Lunyungu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 8,873
- 1,919
Wana JF
Waandishi wetu na nadhani hata sisi wananchi tumekuwa na tabia ya kusahau mambo baada ya kuanza kwa ushabiki.Na muda mwingi mambo serious huwa tunayapa ushabiki mkubwa na mambo ya kijinga tunayapa uzito wa hali ya juu .Mimi naomba tukikumbushe mambo haya 2 na kama nawe una lako ongeza kwenye orodha tuone tunamalizaje mwaka na yana status gani popote yaliko .
1.Msemakweli na walio foji vyeti vya Elimu ya juu .
Alisema na aka andika kitabu kwa uwazi.Nikasikia wahusika wanasema wanaenda mahakamani .Lakini hata leo hakuna aliye enda kudai haki ya kuchafuliwa .Na watu hawa bado wana heshima kubwa kwenye jamii hata baada ya dhambi kubwa hiyo waliyo ifanyia jamii .Je unaweza kuniambia kwa nini hawakwenda mahakamani kudai kusafishwa majina wakiwa na ushahidi wa Elimu zao ?
2.Kesi ya Rizwan dhidi ya Slaa na Mtikila nayo imeishia wapi na kuna lolote linaendelea ?
naomab kuwasilisha
Angalizo: Kwa wale wasio kuwa wachambuzi na majibu ya kistaarabu tafadhali piteni tu waache wenye nia ya mijadala kwa faida ya wengi waseme .
Waandishi wetu na nadhani hata sisi wananchi tumekuwa na tabia ya kusahau mambo baada ya kuanza kwa ushabiki.Na muda mwingi mambo serious huwa tunayapa ushabiki mkubwa na mambo ya kijinga tunayapa uzito wa hali ya juu .Mimi naomba tukikumbushe mambo haya 2 na kama nawe una lako ongeza kwenye orodha tuone tunamalizaje mwaka na yana status gani popote yaliko .
1.Msemakweli na walio foji vyeti vya Elimu ya juu .
Alisema na aka andika kitabu kwa uwazi.Nikasikia wahusika wanasema wanaenda mahakamani .Lakini hata leo hakuna aliye enda kudai haki ya kuchafuliwa .Na watu hawa bado wana heshima kubwa kwenye jamii hata baada ya dhambi kubwa hiyo waliyo ifanyia jamii .Je unaweza kuniambia kwa nini hawakwenda mahakamani kudai kusafishwa majina wakiwa na ushahidi wa Elimu zao ?
2.Kesi ya Rizwan dhidi ya Slaa na Mtikila nayo imeishia wapi na kuna lolote linaendelea ?
naomab kuwasilisha
Angalizo: Kwa wale wasio kuwa wachambuzi na majibu ya kistaarabu tafadhali piteni tu waache wenye nia ya mijadala kwa faida ya wengi waseme .