ujumbe huu mkali baada ya mwanadada mwenzie #jackie-cliff kukamatwa na sembe huko china

muda si mrefu!

habari zilizoko kwenye mitandao mingi hivi sasa zinathibitisha kuwa, mrembo huyu pichani, yuko mikononi mwa wachina

wenye hasira kali dhidi ya wachafuzi wa afya za raia wao, baada ya kudakwa na kilo nzima ya unga!!


521604_10200460458374476_1433495386_n.jpg


kazi kwenu wadada (na hata wakaka pia) mnaopenda maisha ya steep slope!!

haya yule waziri na mtumishi mwingine wa umma nendeni na huko china ili kuhakikisha jack anapata haki zake kama mlivyofanya kwa masogange na melisa huko south africa
 
mwamvita makamba, kupitia ukuta wake wa twitter,

amepost haya kuwaasa wadada kuhusu sembe..

Girls:

kama huna akili- hujasoma na huna kazi,

kama ni mvivu na sio mbunifu,

mpenda dezo na huwezi honest living,

mara mia 'buzi' sio sembe!.

------

mwamvita ametoa ujumbe huu mkali baada ya mwanadada mwenzie #jackie-cliff kukamatwa na sembe huko china

muda si mrefu!

habari zilizoko kwenye mitandao mingi hivi sasa zinathibitisha kuwa, mrembo huyu pichani, yuko mikononi mwa wachina

wenye hasira kali dhidi ya wachafuzi wa afya za raia wao, baada ya kudakwa na kilo nzima ya unga!!


521604_10200460458374476_1433495386_n.jpg


kazi kwenu wadada (na hata wakaka pia) mnaopenda maisha ya steep slope!!

Kwani huo Unga katumwa na nani? ...
Na mbona kila kukicha wanakamatwa wasafirishaji tuu wenye mzigo wako wapi?!

Hiyo ni hadithi tu toka kwa bint Makamba,walau na yeye ajulikane ni mtt wa Mzee Jusufu.
 
Natamani sana niwajue wanaowabebesha huu ujauzito wa sembe!
Aisee siku wema ama diamond wakikamatwa itakuwa noma sana!

"watoto wetu.wanauza unga na hawamakatwi" Juma Kapuya(2013)
 
Kuna uzi uliwekwa hapa wa jinsi wanavyoyaingiza hayo madude tumboni, nadhani aliuleta Dr MziziMkavu mie nilijionea shida kuusoma wote.

kwani wanaingiziwaje haya madude matumboni mwao!?

na process za kutoa zikoje jamani?
 
Last edited by a moderator:
Kuna uzi uliwekwa hapa wa jinsi wanavyoyaingiza hayo madude tumboni, nadhani aliuleta Dr MziziMkavu mie nilijionea shida kuusoma wote.

BAK tuwekee link tujifaidie.Nlipataga deal la kupeleka bangi sijui Italy nimesahau nchi.Malipo usd 8000 teh teh watoto wa k.koo na ilala wana mambo.Nliogoba mie
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom