Mwali: Mmiliki wa DOWANS ni huyu!

Mwali: Mmiliki wa DOWANS ni huyu!

Status
Not open for further replies.
Mkuu tofautisha mmiliki na mkurugenzi........so its probably rostam anaweza kua mmiliki vile vile.

mkuu.... sijui utatumia mikataba gani na sheria gani..... mmiliki kukwepa kuwa director...... kwani shares za kampuni ndio umiliki na kwenye Memorandum of the company directors ndio wenye shares..... sijui utakuaje mmiliki bila kuwa mkurugenzi
 
MMM.... thanks for a fertile doc.... i suppose that if we had a thorough access to the Memorandum and Articles of Association of DOWANS..... that can openly reveal the real directors and hence objectives under which the company was established as all companies in United republic of Tanzania are established legally under company ordinance cap 212...... or does it mean that DOWANS was an offshore company?.... i guess so....

ipo hiyo pia.. jamani tukiwapa vyote si ndo itakuwa vurugu sasa? maana tuna usahauliifu wa ajabu. Hii tuliweka Novemba 2009.. lakini bado watu wanauliza nani mmiliki wa "Dowans".. it makes absolutely no sense. Hata tukiweka MoU watakuja wengine watauliza tena nanni mmiliki wa Dowans.. I don't understand kabisa ni kwanini.
 
Swali ambalo mnahitaji kulijibu ni "Dowans iliingiaje nchini na kuchukua mkataba wa Richmond"? Why Dowans na si kampuni nyingine.. mtaona baadhi ya majibu kwenye "Behind the Shadow"
 
MMM .... ukiangalia vizuri hii form ya BRELA utagundua ni form No. 210a Appointment of a director or Secretary..... na huyu bwana Al ADAWI ametick kwenye box ya appointment as director..... hivyo basi ..... hii si form ya maombi ya kusajiliwa kwa DOWANS....sasa basi AL ADAWI alikuwa anaingizwa dowans kama director..... hii ina maana DOWANS ilikua tayari imeshaanzishwa na ili kuwa na director ambaye ata take cover wakamuingiza AL ADAWI..... hii ndivyo ilivyo

mimi nahisi huyu AL ADAWI ni mkurugenzi pandikizi tu ...... wapo wamiliki halali wa DOWANS ambao hawajawa revealed ...... i suppose that revealing the real owners of dowans is as simple as abc...... MMM please give as more info so that we can scrutinize the inside of DOWANS ownership......,
 
MHANDO WA TANESCO AKATAA KUTAJA MMILIKI WA DOWANS!source TBC1

Wamiliki wa aina hii ni sawa na wale wa Kagoda na Richmond yenyewe, ukiwatazama majina yao ni watu wa kawaidsa mno, lakini ukitaka kujua wamiliki halisi si hao, tazama kesi zao za moto kushughulikiwa. Wamiliki wa Kagoda ni wadogo mno kama huyo Suleima wa Dowans lakini weeeeee waguse uone...hapa ndo pa kuanzia kazi
 
We need to establish a new secret service to unveil all these scandals, and when we discover it is JK, EL, RA or one of their associates we shall do similar to what is done to 'vibaka' @kariakoo. They deserve hell.
 
ipo hiyo pia.. jamani tukiwapa vyote si ndo itakuwa vurugu sasa? maana tuna usahauliifu wa ajabu. Hii tuliweka Novemba 2009.. lakini bado watu wanauliza nani mmiliki wa "Dowans".. it makes absolutely no sense. Hata tukiweka MoU watakuja wengine watauliza tena nanni mmiliki wa Dowans.. I don't understand kabisa ni kwanini.

Watu sio wasahaulifu MMM, wengine ni wageni hawakuiona wakati ulipoiweka. Usisahau hilo nawe ukawa msahaulifu.
 
So this Alawi was appointed Director na hivyo Dowans ilianza muda mrefu na hivyo naomba kuuliza who is the founder of dowans? Pili Dowans waliingiaje nchini? Tatu Shareholders means incorporations sasa swali lakujiuliza ni madirectors wengine wako wapi au hii kampuni anaown huyo jamaa peke yake ? Nadhani ukweli utajulikana karibuni.
 
So this Alawi was appointed Director na hivyo Dowans ilianza muda mrefu na hivyo naomba kuuliza who is the founder of dowans? Pili Dowans waliingiaje nchini? Tatu Shareholders means incorporations sasa swali lakujiuliza ni madirectors wengine wako wapi au hii kampuni anaown huyo jamaa peke yake ? Nadhani ukweli utajulikana karibuni.

Mkuu.... inaonekana DOWANS ni kampuni iliyokuwa registered hapa hapa...... kilichofanyika ni kumuingiza director pandikizi ambaye ana urai wa Oman ili ijulikane mmiliki si raia WA tz ..... lakini ukiangalia ile form ya BRELA utaona huyu AL ADAWI ana fanya application ya kuwa director...... sasa amekuwa appointed na kina nani? ...., hao ndio tunataka tuwajue...., na je board resolution ya general meeting iliwajumuisha kina nani .... na ndio walio mu appoint huyu jamaa AL adawi...... hivyo vyote vipo BRELA?
 
Mkuu.... inaonekana DOWANS ni kampuni iliyokuwa registered hapa hapa...... kilichofanyika ni kumuingiza director pandikizi ambaye ana urai wa Oman ili ijulikane mmiliki si raia WA tz ..... lakini ukiangalia ile form ya BRELA utaona huyu AL ADAWI ana fanya application ya kuwa director...... sasa amekuwa appointed na kina nani? ...., hao ndio tunataka tuwajue...., na je board resolution ya general meeting iliwajumuisha kina nani .... na ndio walio mu appoint huyu jamaa AL adawi...... hivyo vyote vipo BRELA?

Kama umenisoma mkuu ndio maswali yangu ni hayo hayo Kuwa nani alimuappoint na kina nani wakamuapprove Al Adawi. Pili Lini Dowans ilianza kazi who are the founders of Dowans? Ukweli utakuja kujulikana.
 
Kama umenisoma mkuu ndio maswali yangu ni hayo hayo Kuwa nani alimuappoint na kina nani wakamuapprove Al Adawi. Pili Lini Dowans ilianza kazi who are the founders of Dowans? Ukweli utakuja kujulikana.

mkuu..... yes.... the truth will be revealed soon...... hata kma tunahitaji kutumia darubini ya jeshi.... hatakama watajongo.... tutawajua tu...
 
mkuu..... yes.... the truth will be revealed soon...... hata kma tunahitaji kutumia darubini ya jeshi.... hatakama watajongo.... tutawajua tu...

Woga wangu wasije kuchakachua tu maana Tanzania linawezekana.
 
Woga wangu wasije kuchakachua tu maana Tanzania linawezekana.

mkuu hapo umesema ....... kule BRELA tunahitaji mzalendo ambaye atafanya uzalendo kwa ku protect original dossier ya DOWANS so that the authenticity of the whole exercise remains uncooked .... hivyo basi uchakachuaji ukifanyika tunakuwa na kitu cha kuendelea kuwaumbua.... mkuu je tunao wazalendo pale BRELA..... mimi nashauri.... jamaa wa BRELA wachote fungu lakini watoe copy za original docs...... and zile cosmetic docs ziwe chungu kwao
 
tukiwabana sna kuwauliza juu ya umiliki wa DOWANS watakuja na majibu rahisi sana kama vile" wamiliki wa DOWANS ukiwataja nchi itatikisika" au " DOWANS inahusu usalama wa taifa, kwa hivyo hata mkinisurubu siwezi kutaja"- majibu haya aliyatoa Pinda alipokuwa anakwepa kujibu juu ya Kagoda, Deep Green Finance na Mwananchi Gold.
 
tukiwabana sna kuwauliza juu ya umiliki wa DOWANS watakuja na majibu rahisi sana kama vile" wamiliki wa DOWANS ukiwataja nchi itatikisika" au " DOWANS inahusu usalama wa taifa, kwa hivyo hata mkinisurubu siwezi kutaja"- majibu haya aliyatoa Pinda alipokuwa anakwepa kujibu juu ya Kagoda, Deep Green Finance na Mwananchi Gold.

mkuu... huyu mzee pinda ninamweshimu kwasababu anaweza kuwa si mfisadi..... ikifikia hapo akakosa maamuzi afanye kama Pontious Pilate.... anawe mikono yake na kuwaachia wananchi wamuhukumu DOWANS.... mkuu hizo pesa ni nyingi sana ...... zitatu cost miaka mingapi?
 
tukiwabana sna kuwauliza juu ya umiliki wa DOWANS watakuja na majibu rahisi sana kama vile" wamiliki wa DOWANS ukiwataja nchi itatikisika" au " DOWANS inahusu usalama wa taifa, kwa hivyo hata mkinisurubu siwezi kutaja"- majibu haya aliyatoa Pinda alipokuwa anakwepa kujibu juu ya Kagoda, Deep Green Finance na Mwananchi Gold.

...na Meremeta, ukweli hapo mwanzo RA alilegeza nasi tukamwangalia tu, akatuweka sawa bado tukamwangalia tu, leo katoa kichwa kake nasi watz bado hatujashtuka kuwa anataka kutufanyia kitu mbaya?
 
tukiwabana sna kuwauliza juu ya umiliki wa DOWANS watakuja na majibu rahisi sana kama vile" wamiliki wa DOWANS ukiwataja nchi itatikisika" au " DOWANS inahusu usalama wa taifa, kwa hivyo hata mkinisurubu siwezi kutaja"- majibu haya aliyatoa Pinda alipokuwa anakwepa kujibu juu ya Kagoda, Deep Green Finance na Mwananchi Gold.

EPA + DOWANS = Price Of the Tanzania Presidency. Its cost = SHS 335 billions, ==>> 150 billion + 185billions. EPA = first election and DOWANS second elections.

Three helcopters, mass production of placards, posters, t shirts, bribery, entertainment costs; the costs to entertain almost 40 million Tanzanians etc

Hayo ndiyo malipo!

Revealed----------
 
Mi humo sipo, ila atakayekutwa na ngozi ndiye mla nyama!
 
Ahsante mkuu pamoja Tanzania tutaikomboa kwanjia nyingi ikiwemo hii.

Ningekuwa mimi Rostam... ningetangaza kujiuzulu Ubunge na kuamia Dubai ndani ya siku saba maana... wiki ijayo inshallah... mwali atatolewa ndani!!
 
Richmond contract....signature ya Ringo Tenga
Dowans memart........signature ya Ringo Tenga

Dr Ringo Tenga ni kuwadi wa mafisadi?????
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom