Kilimbatzz
JF-Expert Member
- Feb 11, 2023
- 9,139
- 14,557
Kwa kazi nzuri iliyotukuka ya kuwatoa watoto wetu ujinga,mwanafunzi wake mmoja huko mikoa ya kusini ameona amkumbuke Kwa njia hii
Mwanafunzi huyo ambaye ameajiriwa mwaka huu hapa Katavi wilaya ya Tanganyika ameamua kulitaja jina la mwalimu huyu nguri/nguli katika moja ya maswali yake
Mwalimu aheshimiwe popote na kila mtu,
Mwalimu ni mungu wa tatu duniani
Mwanafunzi huyo ambaye ameajiriwa mwaka huu hapa Katavi wilaya ya Tanganyika ameamua kulitaja jina la mwalimu huyu nguri/nguli katika moja ya maswali yake
Mwalimu aheshimiwe popote na kila mtu,
Mwalimu ni mungu wa tatu duniani