Kopesha milioni 3.6 urejeshewe milioni 6 ndani ya miezi 10

Status
Not open for further replies.

MASTERCHIEF 255

JF-Expert Member
Sep 26, 2014
425
859
Habarj wakuu
Naomba niende moja kwa moja kweny mada husika.
Baada ya kufanya research yangu kwa kipindi cha miezi 2 na kugundua sasa kumbe kweli fursa ipo na inalipa.
Nimeona ni muda sasa wa kufanya kweli katika hii business.
Kwa kipindi cha miezi miwili nimekuwa humu jamiiforums kuagizishia watu bidhaa sana sana kutokea Dubai ambapo nilipokuwa huko kwa muda wa miezi 6.

UZI WANGU HUU HAPA

Ukiacha simu kuna bidhaa kama laptops, desktops, maphotocopy machine na vifaa vya stationary, spare za magari ndo kabisaa usiongelee zipo za kumwaga na machimbo yake nayajua kwakuwa nimeshakaa huko.

Hii biashara ni nzuri na inalipa kwakuwa haihitaji mtaji wa bidhaa kwakuwa mteja mwenyew anafanya pre order ndio bidhaa inaletwa.

Changamoto ambayo nimekutana nayo ni kwakuwa mm nilikuwa huko kwenyevmasoko ya hizo simu
Huku dar es salaam alikuwepo mtu ambaye alitumia nyumban kwke kama ofisi kukamilisha masuala ya malipo (kupokea pesa) na Kumchukulia mteja mzigo wake(simu) pindi unapofika..

Kwa changamoto hii ya kutokuwa na ofisi rasmi nimepoteza baadhi ya wateja kulingana na wengi kama hauna ofisi rasmi iliyokuwa registered mtu hawezi kukuamin kukuachia pesa yake.
JAMBO LINGINE
Nahitaji kupanua soko kutoka dubai sasa nianze na uagizishaj wa bidhaa kutoka china ambapo huku zinapatikana bidhaa mpya kutoka viwandani

Utofauti wa china na dubai.Dubai unahitaji uwepo wewe mwenyew au awepo mtu kusimamia zoezi hilo
ila china unaweza ukafanya kila kitu online na biashara ikaenda vizuri tu.

Nirejee kwenye kichwa cha uzi kinavyosema
Ninachohitaji kutoka kwenu ni kusurppotiana katika hili kwa njia kati ya hizi zifuatazo kwa atakayekuwa tayr na jambo amelielwa na lipo ndani ya uwezo wake..

Ninachohitaji ni mkopo wa milioni 3.6 tu ambao nitautumia kufungulia ofisi ya hii biashara ...
Mchanganuo wake ni huu hapa ..

Ofisi = 1,500,000 (Miezi 3 @ 500,000 kwa mwezi)
Computer 2 = 500,000 ( @ 250,000 kwa moja)
Meza 3 = 600,000 (@ 200,000 kwa moja)
Viti 5 = 500,000 (@ 100,000 kwa kiti)
Usajili = 300,000 (Brela, TRA, Leseni)
Facebook Ads = 200,000( matangazo ya social media)

NB:- Ninachohitaji ni hivyo vitu tu hapo juu .Wala huhitaji kunikabidhi pesa wewe simamia malipo na manunuzi ya hivyo vitu kisha nikabidhi mimi nivitumie.
Njia ya kurejesha mkopo ni 600,000 kwa kila Mwisho wa mwezi ndani ya miezi 10..( october 2023 - july 2024)

Ninaamini kuna watu ambao hiki kiasi cha pesa wamekihifadhi tu labda kwa matumizi ya baday..
Mimi ningependa ukiwekeze katika wazo langu ili kiweze kukua maradufu..

Mwingine anaweza akawa ana zaidi ya kiasi hiki basi kupitia ofisi hii hii tunaweza tumia kama mtaji wa biashara kwa kuagiza mali kwa supplier kwa jumla na kuleta kuuza kwa wateja wa reja reja..

Hii ni model nyingne kwa wanaohitaji uwekezaji
Mimi nipo active 100% kwenye hii biashara kwahiyo nina muda wa kutosha kufanya research ya bidhaa na kujua uagize bidhaa ipi na inalipaje kisha tunakubaliana kiasi utakachopokea kama faida baada ya mzigo kuisha..

Naziona fursa nyingi ila mpka pale patakapokuwa na ofisi rasmi ndio watu wanajenga trust na kuamini hii biashara.

Background yangu ni masuala ya I.T na digital marketing kwa maana hiyoo masuala yotr ya online na marketing mimi mwenyewe ninayamudu..
nguvu kazi na watu wa ofisini wote wapi wa kuanza nao hii kazi..

Ninachomiss ni hicho kiasi tu cha kunianzishia safari yangu ya biashara mpyaa..

Nimeeleza kwa uwazi zaidi sikuhitaji masuala ya maelezo zaidi njoo pm.

Kila kitu nimeweka wazi nini nahitaji kufanya

Ninaomba sapoti yenu katika hili..
nakaribisha maswali , ushauri na maoni pia..

ASANTENI SANA

Title ieleweke hivi

KOPESHA MILIONI 3.6 UREJESHEWE 6M NDANI YA MIEZI 10​

 
Bado uu mtt kwenye hela na kwenye biashara. Komaa bana Kuna watu walianza zero wakawa mabilionea. Kama una kichwa Cha biashara huhitaji mtaji kufanya biashara Bali inahitajika akili ya mjasiriamali kufanya biashara.
Nikuulize kitu wewe unaweza ukanikopesha alfu 50k nikurudishie mwisho wa mwezi na riba ya 40%.

Sikukatishi tamaa Bali nasema kuwa u mchanga Kuna miaka itafikia utakumbukq hii kauli yangu.
Why usiende bank Mana kule Kuna wanaohifadhi hela wanazo na hawajui kuwa wazifanyie Nini na Kuna watu Kama wewe huna hela ila una akili ya kuwa utazifanyia Nini so ukienda watakupatia fasta..
Yaani hela sijui ofisi ufunguliwe kwa upendo Kama vile Ni mzazi wako unamshawishi.
Nikuulize swali mfano mie nikakupatia nikifa ama wewe ukifa, biashara ikafa,ukafilisika,wizi ,moto,meli ikazama ,mtu atapaje hela yake.
Ama umekariri kuwa Leo ilivyo na kesho itakuwa ivyo ivyo.
Najua hutopenda Mana Niko kinyume na wewe na umeonyesha ulivyo mtt. Fanya mpango kwanza utume alfu kumi hapa nijiunge kifurushi.
Ingia angle investor
 
Hii biashara haihitaji mtaji zaid ya ofisi na marketing
bali mteja analipia ndio bidhaa Inaagizwaa...yaan unapewa oda ndio unaagizishia watu..
si kila mtu anawez kuagiza na kusimamia mpka bidhaa ikamfikia alipo..
kwahiyo hii ndio huduma ninayoenda kuitoa
Ooooh sawa kazi njema
 
Bado uu mtt kwenye hela na kwenye biashara. Komaa bana Kuna watu walianza zero wakawa mabilionea. Kama una kichwa Cha biashara huhitaji mtaji kufanya biashara Bali inahitajika akili ya mjasiriamali kufanya biashara.
Nikuulize kitu wewe unaweza ukanikopesha alfu 50k nikurudishie mwisho wa mwezi na riba ya 40%.

Sikukatishi tamaa Bali nasema kuwa u mchanga Kuna miaka itafikia utakumbukq hii kauli yangu.
Why usiende bank Mana kule Kuna wanaohifadhi hela wanazo na hawajui kuwa wazifanyie Nini na Kuna watu Kama wewe huna hela ila una akili ya kuwa utazifanyia Nini so ukienda watakupatia fasta..
Yaani hela sijui ofisi ufunguliwe kwa upendo Kama vile Ni mzazi wako unamshawishi.
Nikuulize swali mfano mie nikakupatia nikifa ama wewe ukifa, biashara ikafa,ukafilisika,wizi ,moto,meli ikazama ,mtu atapaje hela yake.
Ama umekariri kuwa Leo ilivyo na kesho itakuwa ivyo ivyo.
Najua hutopenda Mana Niko kinyume na wewe na umeonyesha ulivyo mtt. Fanya mpango kwanza utume alfu kumi hapa nijiunge kifurushi.
Ingia angle investor
asante kwa ushauri
 
Bado uu mtt kwenye hela na kwenye biashara. Komaa bana Kuna watu walianza zero wakawa mabilionea. Kama una kichwa Cha biashara huhitaji mtaji kufanya biashara Bali inahitajika akili ya mjasiriamali kufanya biashara.
Nikuulize kitu wewe unaweza ukanikopesha alfu 50k nikurudishie mwisho wa mwezi na riba ya 40%.

Sikukatishi tamaa Bali nasema kuwa u mchanga Kuna miaka itafikia utakumbukq hii kauli yangu.
Why usiende bank Mana kule Kuna wanaohifadhi hela wanazo na hawajui kuwa wazifanyie Nini na Kuna watu Kama wewe huna hela ila una akili ya kuwa utazifanyia Nini so ukienda watakupatia fasta..
Yaani hela sijui ofisi ufunguliwe kwa upendo Kama vile Ni mzazi wako unamshawishi.
Nikuulize swali mfano mie nikakupatia nikifa ama wewe ukifa, biashara ikafa,ukafilisika,wizi ,moto,meli ikazama ,mtu atapaje hela yake.
Ama umekariri kuwa Leo ilivyo na kesho itakuwa ivyo ivyo.
Najua hutopenda Mana Niko kinyume na wewe na umeonyesha ulivyo mtt. Fanya mpango kwanza utume alfu kumi hapa nijiunge kifurushi.
Ingia angle investor
sijataka msaada wala upendo ndio maana nimesema mkopo 3.6M malipo 6M kwa miezi 10..
 
Bado uu mtt kwenye hela na kwenye biashara. Komaa bana Kuna watu walianza zero wakawa mabilionea. Kama una kichwa Cha biashara huhitaji mtaji kufanya biashara Bali inahitajika akili ya mjasiriamali kufanya biashara.
Nikuulize kitu wewe unaweza ukanikopesha alfu 50k nikurudishie mwisho wa mwezi na riba ya 40%.

Sikukatishi tamaa Bali nasema kuwa u mchanga Kuna miaka itafikia utakumbukq hii kauli yangu.
Why usiende bank Mana kule Kuna wanaohifadhi hela wanazo na hawajui kuwa wazifanyie Nini na Kuna watu Kama wewe huna hela ila una akili ya kuwa utazifanyia Nini so ukienda watakupatia fasta..
Yaani hela sijui ofisi ufunguliwe kwa upendo Kama vile Ni mzazi wako unamshawishi.
Nikuulize swali mfano mie nikakupatia nikifa ama wewe ukifa, biashara ikafa,ukafilisika,wizi ,moto,meli ikazama ,mtu atapaje hela yake.
Ama umekariri kuwa Leo ilivyo na kesho itakuwa ivyo ivyo.
Najua hutopenda Mana Niko kinyume na wewe na umeonyesha ulivyo mtt. Fanya mpango kwanza utume alfu kumi hapa nijiunge kifurushi.
Ingia angle investor
Daah Ila wabongo mmezidi ujuaji sana sasa kaka kuna biashara isiyo na risk??..unaongelea mambo ya kufa nani asiyejua kua kuna kufa kwahyo watu wote walioanzisha biashara kwa partnership au kwa mkopo wangekua wanafikiria hii dhana kuna watu wangefanikiwa kweli..

Unakuja hapa unamkatsha mtu tamaa eti una utoto...yan wewe ni bogus, mshamba halaf una wivu wa kijinga yan nataman radi ipige watu kama nyie mpotee sabb mpo kurudisha watu nyuma tu kwa point za kisenge..

Mtoa mada anaonyesha kabsa kuna kitu ameona vile vile risk ipo na inajulikana kabsa kila biashara ni risk na ngoja nikwambie stuffs za online zozote ya za aina zote kwa miongo hii zina hela sana kuliko unavyofkiria sio biashara zenu hiz za kuuza nguo unakariri tu.
 
Daah Ila wabongo mmezidi ujuaji sana sasa kaka kuna biashara isiyo na risk??..unaongelea mambo ya kufa nani asiyejua kua kuna kufa kwahyo watu wote walioanzisha biashara kwa partnership au kwa mkopo wangekua wanafikiria hii dhana kuna watu wangefanikiwa kweli..

Unakuja hapa unamkatsha mtu tamaa eti una utoto...yan wewe ni bogus, mshamba halaf una wivu wa kijinga yan nataman radi ipige watu kama nyie mpotee sabb mpo kurudisha watu nyuma tu kwa point za kisenge..

Mtoa mada anaonyesha kabsa kuna kitu ameona vile vile risk ipo na inajulikana kabsa kila biashara ni risk na ngoja nikwambie stuffs za online zozote ya za aina zote kwa miongo hii zina hela sana kuliko unavyofkiria sio biashara zenu hiz za kuuza nguo unakariri tu.
According to your mindset you're right na sijamkatisha tamaa. Tafuta nyuzi zangu huwa Zina chuki otherwise umeni perceive wrong.
Ishu niliyomaanisha hakuna pesa ya jitahidi ivyo mtu atoe tu ampatie mtu ,Basi Kama vipi wewe mpatie. Watu wanaomfahamu ndio wanaweza wakampatia.
Pia nimeonyesha kuwa anaweza akaomba bank akakamilisha Mambo yake.

Nikaongezea kuwa kumiliki biashara hakuhitaji kuwa na hela Ila Ile Ari na uchu wa kumiliki ama kufanikisha biashara fulani unafanikiwa so aende mdogomdogo akifosi atapata iyo faida ndani ya hata miezi sita na ataanza kuifungua iyo ofisi na kumuweka mdada msafi.
Sema bana umeshaona kuwa mie Nina chuki na kumkatisha tamaa na kile ubongo umeamua kukiona ndicho utakachokiona.
Or we see things as we're and not as they're.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom