Mwakyembe na ufisadi mabehewa feki

Mwakyembe na ufisadi mabehewa feki

alimtukana Lowassa kweli kipindi kile na mzee wawatu ali declare tatizo ni uwaziri mkuu,na bado akasisitiza historia itawahukumu..!! leo hii wote wale mashujaa wakina Mwakyembe,Kikwete suruali hazikai viunoni
 
Hata president mwenyewe si msafi, ajitumbue mwenyewe maana na aliitia hara serikali,ngano za bakhares,samkai
Hakuna msafi ndani ya ccm!! Mwakyembe ni mnafiki na mwizi kama wezi wengine tu
 
Waziri siyo Accounting Officer ndugu yangu yeye anahusika na utungaji na usimamizi wa Sera tu! Ndio Maana Muhongo karudishwa kwenye Baraza la mawaziri. Hana Signature kwenye Malipo yoyote ya Wizara.
Ila waziri Mkuu anasignature? Mbona una leta majibu mepesi kwenye mambo ya msingi? unawezaje kumtoa waziri kwenye uchafu wa wizara yake?
 
Ila kwa swala la UFISADI Mwakyembe ni ni mtu safi sana sana na asie penda mambo ya rushwa au ufisadi kabisa, ILA naona hapa anatetea serikali yake kwani hana jinsi!
hizi story zako ni zilezile za nani katangulia kati ya kuku au yai.
Mwakeymbe ni mwizi na anatetea wizi wake.
 
Ila kwa swala la UFISADI Mwakyembe ni ni mtu safi sana sana na asie penda mambo ya rushwa au ufisadi kabisa, ILA naona hapa anatetea serikali yake kwani hana jinsi!
Na kile kiwanja cha Bahati beach alichonunua kwa bilioni moja kutoka kwa mzungu pesa kaitoa wapi?
Mwakyembe ni fisadi. Kwenye bandari za nchi kavu alikuwa anaomba rushwa bila aibu. Anawaambia wawekezaji si mnajua kuna uchaguzi mwaka huu.

Serikali ya Kikwete ilijua madudu ya Mwakyembe ndio maana walitoa wizara ya uchunguzi.
 
Na kile kiwanja cha Bahati beach alichonunua kwa bilioni moja kutoka kwa mzungu pesa kaitoa wapi?
Mwakyembe ni fisadi. Kwenye bandari za nchi kavu alikuwa anaomba rushwa bila aibu. Anawaambia wawekezaji si mnajua kuna uchaguzi mwaka huu.

Serikali ya Kikwete ilijua madudu ya Mwakyembe ndio maana walitoa wizara ya uchunguzi.
Yaani hii CCM ya.eoza yananuka...
 
Majipu ya TRL yalishatumbuliwa sana tu.Mwakyembe hakuwemo kwenye TendER board,Wala Hafanyi kazi kitengo cha procurement cha TRL,Wala si mjumbe wa BOARD YA TRL iliyointhiinisha hayo manunuzi.Wala hakuwa sehemu ya management.Wahusika direct walishatumbuliwa tena sana tu.

Watu wakiongelea Mwakyembe utafikiri yeye ndiye alienda sokoni india kununua hayo mabehewa.Lakini tunajua ni wale TEAM LOWASA baada ya kumkosa kumtoa ubunge Kyela AMBAKO Lowasa mwenyewe alienda kutaka kumtoa Mwakyembe aliyesoma ile Ripoti ya Richmond Bungeni ambayo ilkimtoa Lowasa mkuku kutoka uwaziri mkuu hadi kuchunga ng`ombe monduli.

Hawa wanaomwandama Mwakyembe ni ni Team LOWASA
Mkuu Yehodaya, unafikiri kwa wale waliopania kumpakazia Dk.Mwakyembe watakuelewa? Baadhi ya sisi Watanzania tuna roho za ajabu sana - wanasema lolote kujaribu kumu-demonise Mwakyembe - chuki binafsi ndio zinawasumbua!!!

Jana Dk.Mwakyembe alijaribu kulitolea majibu ya kina suala lenyewe, badala ya kumsikiliza kwa umakini - wabunge wa upinzani wanaingiza hoja zao za kubuni tu na kuleta malumbano yasiyo kuwa na kichwa wa miguu - wengi wao wanadhani Dk.Mwakyembe ndiye alikuwa dalali mkuu wa manunuzi ya mabehewa - madai hayo hayana ukweli wowote ni uzushi mtupu.

Wahusuka wakuu wanajulikana na wanekwisha chukuliwa hatua kama sikosei.
 
Na kile kiwanja cha Bahati beach alichonunua kwa bilioni moja kutoka kwa mzungu pesa kaitoa wapi?
Mwakyembe ni fisadi. Kwenye bandari za nchi kavu alikuwa anaomba rushwa bila aibu. Anawaambia wawekezaji si mnajua kuna uchaguzi mwaka huu.

Serikali ya Kikwete ilijua madudu ya Mwakyembe ndio maana walitoa wizara ya uchunguzi.

Mkuu stick 2 the point, kama alihusika na kashfa yoyote mbona hawakumfukuza kazi, unafikiri JK alikuwa anamuogopa Mwakyembe?

Je, JPJM ambaye aliwahi kufanya kazi Wizara moja na Dk.Mwakyembe unafikiri Magufuli alibahatisha kumtehua kuwa Waziri wa Sheria na katiba?

Tunacho sahau ni kwamba Serikali ina vyombo lukuki vya kuchunguza maadili ya Viongozi kabla hawachapewa wadhifa wowote, hawawezi kuendekeza majungu ya watu wa mitaani wenye bifu binafsi na wenzao, linapokuja suala la majungu,roho za kutu na kwa nini - katika vices tajwa hapo juu Watanzania hatujambo SANA, sijui tutabadirika lini?
 
Mkuu stick 2 the point, kama alihusika na kashfa yoyote mbona hawakumfukuza kazi, unafikiri JK alikuwa anamuogopa Mwakyembe?

Je, JPJM ambaye aliwahi kufanya kazi Wizara moja na Dk.Mwakyembe unafikiri Magufuli alibahatisha kumtehua kuwa Waziri wa Sheria na katiba?

Tunacho sahau ni kwamba Serikali ina vyombo lukuki vya kuchunguza maadili ya Viongozi kabla hawachapewa wadhifa wowote, hawawezi kuendekeza majungu ya watu wa mitaani wenye bifu binafsi na wenzao, linapokuja suala la majungu,roho za kutu na kwa nini - katika vices tajwa hapo juu Watanzania hatujambo SANA, sijui tutabadirika lini?
Sasa angewapa uwaziri akina nani maana CCM wote majambazi yamezidiana tu...
Eti vyombo lukuki mbona wanyama Hai walisafirishwa na hawakujua...mpaka twiga au kipindi hicho hivyo vyombo havikuwepo?
 
Sasa angewapa uwaziri akina nani maana CCM wote majambazi yamezidiana tu...
Eti vyombo lukuki mbona wanyama Hai walisafirishwa na hawakujua...mpaka twiga au kipindi hicho hivyo vyombo havikuwepo?
Mkuu mbona wapo wengi tu wenye maadili mema - repeating usemi Mzalendo Kambarage " Wapo,wapo tele" bahati mbaya wengine hawavumi lakini wapo/wamo. Hizi adithi zenu za uzao wa PANYA hazina ukweli wowote.
 
Mkuu mbona wapo wengi tu wenye maadili mema - repeating usemi Mzalendo Kambarage " Wapo,wapo tele" bahati mbaya wengine hawavumi lakini wapo. Hizi adithi zenu za uzao wa PANYA hazina ukweli wowote.
CCM ni waizi mpaka mabalozi wa Nyumba kumi kumi hao unaosema ni waadirifu no kwasababu hawajulikani ndiyo maana watu hawawasemi...
 
Yeye Mwenyewe jipu halafu anajiita mtumbuaji wa majipu...
 
CCM ni waizi mpaka mabalozi wa Nyumba kumi kumi hao unaosema ni waadirifu no kwasababu hawajulikani ndiyo maana watu hawawasemi...
Mkuu sikatai kwamba kwenye msafara wa mamba na kenge wamo lakini ni wachache, mkuu -Dk.Magufuli amekwisha wapa rungu wananchi kila mfanyakazi anapaswa kuweka jina lake kifuani ili hiwe rahisi kuchukuliwa hatua kali akirupotiwa kufanya nambo ya ndio sivyo sasa mpira unekwisha rushwa uwanjani kwenu kazi kwenu - au mnataka Mungu atupe nini kama siyo Magufuli, mpeni ushirikiano muone atakavyo badirisha Taifa letu kimaendeleo na kikubwa zaidi kimaadili.

Labda niwakumbushe kidogo kuhusu umahili wa Dk.Magufuli,siku alipo wahapisha Mawaziri/Makatibu wakuu kwanza katibu mkuu kiongozi alisoma adhalani wajibu wa nawaziri na miiko ya kazi zao hivyo kuwapa fulsa Watanzania kujua for the first time nini wajibu na miiko ya wateule hao, si hilo tu hata wateule wote walirudia kusoma wajibu wao in public.

Si hilo tu, Dk.Magufuli vile vile aliwapa wateule muda wa dakika chache wajitafakari kwanza ili ambae ataona hawezi kumudu kasi yake ajiondoe mapema, hatujawahi kushuhudia modus operandi ya namna hiyo tangu tupate uhuru, zamani Wawaziri/Kaibu wakuu walikuwa wakwenda Ikulu kula kihapo wanakabidhiwa makabrasha ambayo wananchi tulikuwa hatujui kumeandikwa nini ndani yake - not anymore, kwa Administration ya Dk.Magufuli kila kitu kinahanikwa adhalani,mkuu hapo labda wafanyakazi wenye roho ya paka ndio wanaweza kujaribu kuleta utani na mambo ya wizi kwenye kazi.
 
Back
Top Bottom