Assalaamu Alaikum Warahmatullahi Wabarakaatuh, Sheikh Mwaipopo.
Kwanza napenda kukusalimu kwa heshima na upendo wa Kiislamu. Nakuandikia barua hii si kwa chuki wala nia ya kukushusha hadhi, bali kwa sababu katika Uislamu wetu tunafundishwa kukumbushana katika haki na mema.
Sheikh, historia...