MBUTAIYO
JF-Expert Member
- Nov 15, 2010
- 708
- 433
Intarahamwe wote lao ni moja, wana kampeni ya kueneza chuki dhidi ya wapinzani kwa wananchi baada ya kuambiwa ukweli.
Hayo madigree ya Shivji yanahusiana nini na ukweli alioutoa Lisu?
Shivji pamoja na madegree yake amaprove failure baada ya kuwa kigeugeu.
BTW kwanini wanawaomba UKAWA warudi bungeni?
Hayo madigree ya Shivji yanahusiana nini na ukweli alioutoa Lisu?
Shivji pamoja na madegree yake amaprove failure baada ya kuwa kigeugeu.
BTW kwanini wanawaomba UKAWA warudi bungeni?