Mwaka unaisha, umefanikiwa kufanya nini?

Mwaka unaisha, umefanikiwa kufanya nini?

Mambo yameniharibikia sana ila nashukuru bado napata pumzi
Pole sana kiongozi, tupo wengi tulioomba huu mwaka upite tukiwa hai tu. Kwa kweli ulikuwa mwaka tasa kwangu. Nimepoteza vingi vya thamani mwaka huu, kazi ya 2.4m take home plus kushinda mahakamani mwaka mzima kwa kesi ya madai ya kutungwa. Kikubwa kutenganishwa na mwanangu mpendwa, hakika sitakusahau 2019.
 
Pole sana usikate tamaa , cha msingi ni kumshukuru Mungu kwa yote ..
Da ulikuwa mwaka mgumu sana kwangu nimempoteza mwangu , nimempoteza dada yangu, nikaibiwa pikipiki mbili hakika ulikuwa mwaka mgumu sana ...
 
Aisee pole sana doh ,
Pole sana kiongozi, tupo wengi tulioomba huu mwaka upite tukiwa hai tu. Kwa kweli ulikuwa mwaka tasa kwangu. Nimepoteza vingi vya thamani mwaka huu, kazi ya 2.4m take home plus kushinda mahakamani mwaka mzima kwa kesi ya madai ya kutungwa. Kikubwa kutenganishwa na mwanangu mpendwa, hakika sitakusahau 2019.
 
Back
Top Bottom