Mwaka huu:
1. Nimeongeza ujuzi kwenye forex.
2. Nimejifunza website development (Hii nataka niitumie sana mwakani, infact mpaka sasa nimetengeneza websites mbili).
3. Nimesoma vitabu vinne vya kuongeza maarifa.
4. Nimeboresha ujuzi katika kazi yangu.
5. Nimejifunza kwamba "Bila pesa furaha hakuna".
6. Nimejifunza social media marketing hasa kwenye facebook na instagram.
MWaka huu sehemu kubwa nimetumia katika kuongeza ujuzi hasa maeneo yasiyo ya fani yangu!
The idea ni kuwa na wigo mpana kiuchumi! Kuanzia mwaka natarajia kuanza kuona matunda kwa uwekezaji wa elimu/ujuzi nilioufanywa mwaka huu.
Kwa sasa nakumbuka hayo.