The Palm Tree
JF-Expert Member
- Apr 13, 2013
- 7,950
- 12,549
Kosa la kwanza la Magufuli alilolifanya ktk uteuzi wake ni kuwaingiza hawa mabwana wawili ktk cabinet yake; Dr. Harrison Mwakyembe na Prof. Sospeter Muhongo.
Hakika kivuli cha tuhuma za hawa mabwana kitamwandama na hatutashangaa na haitakuwa ajabu kuona akipangua baraza lake la mawaziri si muda mrefu, else ajiandae yeye mwenyewe kuwa JIPU KUU!
Lol, ama kweli CCM ni ile ile, kamwe ni ngumu sana ikabadilika!!
Hakika kivuli cha tuhuma za hawa mabwana kitamwandama na hatutashangaa na haitakuwa ajabu kuona akipangua baraza lake la mawaziri si muda mrefu, else ajiandae yeye mwenyewe kuwa JIPU KUU!
Lol, ama kweli CCM ni ile ile, kamwe ni ngumu sana ikabadilika!!