Mwalimu alikufunza hii?

Mwalimu alikufunza hii?

Kitu cha hesabu kilinipita kushoto,nilianza kulichukia hilo somo nikiwa darasa la tano.
 
To be honest, somo la hesabu lilikuwa somo nisilolipenda kuliko yote. Yaani, kwa mfano nikiwa chekechea, nitapata 100% masomo yote lakini hesabu lazima nitakosa tu; utakuta nimepata mara 98%, au 95% na wazazi wangu walijua hilo.

Mtihani wa form four nilikomaa na Section "B" then section "A" nikaokoteleza, nikapata ka "B" kangu. Nimeenda A-level "PCB" nakutana na BAM tena, kuna mahesabu ya nyoka yale sikuyapenda kabisa. Dah! Hesabu inakatisha tamaa kusoma, bora kukariri biology.

Mbinu km hizi, zitamfanya mtoto aipende hesabu sio bakora tu.


kwa ufaulu huo wewe hesabu ulikua unauwezo sana..sema ujeuri tuuh..
 
Mwenzio Kiswahili walikua wananiacha sana somo gumu hili...

Primary nilipenda sana kiswahili,sikuona somo rahisi kama hilo. Ikifuatia na sayansi ya enzi hizo...walimu wa haya masomo wakichelewa darasan dk5 naenda kuwaita..tofauti na hesabu nilikua naomba mwl apate dhararu asiingie class
 
Table ya 11 nayo rahisi
mfano: 11 * 12 = 132
11 * 13 = 143
11 * 14 = 154
so chukua namba inayozidishwa(12) zen jumlisha tarakimu za namba hiyo( 1+2)..jibu unalolipata(3) liandike katikati ya namba hizo mbili(132)..na hilo ndo litakuwa jibu lako
 
Table ya 11 nayo rahisi
mfano: 11 * 12 = 132
11 * 13 = 143
11 * 14 = 154
so chukua namba inayozidishwa(12) zen jumlisha tarakimu za namba hiyo( 1+2)..jibu unalolipata(3) liandike katikati ya namba hizo mbili(132)..na hilo ndo litakuwa jibu lako

Mdogo wangu kumbe ulikua husinzii darasani 😀😀😀
 
Primary nilipenda sana kiswahili,sikuona somo rahisi kama hilo. Ikifuatia na sayansi ya enzi hizo...walimu wa haya masomo wakichelewa darasan dk5 naenda kuwaita..tofauti na hesabu nilikua naomba mwl apate dhararu asiingie class

Ata science nlikua naipenda secondary chemistry nlikua nawamwaga wote 57 nkipata kiboko yangu nlikua sina raha
 
mimi naongoza kwa mzio wa hesabu..nilipoiona post ya jamaa nikapatwa na usingizi

Hahahahaah yaani math nki solve chochote ile Nikilala Tu basi usinginizi yanakuja yaani nakua napumzika mwili tu
 
Primary nilipenda sana kiswahili,sikuona somo rahisi kama hilo. Ikifuatia na sayansi ya enzi hizo...walimu wa haya masomo wakichelewa darasan dk5 naenda kuwaita..tofauti na hesabu nilikua naomba mwl apate dhararu asiingie class

nahisi kiswahili ulikipenda lakini the feeling was not mutual!!!!
 
View attachment 247826

Hahahaha vipi hii uliwahi stukia?

Hta ningefundishwa wakati huo nisingeelewa....was allergic to hesabu from long kitambo

Kuna haka kabinti kalikuwa kanaitwa Mkenaku Induhelech...tulizoea kukimbizana class kuwania kuwa top seed primary..basi kalikuwa kanapiga hesabu nisikazidi zaidi ya alama 25 over-all..maana kalikuwa sure kunipiga gap kwa matokeo ya hesabu..ingawa nami nilikuwa na uwanja wangu wa nyumbani kulipizia deficit
 
Hta ningefundishwa wakati huo nisingeelewa....was allergic to hesabu from long kitambo

Kuna haka kabinti kalikuwa kanaitwa Mkenaku Induhelech...tulizoea kukimbizana class kuwania kuwa top seed primary..basi kalikuwa kanapiga hesabu nisikazidi zaidi ya alama 25 over-all..maana kalikuwa sure kunipiga gap kwa matokeo ya hesabu..ingawa nami nilikuwa na uwanja wangu wa nyumbani kulipizia deficit

Hahahahhaah pole sana
 
Back
Top Bottom