Mwakyembe amshushua Tundu Lissu...

Mwakyembe amshushua Tundu Lissu...

Hivi hawa wanasiasa wamelaaniwa jamani? Waziri mzima anatoa mipasho. Phd holder -- no way, labda phd ya trash. Wana shida gani hawa? Hawajifunzi kwa nchi nyingine? Na pia hawajali kuwa watoto zao wanawatazama na kuwasikia wakati wanaongea haya mapumba?? Wananchi tuna needs nyingi sana ambazo hawa watu wanapaswa kuzi-adress badala ya kufanya huu upumbavu wanaoufanya sasa; tena kwa kutumia kodi zetu.

Professor anayewaita wenzake "Interahamwe?"
 
Kumbe Mwakyembe nae msaka tonge, sasa nani wa kunyang'anywa degree? maana Mwakyembe mwenyewe ndo aliandika kitabu na sasa hiv anakikana

Umekisoma hicho "kitabu" kinasema kuwa "Muungano sio halali?"
 
Muumba ashukuriwe, Matumbo ya Wanawake yanazaa kwa kweli.........

269127_10151046287402327_2117747918_n.jpg

Kwa hiyo unasemaje kuhusu tumbo lililomzaa Tundu.Lissu?
 
Kwa mara ya kwanza kusikia akichangia bunge la katiba leo asubuhi nimejifunza mambo makuu yafuatayo.

1.Mwalimu hawawezi kukufundisha kila kitu anachokijua kwa kuwa anajua ukijua kila kitu unaweza kumzidi. Ukisikiliza namna alivyochangia utagundua kuwa Tundu Lissu alisoma vijarida tu vya sheria pale Mlimani badala ya kusoma vitabu vya sheria.
Namnukuu dr mwakyembe akihoji kitabu chake kutumiwa vibaya na tundu lissu "Mh mwenyekiti huwezi ukakisoma kitabu hiki kwa haraka haraka ukakielewa kama unavyosoma gazeti la Tanzania Daima"

2. Tundu lisu anaweza kunyanganywa degree yake wakati wowote. Akichangia leo amewataka waalimu waliomfundisha Tundu lisu kuanza kufikiria namna ya kumnyanganya tundu lisu degree yake hii ya mlimani kwani anakitia chuo hiki AIBU.

3.Maalimu Seifu hata siku moja hawezi akadai serikali tatu na ndio maana hakubaliani na wana UKAWA kuhusu serikali tatu ila yeye kasimamia kwenye hoja ya serikali ya mkataba sababu ni hii:- Akichangia leo dr mwakyembe alinukuu baadhi ya maneno ya maalimu seifu aliyowahi kuyasema na nukuu "Mh mwenyekiti unapokuwa kiongozi unatakiwa usimamie maneno yako naoma nimnukuu mh maalimu sefu maneno yake aliyokwisha kuyatoa bungeni kwamba nanukuu hatuwezi kuuvunja muungano wa tanganyika na zanzibar kwani kufanya hivyo umewarahisishia wale tuliowafukuza njia ya kurudi. Adui yao mkubwa na kikwazo kikubwa cha wao kutorudi ni muungano huu" . Katika hoja yake maalimu seifu alitahadharisha pia kuwa si kwamba muungano hauna dosari ila ni vizuri kuzitatua dosari hizo kuliko kuuvunja muungano.

4. Tundu Lisu ni MJINGA kabisa na anatakiwa arudi darasani kujifunza tena upya na ikiwezekana abadilishe fani kabisa SHERIA imemkataa.Katika uchangiaji wake dr mwakyembe alihoji kuwa hata mwananchuo wa mwaka wa kwanza anajua kuwa kama umedumu na muungano huu kwa miaka 50 na hujauhoji leo huwezi kuhoji sain au makataba wake kwani kwa muda ambao umedumu nao ni kwamba umeshaubariki kuna neno la kisheria alilitumia hapa.

5. Kuna hatari ya maproffesor na ma dk kukataa Tundu lisu asiwa wanukuu maandiko yao kutokana na kuyapotosha nafikiri hili linaruhusiwa. Atabaki kunukuu vitabu vya shigongo vya mapenzi na vya nyambari nyangwine.

Is this real from a phd holder ?
Truth is self-sustained !
 
Kwa mara ya kwanza kusikia akichangia bunge la katiba leo asubuhi nimejifunza mambo makuu yafuatayo.

1.Mwalimu hawawezi kukufundisha kila kitu anachokijua kwa kuwa anajua ukijua kila kitu unaweza kumzidi. Ukisikiliza namna alivyochangia utagundua kuwa Tundu Lissu alisoma vijarida tu vya sheria pale Mlimani badala ya kusoma vitabu vya sheria.
Namnukuu dr mwakyembe akihoji kitabu chake kutumiwa vibaya na tundu lissu "Mh mwenyekiti huwezi ukakisoma kitabu hiki kwa haraka haraka ukakielewa kama unavyosoma gazeti la Tanzania Daima"

2. Tundu lisu anaweza kunyanganywa degree yake wakati wowote. Akichangia leo amewataka waalimu waliomfundisha Tundu lisu kuanza kufikiria namna ya kumnyanganya tundu lisu degree yake hii ya mlimani kwani anakitia chuo hiki AIBU.

3.Maalimu Seifu hata siku moja hawezi akadai serikali tatu na ndio maana hakubaliani na wana UKAWA kuhusu serikali tatu ila yeye kasimamia kwenye hoja ya serikali ya mkataba sababu ni hii:- Akichangia leo dr mwakyembe alinukuu baadhi ya maneno ya maalimu seifu aliyowahi kuyasema na nukuu "Mh mwenyekiti unapokuwa kiongozi unatakiwa usimamie maneno yako naoma nimnukuu mh maalimu sefu maneno yake aliyokwisha kuyatoa bungeni kwamba nanukuu hatuwezi kuuvunja muungano wa tanganyika na zanzibar kwani kufanya hivyo umewarahisishia wale tuliowafukuza njia ya kurudi. Adui yao mkubwa na kikwazo kikubwa cha wao kutorudi ni muungano huu" . Katika hoja yake maalimu seifu alitahadharisha pia kuwa si kwamba muungano hauna dosari ila ni vizuri kuzitatua dosari hizo kuliko kuuvunja muungano.

4. Tundu Lisu ni MJINGA kabisa na anatakiwa arudi darasani kujifunza tena upya na ikiwezekana abadilishe fani kabisa SHERIA imemkataa.Katika uchangiaji wake dr mwakyembe alihoji kuwa hata mwananchuo wa mwaka wa kwanza anajua kuwa kama umedumu na muungano huu kwa miaka 50 na hujauhoji leo huwezi kuhoji sain au makataba wake kwani kwa muda ambao umedumu nao ni kwamba umeshaubariki kuna neno la kisheria alilitumia hapa.

5. Kuna hatari ya maproffesor na ma dk kukataa Tundu lisu asiwa wanukuu maandiko yao kutokana na kuyapotosha nafikiri hili linaruhusiwa. Atabaki kunukuu vitabu vya shigongo vya mapenzi na vya nyambari nyangwine.

Is this real from a phd holder ?
Even if truth is not seen by any one, it can't be an error!
 
Huwezi kumsifia eti mtu ana akili sababu ya kukubali/kuisupport point yako... akisema serikali 2 wale wanaotaka 3 wamwone kilaza... nahisi anaemwona mwenzie ivo kwasababu hizo, yeye ni mara mbili yake...
 
Mambo ya siasa acha kabisa. Yaani Maprofesa na wenye PhD zao wameziweka kando wanaanza kutetea ujinga! Inafika mahali mpaka Dr. Mwakyembe anakanusha kitabu chake?!

uko sawa kabisa

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Mie sikusikia lolote la maana sana katika mchango wa kutengeneza katiba mpya zaidi ya kumshambulia Lissu na kumsifia Shivji "Eti ni Prof. pekee mwenye Phd 3 hapa TZ". Sasa kama kila kitu anachosema Shivji ndio sahihi kutokana na usomi wake si angepewa kazi ya kutuandikia katiba alafu inapitishwa bila kuongeza wala kupunguza nukta! Manake nani anaweza kumkosoa Prof. mwenye Phd. 3! Na hilo lingeokoa sana gharama!!!! Ila pia niligundua Mwakyembe anakipaji kizuri cha kutunga na kuimba mashairi, rejea ile single yake ya Richmonnd.
 
Tundu Lissu ni mpotoshaji mkubwa sana na ni mtu hatari sana usalama, umoja na mshikamano wa nchi yetu! Ni mtu asiye na heshima na adabu kwa wakubwa zake!
Msije mkashangaa akimtukana baba yake hadharani kisa eti kadigrii kake ka sheria!

Haki ya mama sikuwahi kufikiria kama na wewe ni mjinga kiasi hiki....!
 
Namnukuu dr mwakyembe akihoji kitabu chake kutumiwa vibaya na tundu lissu "Mh mwenyekiti huwezi ukakisoma kitabu hiki kwa haraka haraka ukakielewa kama unavyosoma gazeti la Tanzania Daima"

QUOTE]

Kweli CCM is a mental disease, badala ya huyu Dr. Mwakyembe kujificha kwenye hiyo statement tata atwambie katika alikuwa anamaanisha nini aliposema the ONLY alternative is three government. "Asijimwamba fai" kwamba kitu alichoandika kwenye kitabu chake ni kigumu kueleweka. Watu tunasoma nuclear physics tunaelewa hiyo DS yake kwenye kitabu ndiyo iwe ngumu kueleweka?!. Huyu Dr. bure kabisa, wala hana hadhi ya kumjibu TL.
 
Muumba ashukuriwe, Matumbo ya Wanawake yanazaa kwa kweli.........

269127_10151046287402327_2117747918_n.jpg

Hapa mkuu kuna kitu kingine umemaanisha? Sijakupata sawasawa! Au nami leo nimeamka na akili kama za Mwakyembe? Ugumu wa kuelewa.


Sent from my iPad using JamiiForums
 
Bunge la katiba hongererni kwa kuwajadiri Ukawa kwa ustarabu na mko nje ya hoja Watanzania wenye nia nzuri tunawasikiliza


Sent from my iPad using JamiiForums
 
Professor anayewaita wenzake "Interahamwe?"

Tena mbona nafuu ya Interahamwe ya Rwanda. Hii ya hapa ni zaidi maana hata katika hali ya amani inapanga mipango miovu.


Sent from my iPad using JamiiForums
 
Wamvue degree mzee Mohamed Said kwakuwa anachokiandika kila siku hakina tofauti na alichosema Tunduiisu.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom