Mwaipopo akemewe ataleta balaa la chuki za kidini

Mwaipopo akemewe ataleta balaa la chuki za kidini

Kuna Watu wamepata wasiwasi na mashaka baada ya Shehe Mwaipopo kuishutumu Chadema Kwamba inatembea na Padre

Ni Yeye mwenyewe Shehe Mwaipopo ndio alikiri Kwamba Katoliki ndio Dini kubwa duniani

Sasa kuna ubaya gani Chadema kutembea na Padre au mstaafu kumlipia matibabu Kardinali?

Mashehe wengine tusiwachukulie serious labda Alhaj Kundecha pekee

Jumaa Mubarak 😄😄🔥
Hahahahahaha 🤣😂
 
Kuna Watu wamepata wasiwasi na mashaka baada ya Shehe Mwaipopo kuishutumu Chadema Kwamba inatembea na Padre

Ni Yeye mwenyewe Shehe Mwaipopo ndio alikiri Kwamba Katoliki ndio Dini kubwa duniani

Sasa kuna ubaya gani Chadema kutembea na Padre au mstaafu kumlipia matibabu Kardinali?

Mashehe wengine tusiwachukulie serious labda Alhaj Kundecha pekee

Jumaa Mubarak 😄😄🔥
Huyu Mwaipopo wa sasa na yule Mwaipopo wa miaka ya 90's akiwa na Sheikh Mazinde ni mtu yule yule?
 
Kuna hate religious speech ya huyu anayejiita sheikh Mwaipopo ina trend hiko X (Tweeter), akohubiri Waislam watu wajenga chuki ukristo. Huyu anaipeleka nchi pabaya. Kuna wajinga watamsikiliza! Kama ametumwa na CCM, basi CCM mnachanga karata vibaya!

Huyu ni hatari, serikali, mamlaka husika mkemeeni.

Nape ame mute , ikiashiria ana baraka zake, directly , kama siyo hivyo basi by necessary implication
Njaa hamuabudu Mungu anatumika, na hana uelewa wa dini yoyote
 
Kuna watu watanuna, na wakati alichokisema huyo Sheikh kina ukweli kwa 100%
 
Kama ametumwa,basi aliemtuma na yeye akili zao ziko mbioni kuexpire
Kwa kifupi huyo jamaa akili hana ,hana ata chembe,na muslims mnisamehe ila wasemaji wengi wamekua wakizungumza kwa mihemko/chuki/udini
 
Kuna hate religious speech ya huyu anayejiita sheikh Mwaipopo ina trend hiko X (Tweeter), akihubiri Waislam watu wajenge chuki dhidi ya ukristo. Huyu anaipeleka nchi pabaya. Kuna wajinga watamsikiliza! Kama ametumwa na CCM, basi CCM mnachanga karata vibaya!

Huyu ni hatari, serikali, mamlaka husika mkemeeni.

Nape ame mute , ikiashiria ana baraka zake, directly , kama siyo hivyo basi by necessary implication
ataleta chuki kwa wenye imani haba wenzie na wafia dini wa mchongo kama yeye 🐒,

walewa wanampuuza tu
 
kwenye siasa za kuleta udini mara zote sisiem hua anakomba kijiji
Masheikh miyeyusho wote ni nyuki wa kijan
 
Huyo ni mnyakyusa wala sio shekhe waislamu hatumuungi mkono angalia tu alivyo mtu wa hovyo kabisa.

Hakuna muislamu anaweza kuunga mkono huyo mjinga ,clip imesambaa magroup kibao watu wanampinga...
Lakini akili na uwezo wake wa kupambanua mambo unafanana na uislam na waislamu.
Sioni mantiki ya kumvua uislamu wake maana ame- qualify.
 
Back
Top Bottom