Je, wajua faida ya Mkataba wa uwekezaji wa DP World nchini?

Maryam Malya

Senior Member
Nov 29, 2021
115
258
1. Mikataba ya uwekezaji iliyosainiwa kati ya Nchi ya Tanzania na mamlaka ya Dubai kupitia Kampuni ya DP World imesainiwa kuzingatia kifungu cha 2 cha sheria ya Ubia Na. 6 ya mwaka 2023 na kifungu cha 2 cha sheria ya ununuzi wa Umma Na. 5 ya Mwaka 2023.

2. Hapo awali serikali ilikuwa inatumia takriban asilimia 90 ya mapato yaliyokusanywa katika uendeshaji wa maeneo hayo yaliyokodishwa na kubakiwa na asilimia 10 tu ya mapato yote, lakini kupitia hili la mkataba, Serikali itaweza kubaki na asilimia 60 ya mapato yote kutokana na gharama zote za uendeshaji kubakia kwa kampuni ya DP World

3. TRA itakusanya mapato kutoka shilingi Trilioni 7.8 za Mwaka 2021-2022 hadi shilingi Trilioni 26.7 kwa mwaka ifikapo mwaka 2032/33.

4. Kampuni ya DP World kupitia Mkurugenzi Mtendaji wake Ahmed Bin Sulayem inakwenda kuanza na uwekezaji wa Dola za Marekani milioni 250 sawa na shilingi bilioni 623.75 za kitanzania.
 
𝐀𝐦𝐛𝐚𝐨 𝐡𝐚𝐭𝐮𝐣𝐮𝐢 𝐬𝐡𝐞𝐫𝐢𝐚 𝐭𝐮𝐟𝐚𝐧𝐲𝐞𝐣𝐞?
 
2. Hapo awali serikali ilikuwa inatumia takribani asilimia 90 ya mapato yaliyokusanywa katika uendeshaji wa maeneo hayo yaliyokodishwa na kubakiwa na asilimia 10 tu ya mapato yote, lakini kupitia hili la mkataba...
Hizi sound tumeimbiwa sana ila mwisho wa siku zinaneemesha wakubwa na small houses zao
 
Kama makusanyo anakusanya TRA wao DP WORLD wanatoa hela wapi ya kuilipa serikali? Au kazi zao ni zipi hapo bandarini?

Bandarini kuna ushuru wa aina nyingi tofauti je waweza kutuekeza ni upi utakuwa ushuru DP WORLD na ni upi utakuwa ni ushuru wa TRA? Naomba ufafanuzi mkuu kama hautojari.
 
1. Mikataba ya uwekezaji iliyosainiwa kati ya Nchi ya Tanzania na mamlaka ya Dubai kupitia Kampuni ya DP World imesainiwa kuzingatia kifungu cha 2 cha sheria ya Ubia Na. 6 ya mwaka 2023 na kifungu cha 2 cha sheria ya ununuzi wa Umma Na. 5 ya Mwaka 2023.

2. Hapo awali serikali ilikuwa inatumia takriban asilimia 90 ya mapato yaliyokusanywa katika uendeshaji wa maeneo hayo yaliyokodishwa na kubakiwa na asilimia 10 tu ya mapato yote, lakini kupitia hili la mkataba, Serikali itaweza kubaki na asilimia 60 ya mapato yote kutokana na gharama zote za uendeshaji kubakia kwa kampuni ya DP World

3. TRA itakusanya mapato kutoka shilingi Trilioni 7.8 za Mwaka 2021-2022 hadi shilingi Trilioni 26.7 kwa mwaka ifikapo mwaka 2032/33.

4. Kampuni ya DP World kupitia Mkurugenzi Mtendaji wake Ahmed Bin Sulayem inakwenda kuanza na uwekezaji wa Dola za Marekani milioni 250 sawa na shilingi bilioni 623.75 za kitanzania.

..usd 250 million ni kidogo sana.

..hata daraja la kigongo-busisi lina gharama kuliko fedha anayowekeza Dp world.

..hizo fedha hatushindwi kuwekeza wenyewe na kuchukua 100% ya mapato.

..ukiacha uwekezaji kiduchu unaofanywa na Dp, tusubiri ripoti ya kila mwaka ya CAG kuona kama tutapata faida bandarini au la.
 
Hizo trilioni 26.7 tunazipata 2024 au 2034? Kama wao watatupa asilimia 60 sawa na 26.7 wao watabeba asilimia 40 sawa na 23.3 hii biashara mbona siielewi,

Yaani mtu atoe mtaji wa 240bn kwa mwaka akombe 23,300bn?
 
1. Mikataba ya uwekezaji iliyosainiwa kati ya Nchi ya Tanzania na mamlaka ya Dubai kupitia Kampuni ya DP World imesainiwa kuzingatia kifungu cha 2 cha sheria ya Ubia Na. 6 ya mwaka 2023 na kifungu cha 2 cha sheria ya ununuzi wa Umma Na. 5 ya Mwaka 2023.

2. Hapo awali serikali ilikuwa inatumia takriban asilimia 90 ya mapato yaliyokusanywa katika uendeshaji wa maeneo hayo yaliyokodishwa na kubakiwa na asilimia 10 tu ya mapato yote, lakini kupitia hili la mkataba, Serikali itaweza kubaki na asilimia 60 ya mapato yote kutokana na gharama zote za uendeshaji kubakia kwa kampuni ya DP World

3. TRA itakusanya mapato kutoka shilingi Trilioni 7.8 za Mwaka 2021-2022 hadi shilingi Trilioni 26.7 kwa mwaka ifikapo mwaka 2032/33.

4. Kampuni ya DP World kupitia Mkurugenzi Mtendaji wake Ahmed Bin Sulayem inakwenda kuanza na uwekezaji wa Dola za Marekani milioni 250 sawa na shilingi bilioni 623.75 za kitanzania.
Kama tuliambulia 7.8trn sawa na 10% kwahiyo makusanyo yalikuwa 78trn, zingine zilienda wapi?
 
1. Mikataba ya uwekezaji iliyosainiwa kati ya Nchi ya Tanzania na mamlaka ya Dubai kupitia Kampuni ya DP World imesainiwa kuzingatia kifungu cha 2 cha sheria ya Ubia Na. 6 ya mwaka 2023 na kifungu cha 2 cha sheria ya ununuzi wa Umma Na. 5 ya Mwaka 2023.

2. Hapo awali serikali ilikuwa inatumia takriban asilimia 90 ya mapato yaliyokusanywa katika uendeshaji wa maeneo hayo yaliyokodishwa na kubakiwa na asilimia 10 tu ya mapato yote, lakini kupitia hili la mkataba, Serikali itaweza kubaki na asilimia 60 ya mapato yote kutokana na gharama zote za uendeshaji kubakia kwa kampuni ya DP World

3. TRA itakusanya mapato kutoka shilingi Trilioni 7.8 za Mwaka 2021-2022 hadi shilingi Trilioni 26.7 kwa mwaka ifikapo mwaka 2032/33.

4. Kampuni ya DP World kupitia Mkurugenzi Mtendaji wake Ahmed Bin Sulayem inakwenda kuanza na uwekezaji wa Dola za Marekani milioni 250 sawa na shilingi bilioni 623.75 za kitanzania.
Hatimae kichaa kapewa rungu mkataba kusainiwa kisirisiri hii sio haki kwa watanganyika makubaliano miaka 30 mitano 5 ya nchi 25 faida Yao huku tunapoelekea cjui serikari kugawa njia kizembe namna hii tusubiri kifuatacho kwa Kodi🤣🤣
 
Hizo trilioni 26.7 tunazipata 2024 au 2034? Kama wao watatupa asilimia 60 sawa na 26.7 wao watabeba asilimia 40 sawa na 23.3 hii biashara mbona siielewi,

Yaani mtu atoe mtaji wa 240bn kwa mwaka akombe 23,300bn?
Kaa kwa kutulia chief
 
Hizo trilioni 26.7 tunazipata 2024 au 2034? Kama wao watatupa asilimia 60 sawa na 26.7 wao watabeba asilimia 40 sawa na 23.3 hii biashara mbona siielewi,

Yaani mtu atoe mtaji wa 240bn kwa mwaka akombe 23,300bn?
Ni upuuzi unaofanywa na wapuuzi.ni vigumu sana kuyaamini haya maneno ya eti tutanufaika.
 
1. Mikataba ya uwekezaji iliyosainiwa kati ya Nchi ya Tanzania na mamlaka ya Dubai kupitia Kampuni ya DP World imesainiwa kuzingatia kifungu cha 2 cha sheria ya Ubia Na. 6 ya mwaka 2023 na kifungu cha 2 cha sheria ya ununuzi wa Umma Na. 5 ya Mwaka 2023.

2. Hapo awali serikali ilikuwa inatumia takriban asilimia 90 ya mapato yaliyokusanywa katika uendeshaji wa maeneo hayo yaliyokodishwa na kubakiwa na asilimia 10 tu ya mapato yote, lakini kupitia hili la mkataba, Serikali itaweza kubaki na asilimia 60 ya mapato yote kutokana na gharama zote za uendeshaji kubakia kwa kampuni ya DP World

3. TRA itakusanya mapato kutoka shilingi Trilioni 7.8 za Mwaka 2021-2022 hadi shilingi Trilioni 26.7 kwa mwaka ifikapo mwaka 2032/33.

4. Kampuni ya DP World kupitia Mkurugenzi Mtendaji wake Ahmed Bin Sulayem inakwenda kuanza na uwekezaji wa Dola za Marekani milioni 250 sawa na shilingi bilioni 623.75 za kitanzania.
Mwanzoni tuliambiwa dola milioni 500 kumbe rongorongo. Usishangae zikatoka Bunch of Thieves (BoT) yetu.
 
1. Mikataba ya uwekezaji iliyosainiwa kati ya Nchi ya Tanzania na mamlaka ya Dubai kupitia Kampuni ya DP World imesainiwa kuzingatia kifungu cha 2 cha sheria ya Ubia Na. 6 ya mwaka 2023 na kifungu cha 2 cha sheria ya ununuzi wa wake Ahmed Bin Sulayem inakwenda kuanza na uwekezaji wa Dola za Marekani milioni 250 sawa na shilingi bilioni 623.75 za kitanzania.
Nchi ngumu sana hii!!! Una uhakika gani kuwa ulichoambiwa na wanasiasa ndicho kilicho sainiwa?!!! Usiri wa mikataba huwa ndio chaka ziti la viongozi wa kiafrika kupigia pesa!! Na kwakuwa huwa hakuna wawakirishi wa wananchi bali wanajiwakirisha wao ndipo huwa kiama!!! Inawezekana tumepewa maneno mazuri ambayo ndio tulikuwa tunapenda kuyasikia.
 
Back
Top Bottom