Mwaipopo akemewe ataleta balaa la chuki za kidini

Mwaipopo akemewe ataleta balaa la chuki za kidini

Mdini Kuliko walivyokuwa Mkapa, Nyerere , na Magufuli , waliouwa watu ??
Kuna shekhe mmoja alimsifia sana magufuli kuwa sio mdini na ndiye aliye harakisha yeye kupewa eneo alilo kuwa anakitaka ila nimemsahau tu.

Alafu nikivuta kumbukabu siioni kama Magufuli alikuwa karibu sana na mambo ya udini zaidi ya kwenda kanisani kisha kutoa maneno kadhaa ambayo Kuna muda ilionekana kama sio sawa hasa humu jf
 
Huyo ni mnyakyusa wala sio shekhe waislamu hatumuungi mkono angalia tu alivyo mtu wa hovyo kabisa.

Hakuna muislamu anaweza kuunga mkono huyo mjinga ,clip imesambaa magroup kibao watu wanampinga...
Uislam haujali kabila la mtu,hukupaswa kuweka kabila lake
 
Serikali imedhibiti haraka sana, endapo watapita misikitini , kuhubiri hizo chuki ,watakuwa wamepanda mbegu mbaya, pia inaonekana hana elimu, upeo wake ni mdogo sana. Chuki hizo haziwezi kuishia kwa chadema tu zitaingia na ndani ya ccm, huyo ni pandikizi kwenye uislamu ili auchafue uislamu
 
Ndio maana yake, ina mwenyekiti, makamu wenyeviti wawili, waziri mkuu wote waislamu
Na hiyo inakidhi vigezo vya kuwa CCM inachukia wakiristo!?..ndiyo mnalawitiwa na viongozi wenu wa dini,akili hamna
 
Huyo jamaa analeta mpasuko ...Mi naona anatumwa maana hata anavyoongea haeleweki kabisa ...Anaruka mara huku ndani ya mda mchache anaongea mambo mengi mno 😅😅
Hao wanaomtuma mbona ndo hawana akili kuliko huyo Shehe Ubwabwa?

Unapotaka Wakristo wajitenge na CCM kuwapisha waislamu huoni huo ni upumbavu? Anapoona waislamu hapo kwenye uongozi wa juu anadhani hata wanachama ni wengi kiasi hicho?

Ndo maana Israel ameamua kuwafutilia mbali hawa viumbe
 
Huyo ni mnyakyusa wala sio shekhe waislamu hatumuungi mkono angalia tu alivyo mtu wa hovyo kabisa.

Hakuna muislamu anaweza kuunga mkono huyo mjinga ,clip imesambaa magroup kibao watu wanampinga...
Waislamu ninaowafahamu Mimi hawawezi kumuunga mkona mbumbumbu huyu kavimbiwa maparachichi ya tukuyu hovyo kabisa
 
Kuna hate religious speech ya huyu anayejiita sheikh Mwaipopo ina trend hiko X (Tweeter), akihubiri Waislam watu wajenge chuki dhidi ya ukristo. Huyu anaipeleka nchi pabaya. Kuna wajinga watamsikiliza! Kama ametumwa na CCM, basi CCM mnachanga karata vibaya!

Huyu ni hatari, serikali, mamlaka husika mkemeeni.

Nape ame mute , ikiashiria ana baraka zake, directly, kama siyo hivyo basi by necessary implication

Hakuna wa kumgusa kwa sababu ametumwa na CCM.
 
Uislam haujali kabila la mtu,hukupaswa kuweka kabila lake
Ni kweli ila watu wanasema kwa mtazamo dini yake, wataje mtu fulani kwa utambulisho wake yaani Mwaipopo mnyakyusa wa Mbeya ... Hatutaki dini kuchezewa inaleta ugomvi angalia mwenyewe Kweny comment mabishano ya kidini
 
Kuna hate religious speech ya huyu anayejiita sheikh Mwaipopo ina trend hiko X (Tweeter), akihubiri Waislam watu wajenge chuki dhidi ya ukristo. Huyu anaipeleka nchi pabaya. Kuna wajinga watamsikiliza! Kama ametumwa na CCM, basi CCM mnachanga karata vibaya!

Huyu ni hatari, serikali, mamlaka husika mkemeeni.

Nape ame mute , ikiashiria ana baraka zake, directly, kama siyo hivyo basi by necessary implication


Check za CCM imeaanza kutembezwa .... DPW watakuwa pia wamewapa mpunga wa kufa mtu.
 
Kuna hate religious speech ya huyu anayejiita sheikh Mwaipopo ina trend hiko X (Tweeter), akihubiri Waislam watu wajenge chuki dhidi ya ukristo. Huyu anaipeleka nchi pabaya. Kuna wajinga watamsikiliza! Kama ametumwa na CCM, basi CCM mnachanga karata vibaya!

Huyu ni hatari, serikali, mamlaka husika mkemeeni.

Nape ame mute , ikiashiria ana baraka zake, directly, kama siyo hivyo basi by necessary implication

Mkaa inaponza Makalio[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
 
Kuna hate religious speech ya huyu anayejiita sheikh Mwaipopo ina trend hiko X (Tweeter), akihubiri Waislam watu wajenge chuki dhidi ya ukristo. Huyu anaipeleka nchi pabaya. Kuna wajinga watamsikiliza! Kama ametumwa na CCM, basi CCM mnachanga karata vibaya!

Huyu ni hatari, serikali, mamlaka husika mkemeeni.

Nape ame mute , ikiashiria ana baraka zake, directly, kama siyo hivyo basi by necessary implication

Hakuna kibaya alichokiongea.

Kwani maaskofu n chadema hawakuungana kuipinga DP World, au umesahau?

W"Wafanye wao wakifanya wenzao huwa mwao".

Mimi binadsi kwa kuwataka Waislam tu waamke na wagombee nafasi zote za kisiasa na kijamii, uzi ukapigwa pin hapa JF, kama siyo chuki za wakristo kwa Waislam ni nini?
 
Huyo ni mnyakyusa wala sio shekhe waislamu hatumuungi mkono angalia tu alivyo mtu wa hovyo kabisa.

Hakuna muislamu anaweza kuunga mkono huyo mjinga ,clip imesambaa magroup kibao watu wanampinga...
Wanyakyusa pia hatumjui hakuna Mnyakyusa muislamu
 
Kuna hate religious speech ya huyu anayejiita sheikh Mwaipopo ina trend hiko X (Tweeter), akihubiri Waislam watu wajenge chuki dhidi ya ukristo. Huyu anaipeleka nchi pabaya. Kuna wajinga watamsikiliza! Kama ametumwa na CCM, basi CCM mnachanga karata vibaya!

Huyu ni hatari, serikali, mamlaka husika mkemeeni.

Nape ame mute , ikiashiria ana baraka zake, directly, kama siyo hivyo basi by necessary implication

Sasa nimekubali huyu jamaa anakunywaga Ile pombe inayoitwa Master inayotengenezwa Mbeya.
 
Mkaa inaponza Makalio[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]

Masikini alikuwa hajui anachonyeshwa 😭😭😭

1705678742844.jpeg
 
Back
Top Bottom