Mwakyembe amshushua Tundu Lissu...

Mwakyembe amshushua Tundu Lissu...

Tundu Lissu ni mpotoshaji mkubwa sana na ni mtu hatari sana usalama, umoja na mshikamano wa nchi yetu! Ni mtu asiye na heshima na adabu kwa wakubwa zake!
Msije mkashangaa akimtukana baba yake hadharani kisa eti kadigrii kake ka sheria!
watu hatari kwa usalama na umoja wetu ni mainterahamwe!
 
Ukiwa msomi ndani ya ccm, taaluma yako unaiacha mlangoni, ukiingia ndani unafanya kama wenzako, kinyumenyume! Chezea interahamwe wewe?
 
Tundu Lissu ni mpotoshaji mkubwa sana na ni mtu hatari sana usalama, umoja na mshikamano wa nchi yetu! Ni mtu asiye na heshima na adabu kwa wakubwa zake!
Msije mkashangaa akimtukana baba yake hadharani kisa eti kadigrii kake ka sheria!

kama alivyomtukana mwakyembe kwa kunukuu kitabu chake(mwakyembe)ambacho amekana maandishi yake,tafsiri nyingine hata hiyo doctorate ameikana kwakuwa hicho kitabu ilikuwa ni sehemu ya kupatia hiyo phd yake.naona ile picha ya petro. alivyomkana yesu,kweli lissu mwehu analazimisha kumuita mtu dokta wakati mwenyewe anakana kuwa sio.
 
kama seif hamad alisema kiongozi unatakiwa usimamie maneno yako,je,mwakyembe amesimamia yale aliyoya andika ktk kitabu chake kilichonukuliwa na lissu?,na kama lissu hakusema ukweli je mwakyembe amekanusha kuwa hajaandika kilichosemwa!,kama kunyang'anywa digrii waanze na yeye anayekana maandishi yake.kuhusu eti mwalimu hakufundishi kila kitu kwa kuwa utamzidi huo ni upuuzi na ndio maana hili taifa linakuwa masikini kila uchao sababu ya ubinafsi.du!,kumbe udsm wanatoa digrii za vijarida!,aibu kwa wasomi wa nji hii.

Huyu mzee mwakembe anachanganyikiwa, hajui aseme nini, Tundu Lisu kawachanganya kabisa.
 
Kwa mara ya kwanza kusikia akichangia bunge la katiba leo asubuhi nimejifunza mambo makuu yafuatayo.

1.Mwalimu hawawezi kukufundisha kila kitu anachokijua kwa kuwa anajua ukijua kila kitu unaweza kumzidi. Ukisikiliza namna alivyochangia utagundua kuwa Tundu Lissu alisoma vijarida tu vya sheria pale Mlimani badala ya kusoma vitabu vya sheria.
Namnukuu dr mwakyembe akihoji kitabu chake kutumiwa vibaya na tundu lissu "Mh mwenyekiti huwezi ukakisoma kitabu hiki kwa haraka haraka ukakielewa kama unavyosoma gazeti la Tanzania Daima"

2. Tundu lisu anaweza kunyanganywa degree yake wakati wowote. Akichangia leo amewataka waalimu waliomfundisha Tundu lisu kuanza kufikiria namna ya kumnyanganya tundu lisu degree yake hii ya mlimani kwani anakitia chuo hiki AIBU.

3.Maalimu Seifu hata siku moja hawezi akadai serikali tatu na ndio maana hakubaliani na wana UKAWA kuhusu serikali tatu ila yeye kasimamia kwenye hoja ya serikali ya mkataba sababu ni hii:- Akichangia leo dr mwakyembe alinukuu baadhi ya maneno ya maalimu seifu aliyowahi kuyasema na nukuu "Mh mwenyekiti unapokuwa kiongozi unatakiwa usimamie maneno yako naoma nimnukuu mh maalimu sefu maneno yake aliyokwisha kuyatoa bungeni kwamba nanukuu hatuwezi kuuvunja muungano wa tanganyika na zanzibar kwani kufanya hivyo umewarahisishia wale tuliowafukuza njia ya kurudi. Adui yao mkubwa na kikwazo kikubwa cha wao kutorudi ni muungano huu" . Katika hoja yake maalimu seifu alitahadharisha pia kuwa si kwamba muungano hauna dosari ila ni vizuri kuzitatua dosari hizo kuliko kuuvunja muungano.

4. Tundu Lisu ni MJINGA kabisa na anatakiwa arudi darasani kujifunza tena upya na ikiwezekana abadilishe fani kabisa SHERIA imemkataa.Katika uchangiaji wake dr mwakyembe alihoji kuwa hata mwananchuo wa mwaka wa kwanza anajua kuwa kama umedumu na muungano huu kwa miaka 50 na hujauhoji leo huwezi kuhoji sain au makataba wake kwani kwa muda ambao umedumu nao ni kwamba umeshaubariki kuna neno la kisheria alilitumia hapa.

5. Kuna hatari ya maproffesor na ma dk kukataa Tundu lisu asiwa wanukuu maandiko yao kutokana na kuyapotosha nafikiri hili linaruhusiwa. Atabaki kunukuu vitabu vya shigongo vya mapenzi na vya nyambari nyangwine.

Mwakyembe bado mgonjwa. Slow poison at work! Mgonjwa hawezi shindana na mzima.
 
Kwa mara ya kwanza kusikia akichangia bunge la katiba leo asubuhi nimejifunza mambo makuu yafuatayo.

1.Mwalimu hawawezi kukufundisha kila kitu anachokijua kwa kuwa anajua ukijua kila kitu unaweza kumzidi. Ukisikiliza namna alivyochangia utagundua kuwa Tundu Lissu alisoma vijarida tu vya sheria pale Mlimani badala ya kusoma vitabu vya sheria.
Namnukuu dr mwakyembe akihoji kitabu chake kutumiwa vibaya na tundu lissu "Mh mwenyekiti huwezi ukakisoma kitabu hiki kwa haraka haraka ukakielewa kama unavyosoma gazeti la Tanzania Daima"

2. Tundu lisu anaweza kunyanganywa degree yake wakati wowote. Akichangia leo amewataka waalimu waliomfundisha Tundu lisu kuanza kufikiria namna ya kumnyanganya tundu lisu degree yake hii ya mlimani kwani anakitia chuo hiki AIBU.

3.Maalimu Seifu hata siku moja hawezi akadai serikali tatu na ndio maana hakubaliani na wana UKAWA kuhusu serikali tatu ila yeye kasimamia kwenye hoja ya serikali ya mkataba sababu ni hii:- Akichangia leo dr mwakyembe alinukuu baadhi ya maneno ya maalimu seifu aliyowahi kuyasema na nukuu "Mh mwenyekiti unapokuwa kiongozi unatakiwa usimamie maneno yako naoma nimnukuu mh maalimu sefu maneno yake aliyokwisha kuyatoa bungeni kwamba nanukuu hatuwezi kuuvunja muungano wa tanganyika na zanzibar kwani kufanya hivyo umewarahisishia wale tuliowafukuza njia ya kurudi. Adui yao mkubwa na kikwazo kikubwa cha wao kutorudi ni muungano huu" . Katika hoja yake maalimu seifu alitahadharisha pia kuwa si kwamba muungano hauna dosari ila ni vizuri kuzitatua dosari hizo kuliko kuuvunja muungano.

4. Tundu Lisu ni MJINGA kabisa na anatakiwa arudi darasani kujifunza tena upya na ikiwezekana abadilishe fani kabisa SHERIA imemkataa.Katika uchangiaji wake dr mwakyembe alihoji kuwa hata mwananchuo wa mwaka wa kwanza anajua kuwa kama umedumu na muungano huu kwa miaka 50 na hujauhoji leo huwezi kuhoji sain au makataba wake kwani kwa muda ambao umedumu nao ni kwamba umeshaubariki kuna neno la kisheria alilitumia hapa.

5. Kuna hatari ya maproffesor na ma dk kukataa Tundu lisu asiwa wanukuu maandiko yao kutokana na kuyapotosha nafikiri hili linaruhusiwa. Atabaki kunukuu vitabu vya shigongo vya mapenzi na vya nyambari nyangwine.

Hoja inayohusu wasomi yenye content ya kisomi [sheria] hujadiliwa kisomi. Hoja yako umeileta kimipasho zaidi nakudhihirisha kuwa huna tofauti na wabunge wengi wa chama tawala ambao ni vihiyo. Don't be biased bhana, always discuss the facts.
 
kama alivyomtukana mwakyembe kwa kunukuu kitabu chake(mwakyembe)ambacho amekana maandishi yake,tafsiri nyingine hata hiyo doctorate ameikana kwakuwa hicho kitabu ilikuwa ni sehemu ya kupatia hiyo phd yake.naona ile picha ya petro. alivyomkana yesu,kweli lissu mwehu analazimisha kumuita mtu dokta wakati mwenyewe anakana kuwa sio.

Sijui kama ulimsikiza vizuri Mwakyembe, Ni ajabu humu JF. Hatuchambui mambo kisomi Bali ki siasa zaidi. Ukisha kuwa nje ya msimamo wa upinzani basi pointi zote hazifai. Na pia hata kama pointi zako hazifai kama uko upinzani, zitakuwa za maana sana!
 
Sijui kama ulimsikiza vizuri Mwakyembe, Ni ajabu humu JF. Hatuchambui mambo kisomi Bali ki siasa zaidi. Ukisha kuwa nje ya msimamo wa upinzani basi pointi zote hazifai. Na pia hata kama pointi zako hazifai kama uko upinzani, zitakuwa za maana sana!

hebu nijuze kidogo alichozungumza daktari.pia ulichoandika si kweli,hiyo tabia ipo ccm ya kubeza mawazo ya wapinzani,hebu kaka naomba uniambie ni wapi lissu kamtukana nyerere,mi nadhani wana ccm waliopo bungeni walitakiwa wajibu hoja na si kumshambulia lissu kwani ilikuwa njia nyepesi ya kummaliza tofauti na sasa wanavyomzidishia umaarufu.
 
Tundu Lissu ni mpotoshaji mkubwa sana na ni mtu hatari sana usalama, umoja na mshikamano wa nchi yetu! Ni mtu asiye na heshima na adabu kwa wakubwa zake!
Msije mkashangaa akimtukana baba yake hadharani kisa eti kadigrii kake ka sheria!
Buchanan ni kweli huyu Tundu Lissu anaweza kuukana utanzania hata akaishi Uingereza, ukisoma sana ni rahisi kuwa msaliti.
 
Mambo ya siasa acha kabisa. Yaani Maprofesa na wenye PhD zao wameziweka kando wanaanza kutetea ujinga! Inafika mahali mpaka Dr. Mwakyembe anakanusha kitabu chake?!


Kuitumikia CCM ni razima kwanza ujifanye mwenda wazimu.
 
Hivi hawa wanasiasa wamelaaniwa jamani? Waziri mzima anatoa mipasho. Phd holder -- no way, labda phd ya trash. Wana shida gani hawa? Hawajifunzi kwa nchi nyingine? Na pia hawajali kuwa watoto zao wanawatazama na kuwasikia wakati wanaongea haya mapumba?? Wananchi tuna needs nyingi sana ambazo hawa watu wanapaswa kuzi-adress badala ya kufanya huu upumbavu wanaoufanya sasa; tena kwa kutumia kodi zetu.
 
TUNDU LISSU haumbuliki WALA HAFEDHEHEKI ! NA MWAKYEMBE AKITAKA KUJIDHALILISHA ZAIDI BASI AENDELEE KUMSHAMBULIA LISSU .

hizi ngonjera na taarabu magamba walimfundisha lini mwakyembe?
 
Sumu aliyo pigwa Mwakyembe imefanya kazi sawa sawa.
 
Sikutegemea nae mwakyembea awe bomu hivyo.. Kitabu umeandika wewe..tena kwenye huo mstari umetumia neno..3 government is the ONLY way.. Leo unakana kwa sababu ya siasa za kipumbavu za ccm..kweli bongo tumelaaniwa

kalaaniwa yeye mwakyembe na cyo wabongo
 
Tundu Lissu ni mpotoshaji mkubwa sana na ni mtu hatari sana usalama, umoja na mshikamano wa nchi yetu! Ni mtu asiye na heshima na adabu kwa wakubwa zake!
Msije mkashangaa akimtukana baba yake hadharani kisa eti kadigrii kake ka sheria!

Toka ufukuzwe umoderator umerukwa na busara na akili
 
Kwani kwenye hiyo thesis yake ya udaktari wa falsafa aliongelea serikali tatu? Au kasahau? Hoja ya mwakyembe ni nini hapa?!

Hoja yake iko kwenye uhalali wa Muungano, sio Serikali 3!
 
Back
Top Bottom