Sikonge
JF-Expert Member
- Jan 19, 2008
- 11,633
- 6,229
Amezoea vya Kunyonga, vya kuchinja haviwezi......
Amezoea vya HARAMU, vya HALALI haviwezi........
Chezea Tundu Lissu. Siku hiyohiyo, hati ya Muungano ikapatikana.
Amezoea vya HARAMU, vya HALALI haviwezi........
Chezea Tundu Lissu. Siku hiyohiyo, hati ya Muungano ikapatikana.
..Mwakyembe alidai kwamba kuna watu wamepanga kumuua? tena watu hao wamekodisha magaidi wa al-shabab.
..baada ya hapo Mwakyembe akaja na madai kwamba amekuwa poisoned na wabaya wake ktk siasa.
..tena ilifikia Mwakyembe, Samuel Sitta, na Ana Kilango Malecela, kwenda mpaka makanisani na kutoa ushuhuda kwamba Mwakyembe amewekewa sumu.
..mimi naweza kusema kwamba Mwakyembe ana tabia za kitapeli-tapeli.
cc Sikonge