Mwamba huyu hapa

He is an imbecile...
 
Babu gyara, Babu zabe
 
Kwa mateso ya hii dunia kuna wakati huwa naona bora mtu usizae, usilete watoto waje kuteseka, wewe pita tu ujifie, saidia maskini waliopo kisha UFE tu.
Upo sahihi mkuu
 
Asofuata Uislamu lazima atahangaika kwenye hii dunia
Binadamu mnajiekea sheria zenu ambazo ni kandamizi kwenu wenyewe hlf mnajiita mna akili

Muumba katuletea Muongozo ila watu wameukataa wanafata matamanio yao tu na haya ndo matokeo yake
Wewe nae ndio walewale Sasa uislamu ndio nini?
 
Atakuwa ananunua huduma sana.

Swali la kizushi, kwa nini sisi wababa huwa hatupendwi na watoto wa kiume? Kila mmoja aliyefanikiwa anasemama mama mama mama; au jamaa hajui naye atakuwa mzee?​
 
Sijasema zinanitatiza,soma uelewe kilichoandikwa.
Ni sahihi mkuu, na mimi sijawa na maana ya kwamba wewe binafasi zinakutatiza. Lakin trust me kuna watu hiz kitu zinawatatiza na ulichokisema ni kitu sahihi na cha kwel
 
Unaweza kumuita demu geto ambae huyo demu anamichepuko yake ukawa nae usiku mzima. Nitofauti kabisa na mtu anaetoa 10k anaenda kununua malaya ambae muda huo huo ananuka jasho la wanaume wengine.
Mkuu kwa majibu haya, wewe hujanunua malaya bado. Na hao malaya unaowasemea wewe ni wale choka mbaya wa uswahilini kabisa wa elfu mbili mbili
 
OK
Atakuwa ananunua huduma sana.

Swali la kizushi, kwa nini sisi wababa huwa hatupendwi na watoto wa kiume? Kila mmoja aliyefanikiwa anasemama mama mama mama; au jamaa hajui naye atakuwa mzee?​
Kiasili watoto wa kiume humpenda mama na watoto wa kike humpenda baba.. Gender conflict
 
Wanaume tuna utamu wetu ila Kyle tunafata utelezi tuuu
 
October TUNATIKI ✅✅✅
October TUNATIKI ✅✅✅✅
October TUNATIKI ✅✅✅✅✅
October TUNATIKI ✅✅✅✅✅✅
October TUNATIKI ✅✅✅✅✅✅✅
October TUNATIKI ✅✅✅✅✅✅✅✅
October TUNATIKI ✅✅✅✅✅✅✅✅✅
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…