excel
JF-Expert Member
- Jul 8, 2011
- 22,434
- 17,862
- Thread starter
- #61
dada kila kazi nayo ina changamoto!Kuliko kufanywa punda bora uwe mama ntilie. Ukiangalia vizuri wengi wanaofanywa punda ni wadada warembo maskini. Ukichuna buzi kumbuka kuna kukamatwa na mwenye mali sasa uwe tayari kwa vita either kumwagiwa maji ya moto au acid . Kuliko utokewe na hayo yote bora uanzishe biashara hata ndogo tu naamini Mungu atakusaidia .
hivi mwasisi wa sembe transport management ni nani vile?
hivi siku hizi mgambo wameshamaliza bifu na mama ntilie?