Mwalimu alikufunza hii?

farkhina

Platinum Member
Mar 14, 2012
14,568
16,906
ImageUploadedByJamiiForums1430315261.134375.jpg

Hahahaha vipi hii uliwahi stukia?
 
Hii orodha ya tisa ni miongoni mwa orodha ngumu zana kukaririka sasa ilikuwa udogon tunatafta short cut.
unakariri 9, afu unaanza 1-9 afu sasa za kulia unaanza na sifuri chin kwennye tisa unarudi adi 9 tena juu.

kiurahisi tulikuwa tunafanya hivi namba za kushoto unaanza na 0-9 chini afu za kulia unazigeuza unaanza na 9-0 chini

mwl rajabu alipogundua hili alitufinya maskio acha kabisa manake alidai hatuelewi tunakariri tu
 
Naamini hata wao walikuwa hawajui hii formu

mshana walikuwa wanajua ila ukumbuke waalim walikuwa hawatak tukariri ama tutumie short cut

mimi nikiwa darasa la 3 nilijifunza orodha kwa njia ya ajabu sana na nakumbuka mwl wetu aliitwa mwalim Rajabu alikuwa mkali sana mwanae aliitwa Kundaeli...........

kwenye hii ya tisa tulikuwa tunafanya ivi kwasabba ni ngumu unaaza kushoto na 0-9 inakuwa ya mwisho afu ukirudi kulia kwake unageuza unaaza na 9-0 mwishoni akawa anashangaa mbona hii orodha watu wanaiweza ivi??

kimbembe sasa akuambie simama uanze kuitamka kwa mdomo ndo unakoma
 
Hahahaha sawa

To be honest, somo la hesabu lilikuwa somo nisilolipenda kuliko yote. Yaani, kwa mfano nikiwa chekechea, nitapata 100% masomo yote lakini hesabu lazima nitakosa tu; utakuta nimepata mara 98%, au 95% na wazazi wangu walijua hilo.

Mtihani wa form four nilikomaa na Section "B" then section "A" nikaokoteleza, nikapata ka "B" kangu. Nimeenda A-level "PCB" nakutana na BAM tena, kuna mahesabu ya nyoka yale sikuyapenda kabisa. Dah! Hesabu inakatisha tamaa kusoma, bora kukariri biology.

Mbinu km hizi, zitamfanya mtoto aipende hesabu sio bakora tu.
 
To be honest, somo la hesabu lilikuwa somo nisilolipenda kuliko yote. Yaani, kwa mfano nikiwa chekechea, nitapata 100% masomo yote lakini hesabu lazima nitakosa tu; utakuta nimepata mara 98%, au 95% na wazazi wangu walijua hilo.

Mtihani wa form four nilikomaa na Section "B" then section "A" nikaokoteleza, nikapata ka "B" kangu. Nimeenda A-level "PCB" nakutana na BAM tena, kuna mahesabu ya nyoka yale sikuyapenda kabisa. Dah! Hesabu inakatisha tamaa kusoma, bora kukariri biology.

Mbinu km hizi, zitamfanya mtoto aipende hesabu sio bakora tu.

Hahahhahaha somo hili nalo gumu ivoo
 
Nimeipenda sana hii ya kwako, ila ya kwangu mimi kwa kuzidisha na 9 ilikuwa unazidisha na 10 kwa kuwa 10 ni rahisi sana kwa kuzidisha.

Kwahiyo unafanya hivi:-

9*1 unafafanya 10*1 ambayo= 10 kisha unatoa 1 jibu 9 (10-1=9)

9*2 unafafanya 10*2 ambayo= 20 kisha unatoa 2 jibu 18 (20-2=18)

9*3 unafafanya 10*3 ambayo= 30 kisha unatoa 3 jibu 27 (30-3=27)

9*4 unafanya 10*4 ambayo= 40 kisha unatoa 4 jibu 36 (40-4=36)

9*5 unafanya 10*5 ambayo= 50 kisha unatoa 5 jibu 45 (50-5=45)

9*6 unafanya 10*6 ambayo= 60 kisha unatoa 6 jibu 54 (60-6=54)

9*7 unafafanya 10*7 ambayo= 70 kisha unatoa 7 jibu 63 (70-7=63)

9*8 unafanya 10*8 ambayo= 80 kisha unatoa 8 jibu 72 (80-8=72)

9*9 unafanya 10*9 ambayo= 90 kisha unatoa 9 jibu 81 (90-9=81)

9*10 unafanya 10*10 ambayo= 100 kisha unatoa 10 jibu 90 (100-10=90)
 
Nimeipenda sana hii ya kwako, ila ya kwangu mimi kwa kuzidisha na 9 ilikuwa unazidisha na 10 kwa kuwa 10 ni rahisi sana kwa kuzidisha.

Kwahiyo unafanya hivi:-

9*1 unafafanya 10*1 ambayo= 10 kisha unatoa 1 jibu 9 (10-1=9)

9*2 unafafanya 10*2 ambayo= 20 kisha unatoa 2 jibu 18 (20-2=18)

9*3 unafafanya 10*3 ambayo= 30 kisha unatoa 3 jibu 27 (30-3=27)

9*4 unafanya 10*4 ambayo= 40 kisha unatoa 4 jibu 36 (40-4=36)

9*5 unafanya 10*5 ambayo= 50 kisha unatoa 5 jibu 45 (50-5=45)

9*6 unafanya 10*6 ambayo= 60 kisha unatoa 6 jibu 54 (60-6=54)

9*7 unafafanya 10*7 ambayo= 70 kisha unatoa 7 jibu 63 (70-7=63)

9*8 unafanya 10*8 ambayo= 80 kisha unatoa 8 jibu 72 (80-8=72)

9*9 unafanya 10*9 ambayo= 90 kisha unatoa 9 jibu 81 (90-9=81)

9*10 unafanya 10*10 ambayo= 100 kisha unatoa 10 jibu 90 (100-10=90)
HARUFU kuna watu wana mzio na hisabati kiasili sasa wakiona hii mada na hii post yako ndio kabisa wanapata homa
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom