Kama ilivyokuwa kwa Mwalimu Nyerere mapenzi yake yalikuwa kwa nchi siyo CCM.
Ukipenda nchi utakuwa mzalendo kwa dhati yako. Huwezi kutumwa kufanya ujambazi, ubakaji, utekaji, utesaji, wizi, udhwalimu nk, nawe ukakubali na hata kuja kujitetea mahakamani kuwa ulikuwa mtumwa tu.
Kwa hakika hii ni bila kujali ni nani anayekutuma!
Ukipenda nchi yako huwezi kushabikia vitendo hivyo, anayevitenda wala anayeviagiza kutelekezwa.
Ama kwa hakika mtu huyo kama kweli anatuma watu kufanya hayo atakuwa ni mwovu sana.
Yupo kwenye rekodi mwalimu akiliweka wazi hilo - "CCM siyo mama yake." Moto wake mzee ruksa anaufahamu hata kama leo kumbukumbu za Chatto hana.
Mengine kwamba kuna wenzetu hata walilazimika kutokomea kusikojulikana wakiwa na maumivu makali:
kisa na mkawa, hatimaye Sabaya amegota na kwamba rasmi ni mfungwa mwenye "numero", hayo sasa ndiyo lile kipaji lenyewe kama alivyonena Julius.
Ujinga jikiteni kwenye elimu. Huu mwingine ni sawa na ufupi na urefu tu. Hauna dawa 😁😁!
Tupendeni nchi kama wajibu, si vyama wala watu.
Tukapate kuwakemea wote kama wanakotaka kutupeleka siko.
Ukipenda nchi utakuwa mzalendo kwa dhati yako. Huwezi kutumwa kufanya ujambazi, ubakaji, utekaji, utesaji, wizi, udhwalimu nk, nawe ukakubali na hata kuja kujitetea mahakamani kuwa ulikuwa mtumwa tu.
Kwa hakika hii ni bila kujali ni nani anayekutuma!
Ukipenda nchi yako huwezi kushabikia vitendo hivyo, anayevitenda wala anayeviagiza kutelekezwa.
Ama kwa hakika mtu huyo kama kweli anatuma watu kufanya hayo atakuwa ni mwovu sana.
Yupo kwenye rekodi mwalimu akiliweka wazi hilo - "CCM siyo mama yake." Moto wake mzee ruksa anaufahamu hata kama leo kumbukumbu za Chatto hana.
Mengine kwamba kuna wenzetu hata walilazimika kutokomea kusikojulikana wakiwa na maumivu makali:
kisa na mkawa, hatimaye Sabaya amegota na kwamba rasmi ni mfungwa mwenye "numero", hayo sasa ndiyo lile kipaji lenyewe kama alivyonena Julius.
Ujinga jikiteni kwenye elimu. Huu mwingine ni sawa na ufupi na urefu tu. Hauna dawa 😁😁!
Tupendeni nchi kama wajibu, si vyama wala watu.
Tukapate kuwakemea wote kama wanakotaka kutupeleka siko.