Umefanya nikumbuke mbali sana na nikisikia vijiji vya ikolo, ngonga, bujonde,katumbasongwe,butangali,kilwa. Alafu namuona huyu mzee anaongea pumba mjini huku natamani nipewe mamlaka ya mungu leo hii maana katelekeza hivo vijij vina hali mbaya sana hawana maji salama ya kunywa kama miaka 25 sasa lakin eti huku dar anasifiwa poor mnyaki mwenzanguKwa mwezi huu dr Mwakyembe amefanya haya machache tuu.
Kwa msisitizo naandika kwa herufi kubwa
LISU ASIWE MGOMBEA WA TLS...AKASHINDWA.
AKATAKA KAFUTA CHAMA WA WANASHERIA TANGANYIKA...AMESHINDWA.
AKATAKA UCHAGUZI UAIRISHWE AKASHINDWA.
AKAPELEKA KESI MAHAKAMANI KUBADILI VIFUNGU VYA TLS...AKASHINDWA.
AKATAKA WATU WASIOE BILA VYETI VYA KUZALIWA...AKASHINDWA....HUYU NDIO WAZIRI WA SHERIA NA KATIBA.
Kwa ushauri tuu Dr. Mwakyembe jimbo la Kyela lina changamoto nyingi ikiwemo kijiji chenu cha Ikolo hakuna hata lami ka deal nazo hizo issues na sio TLS babaa. Kama sumu haijakutoka kichwani urudishwe India tena.
MWAFWAAAA
Hataweza kwa mtindo huo, anaangaika tu.Anabahatisha kutafuta hata moja itakayokubalika kwa kiki zaidi!!
kwani ile sumu ilifika mpaka kichwani?
Umenifurahisha sana,Leo nimefungua sabato kwa furaha zaidi,umeongea point tupuKwa mwezi huu dr Mwakyembe amefanya haya machache tuu.
Kwa msisitizo naandika kwa herufi kubwa
LISU ASIWE MGOMBEA WA TLS...AKASHINDWA.
AKATAKA KAFUTA CHAMA WA WANASHERIA TANGANYIKA...AMESHINDWA.
AKATAKA UCHAGUZI UAIRISHWE AKASHINDWA.
AKAPELEKA KESI MAHAKAMANI KUBADILI VIFUNGU VYA TLS...AKASHINDWA.
AKATAKA WATU WASIOE BILA VYETI VYA KUZALIWA...AKASHINDWA....HUYU NDIO WAZIRI WA SHERIA NA KATIBA.
Kwa ushauri tuu Dr. Mwakyembe jimbo la Kyela lina changamoto nyingi ikiwemo kijiji chenu cha Ikolo hakuna hata lami ka deal nazo hizo issues na sio TLS babaa. Kama sumu haijakutoka kichwani urudishwe India tena.
MWAFWAAAA
Ndugu yetu Msomi (our Learned Colleague), hujachelewa. Be bold enough to tender your resignation since you have failed miserably in all the things that you have been fighting for. Do so while there is still time.Kwa mwezi huu dr Mwakyembe amefanya haya machache tuu.
Kwa msisitizo naandika kwa herufi kubwa
LISU ASIWE MGOMBEA WA TLS...AKASHINDWA.
AKATAKA KAFUTA CHAMA WA WANASHERIA TANGANYIKA...AMESHINDWA.
AKATAKA UCHAGUZI UAIRISHWE AKASHINDWA.
AKAPELEKA KESI MAHAKAMANI KUBADILI VIFUNGU VYA TLS...AKASHINDWA.
AKATAKA WATU WASIOE BILA VYETI VYA KUZALIWA...AKASHINDWA....HUYU NDIO WAZIRI WA SHERIA NA KATIBA.
Kwa ushauri tuu Dr. Mwakyembe jimbo la Kyela lina changamoto nyingi ikiwemo kijiji chenu cha Ikolo hakuna hata lami ka deal nazo hizo issues na sio TLS babaa. Kama sumu haijakutoka kichwani urudishwe India tena.
MWAFWAAAA