Mwakyembe amshushua Tundu Lissu...

Mwakyembe amshushua Tundu Lissu...

Kama mwakyembe na lissu wangekuwa memory card uwezo wao ungesomeka hivi :-
Mwakyembe 1GB.
Tindu Lisu 4GB.
 
Mimi nilidhani angeelezea abstract ya kazi yake pale alipokuwa anamjibu mh. Lissu kuwa alitoa conclusion kwa kusoma mstari, badala yake na yeye kaishia katusomea mstari tu kwenye hiyokazi yake na kuanza kumchafua Maalimu Seif ili ajisafishe yeye. Sijui kwanini hawa wasomi wetu wanapenda kutumia taaluma zao kisiasa, badala ya kutoa ufumbuzi wa changamoto mbalimbali tulizonazo kulingana na fani zao walizobobea.
Nimemshangaa kwa kukana vitabu vyake yeye mwenyewe anatakiwa ajitafakal upya na akachome maandish yake.
 
Kwa mara ya kwanza kusikia akichangia bunge la katiba leo asubuhi nimejifunza mambo makuu yafuatayo.

1.Mwalimu hawawezi kukufundisha kila kitu anachokijua kwa kuwa anajua ukijua kila kitu unaweza kumzidi. Ukisikiliza namna alivyochangia utagundua kuwa Tundu Lissu alisoma vijarida tu vya sheria pale Mlimani badala ya kusoma vitabu vya sheria.
Namnukuu dr mwakyembe akihoji kitabu chake kutumiwa vibaya na tundu lissu "Mh mwenyekiti huwezi ukakisoma kitabu hiki kwa haraka haraka ukakielewa kama unavyosoma gazeti la Tanzania Daima"

2. Tundu lisu anaweza kunyanganywa degree yake wakati wowote. Akichangia leo amewataka waalimu waliomfundisha Tundu lisu kuanza kufikiria namna ya kumnyanganya tundu lisu degree yake hii ya mlimani kwani anakitia chuo hiki AIBU.

kama jina lako, inaonekana bado elimu yako ndogo, rudi class ili urepresent vizuri!
 
Buchanan ni kweli huyu Tundu Lissu anaweza kuukana utanzania hata akaishi Uingereza, ukisoma sana ni rahisi kuwa msaliti.

Ni kweli ukisoma sana hukawii kuwa msaliti kama akina Prof Tibaijuka,na Mwakyembe ambaye anawasaliti watanganyika hata maandiko yake mwenyewe ameyasaliti...
 
Haya hayaa....aibu yao,aibu yenu..all in all.hizo thesis huwa zainaandikwa watu tupate tudigrii.tutusaidie kuweka
tonge la ugali kinywani..
Si kitu kitu kinachoandikwa huwa tunakiamini..hata kanisani,wanatheolojia nguli huwa wanahoji uwepo wa Mungu
wanayemfundisha kwenye concepts zao..
Yale maandishi tuu,kilichoandikwa na kukiamini kwetu..si lazima virandane.
Mie nina profesa wangu mmoja,nilimuuliza kitu.akanjibu mwanangu acha upuuzi..fanya yako.maisha yasonge.
NA hapo kimbuka nilimnukuu yeye mwenyewe..
 
Mkuu hata mimi wa Tanganyika, lakini kwa kijana aliyesoma kutoka uswekeni kuanza kumkashifu Mwalimu kama alivyofanya huyo Tundu, haimpi hedsima wala sifa ya usomi.

Ninavyojua pengine asingekuwa Mwalimu kwa anakotoka huyo Tundu angekuwa anafuga au kuwinda miaka hii.Elimu inafundisha staha na udtaarabu na si uongo , uzandiki,uchonganishi na kwa ujumla anti social behaviour ya huyo Tundu.

Huna hoja kakojoe ulale.
 
Mh. Dr. Hata J. F. Kennedy aliwahi kusema "You can fool one man for the rest of his life but not the whole World in a single day" Today the day has come where one has revealed the fooling which existed. You care the paper and records on his success full completion of Llb but material in his head is his and wel wishers
 
Mh. Dr. Hata J. F. Kennedy aliwahi kusema "You can fool one man for the rest of his life but not the whole World in a single day" Today the day has come where one has revealed the fooling which existed. You care the paper and records on his success full completion of Llb but material in his head is his and wel wishers

John f Kennedy au Bob Marley?
 
Mbona ni rahisi sana? Wanawake wanazaa kila aina ya vituko duniani. Sasa wewe unaandika ukiwa shuleni unafanya PhD kuwa unataka serikali tatu na inavyokuja kwenye practical unaruka juu kama Sergej Bubka wa Ukraine, wapi na wapi?

Ndiyo maana nikasifu Mama yake Mwakyembe kwa kutuzalia Harrison mwenye akili za darasani nyingi sana, uwezo mkubwa sana ila inapokuja kwenye kuonyesha uwezo wake, anakabidhi akili zake kwa Nape Nnauye. Yaani yeye na Lusinde (Mzee wa Kudadadeki) wanakuwa sawasawa.

Kuna wimbo wa Will I AM anaimba "I got it from my Mamma."

Ts a shame bwana Harrison halaf anajiita mwanaharakati
Mwanaharakati my as.s
Mi tokea ajisifie kwa kuacha madudu ya Richmond nilishamuona walewale tu
 
Last edited by a moderator:
Ni kweli ukisoma sana hukawii kuwa msaliti kama akina Prof Tibaijuka,na Mwakyembe ambaye anawasaliti watanganyika hata maandiko yake mwenyewe ameyasaliti...

Tibaijuka mwenyewe ana vi-ngo kama mchanga aisee
 
Njaa mbaya sana duu...ivi si huyu na dr. Mlimuka walisemaga Rais wa zanzibar ni kama makamba???
Ama kweli Tanzania nchi ya ajabu kwelikweli. Msomi wa Tanzania akiingia siasa basi huyo ni kama amekufa. Mnamsikia MZEE WA UKURUTU akiinajisi taaluma? Ovyo kabisa, na bila shaka ile sumu ilimuathiri sana maanailishambulia ngozi na kichwa. Du! Ningejua nisingesoma, najuta Baba na Mama kunipeleka shule kujua ujinga wa wale wajiitao wasomi.
 
Muungano ukidumu miaka hamsini hauhojiki?

Sheria gani hiyo?

Mbona Scotland watu wanahoji muungano mpaka kesho?

Mbona Texas watu wanahoji muungano mpaka kesho?

Mbona Quebec watu wanahoji muungano mpaka kesho?

Hata baada ya mamia ya miaka!
 
Mkuu hata mimi wa Tanganyika, lakini kwa kijana aliyesoma kutoka uswekeni kuanza kumkashifu Mwalimu kama alivyofanya huyo Tundu, haimpi hedsima wala sifa ya usomi.

Ninavyojua pengine asingekuwa Mwalimu kwa anakotoka huyo Tundu angekuwa anafuga au kuwinda miaka hii.Elimu inafundisha staha na udtaarabu na si uongo , uzandiki,uchonganishi na kwa ujumla anti social behaviour ya huyo Tundu.

What is so special about Nyerere? Lissu ameonyesha makosa na mapungufu yake hasa kuhusu muungano,iwapo leo hii wapo wanaohoji uwepo wa Mungu na maandiko yake itakuwa Nyerere?Isiwe umeadhirika na ile motto ya kudumisha fikra sahihi za m/kiti,hebu amka mkuu Nyerere was just a mere human being,na amefanya makosa pia,pangua hoja za Lissu alizotoa kwa kuonyesha makosa yake si kumjadili binafsi kisha uniambie kwann Nyerere asikosolewe
 
Ukiingia kwenye siasa unakuwa mtu wa ajjabu sana, sikutegemea kusikia kauli za kitoto kama alizotoa Dr wa Falsafa Mwakyembe, eti wamesoma neno moja au sentensi moja au mbili bila kupitia Thesis yake yote au ya Shvji. Then anasema eti Tundu kasoma juzi juzi tu tena kwa kuunga unga hana uwezo wowote wa kuchambua mambo,soma mwananch ya leo pg 16, Eti Lisu amefanya utapeli wa Kisomi, mi nafikiri kama anadhani Thesis yake haikujenga hoja hizo angekuja na objectives zake, hypothesis alizokuwa anatest na atuambia conclusion yake ilikuwaje, tena hata kwa kutoa nakala ya Thesis yake akawapa waandishi wa habari ambao wangeweza kuifikisha kwa wananchi kwa urahisi na kujulikana nani muongo au tapeli wa kisomi. Ilikuwa ni kujibu kwa busara tu kwa kuwa yy ni waziri tena mwenye dhamana, na hata hivyo huwezi kujibu ujinga kwa maneno yasiyostahili
 
Ama kweli muda huleta jawabu sahihi. Mwakyembe huyu wa sasa ni tofauti na Mwakyembe aliyetoa report iliyomwangusha Lowasa kipindi kile. Nakumbuka Lowasa alivyosema kwamba je kinachotafutwa ni huu uwaziri mkuu.

Kama si muda kupita tungeendelea kuweka imani yetu kwa Mwakyembe llkn sasa tumemjua vizuri kuwa tusiamini anachosema kwani hachelewi kukana.
 
Mwakyembe anafikiri kuwa kama umesomea degree ya sheria basi ndio wewe msomi!!! Hao waliomtibu hiyo sumu aliyolishwa ndio wasomi na wala hawajigambi hadharani!!! Wamesoma lakini hawa magamba hawajaelimika!!!
 
Nilishawahi kusema humu ndani Mwakyembe na Sitta ni aina ya viongozi wapenda sifa na wanafiki wa kutupwa. Kumbuka walichofanya kwenye sakata la Richmond. Binafsi nimeshawi kukutana na Mwakyembe mara nyingi sana, ni mtu anayependa sana sifa. Mkiwa kwenye kundi la watu, na ikionekana hatambuliki, ni lazima ajaribu kila namna kujikweza ili watu wamjue yeye ni nani. Ni limbukeni fulani hivi.
 
Back
Top Bottom