Mwakyembe na ufisadi mabehewa feki

Mwakyembe na ufisadi mabehewa feki

Group luwasa vs mwakyembe
Mafisadi group lowsa
Wanyonge group mwakyembe
Ndicho kinachowasumbua
 
Mimi ni chadema kama kuna uhusika wa Lowasa bila chenga kwenye Richmond naanyongwe tu lakini hiyo haimfanyi Mwakyembe asiguswe hii thread inahusu ufisadi wa Mwakyembe juu ya mabehewa fake...
Napendekeza Mwakyembe achomwe moto ili owe fundisho kwa hawa majambazi ccm...
Kweli mkuu tatizo la wabongo ni kuchanganya siasa na maslahi ya nchi fisadi yeyote ni hatari usishabikie ufisadi ueendelee kisa Fulani kaachwa kwa kukosekana ushahidi lete ushahidi
 
Majipu ya TRL yalishatumbuliwa sana tu.Mwakyembe hakuwemo kwenye TendER board,Wala Hafanyi kazi kitengo cha procurement cha TRL,Wala si mjumbe wa BOARD YA TRL iliyointhiinisha hayo manunuzi.Wala hakuwa sehemu ya management.Wahusika direct walishatumbuliwa tena sana tu.

Watu wakiongelea Mwakyembe utafikiri yeye ndiye alienda sokoni india kununua hayo mabehewa.Lakini tunajua ni wale TEAM LOWASA baada ya kumkosa kumtoa ubunge Kyela AMBAKO Lowasa mwenyewe alienda kutaka kumtoa Mwakyembe aliyesoma ile Ripoti ya Richmond Bungeni ambayo ilkimtoa Lowasa mkuku kutoka uwaziri mkuu hadi kuchunga ng`ombe monduli.

Hawa wanaomwandama Mwakyembe ni ni Team LOWASA
Mwakyembe alikuwa Waziri na alitamba sana kwenye vyombo vya habari kuhusu hayo mabehewa. Sasa iweje asiwajibike kwa kasoro za wizara aliyoisimamia na kuitambia mabehewa au majipu yanayotumbuliwa yana chapa tofauti?
 
Naona lowasa na genge lake linapamabana na mwaykembe

Kama Lowasa hakuwajibu shutuma na matusi yote mliyomtukana wakati wa kampeni, hata sasa sidhani kama atawajibu kitu. Ila tu muangalie maana naona karibu mtawehuka, kila kivuli mnachokiona mnakiita Lowasa, tehe
 
Kama Lowasa hakuwajibu shutuma na matusi yote mliyomtukana wakati wa kampeni, hata sasa sidhani kama atawajibu kitu. Ila tu muangalie maana naona karibu mtawehuka, kila kivuli mnachokiona mnakiita Lowasa, tehe
Hahahaha....
 
Waziri siyo Accounting Officer ndugu yangu yeye anahusika na utungaji na usimamizi wa Sera tu! Ndio Maana Muhongo karudishwa kwenye Baraza la mawaziri. Hana Signature kwenye Malipo yoyote ya Wizara.
Mdau hebu tuwe siriaz,je opereshen tokomez iliyosababisha watu wang'oke nayo mawaziri walienda porini
 
Ila kwa swala la UFISADI Mwakyembe ni ni mtu safi sana sana na asie penda mambo ya rushwa au ufisadi kabisa, ILA naona hapa anatetea serikali yake kwani hana jinsi!
Mleta mada anaomba ripoti ziletwe bunge (kwa wananchi) tuone usafi wa Mwakyembe! Wewe unatumia mdomo wako eti Mwakyembe msafi, tena msafi sanaa!! Attach basi huu mdomo wako hapo labda unaweza kuleta uzito maana maneno sana sana hayana maana na hayaendani na alichoomba mleta mada.
 
Huu ni zaidi ya ukoo wa PANYA sijui dawa gani itumike kuwamaliza panya hawa
Ni kuongeza elimu ya uraia kwa wananchi waweze kujua na kuzitambua haki zao,ili unapofanyika uchaguzi wasidanganywe kwa kupewa khanga,tshirts,na kofia bali wawachague wabunge watakao kuwa tayari kutetea maslahi ya wao na taifa kwa ujumla
 
Halima anasea sio hoja yake bali ni kwa mujibu wa ripoti ya Samuel Sitta. Wenye kumbukumbu ni kwamba SS na Dr. Mkye walizunguka nchi nzima na akina Sendeka kuelezea ufisadi katika awamu ya nne mpaka kupelekea mwenyekiti wa chama kuja na hoja ya kuvua gamba.
Siasa hizi noma kweli!
 
Kama Lowasa hakuwajibu shutuma na matusi yote mliyomtukana wakati wa kampeni, hata sasa sidhani kama atawajibu kitu. Ila tu muangalie maana naona karibu mtawehuka, kila kivuli mnachokiona mnakiita Lowasa, tehe
Mkuu hao ndio dawa yao na sasa wameanza kukimbia kivuli chao
 
Back
Top Bottom