unakurupuka tu kuandika wakati hujafanya research!! mwakyembe kasimama sana mahakamani akiwa anafundisha akiwa na south law chembers na mvungi hata hao akina mgongolwa wamejifunzia kazi kwa mwakyembe sasa unakuja hapa na ngonjera zisizokuwa na mashiko
watanzana sijui wakoje kwa porojo za barabarani! nani kakuambia ukifanya research ndo ukawa msimamo wako kasome opinion ya thesis yake
Hahahahaha uwiiiii,mbavu zangu,eti alikuwa Moderator,lol!Tokea umetimiliwa umod hata kuandika hujui umepagawa anzisha blog yako
"Ndivyo walivyo wanyakyusa wa Kyela", dharau nyingi na majivuno.
Dr Samson Kiseka aliyekuwa Waziri Mkuu katika serikali ya Yoweri Museveni huko Uganda haliwahi kuhoji weredi na ubunifu wa wasomi wa Kiafrika..
Kweli rangi nyeusi inayoishi Afrika haiwezi kuacha asili yake ya ulimbukeni hata siku moja.Kwa namna ninavyofahamu wasomi wengi duniani ambao wamepata fursa wamefanya mambo makubwa sana kwenye jamii zao na ulimwnguni kwa jumla.
Mfano Dr Carson,The NEURO SURGEON amefanya mambo makubwa kwenye kuboresha matibabu ya ubongo,Hawa ndiyo watu ambao hata wakijisifia kuwa wamesoma utakubaliana nao kwasababu wanastahili lakini kamwe hutawasikia akina Dr Ben Carson wakijisifia kuwa wao ni wasomi kuliko wengine isipokuwa matendo yao yanaongea mengi na hata kujizolea sifa lukuki ulimwenguni.
Nikirudi kwa wasomi wetu wa Afrika kusema kweli wanakera sana.Wao wanadhani kukusanya vyeti kutoka vyuo mbalimbali na kujifungia library kuandika vitabu wakitumia kazi za watu wengine ndiyo wamemaliza wajibu wao wa kulijenga Bara la Afrika.Leo Mwakyembe anaposimama pale Bungeni na kuanza kukejeli elimu za wenzake na kujisifia kwamba yeye amesoma sana kwakweli inasikitisha sana.
Huyu jamaa anatakiwa aongezewe dose ya polonium ili kureboot bichwa lake
Hivi mlitegemea kitu cha maana toka kwake kweli? Let us be seriuos jamani, yale mawea liyopigwa nayo kupitia Tundu sioni namna nyingine ambayo angekuja nayo Mwakyembe pale, kiukweli ni bora ngenyamaza kimya kabisa asijibu chochote na kwasababu mwenyekiti wa hili bunge ni swahiba wake, wangeongea hata chemba tu, angetengeneza hata safari ya kikazi nje ya bunge hilo, sasa kajidhalilisha sana, Labda tu swali la kizushi tungeuliza hapa kwa wasomi wengine; kwakua hicho kitabu ndicho kilichompa u-doctor, je haiwezekani wakawasiliana na hicho chuo ili wa-review degreee yake? Cause hata yeye mwenyewe kumbe hana imani na research aliyoifanya!
Hapa mkuu kuna kitu kingine umemaanisha? Sijakupata sawasawa! Au nami leo nimeamka na akili kama za Mwakyembe? Ugumu wa kuelewa.
Mnafiki tu yule hana lolote.Msomi gani unatumwa kuchunguza jambo halafu ukija unatoa taarifa nusu na nyingine kuzificha eti kumwokoa JK asiporomoke. Wasomi ni akina Warioba, Nyalali na Robert Kisanga ambao wao waliita koleo ni koleo na sio kijiko kama alivyofanya yeye kwenye richmond mnafiki mkubwaJana nilimdharau Mwakyembe alivyokuwa anajivuna na kuwaponda wenzake huku akishindwa kupinga hoja za wapinzani wake lakini ''Miafrika ndivyo tulivyo'' Nyani Ngabu
Kwa hiyo unasemaje kuhusu tumbo lililomzaa Tundu.Lissu?