Maza ni mbaya wa chini chini amejificha kwenye dini
Umekuwa msemaji wa maza ?? ndivyo alivyokuambia 😛😛😛
Maza ni mbaya wa chini chini amejificha kwenye dini
Kapakwe mafuta huko,papa karuhusuKwa lugha chafu kama hiyo utakuwa ni mfuasi wa "mtume" shoga wa kiarabu
Exactly, bila kibali cha dola hawezi kuongea laana kama hiyoAna ruhusa ya kuongea yote hayo
Huoni anavyojiamini!
Not at all! Wanayemtuma anaamua kusema hayo as long as anaingiza chadema.Are you saying CCM wana chuki na Wakristo?
Huu ndiyo ubunifu wa Makonda, kweli CCM imeishiwa hoja,kumkodi huyu kichaa eti kuishusha Chadema.Kuna hate religious speech ya huyu anayejiita sheikh Mwaipopo ina trend hiko X (Tweeter), akihubiri Waislam watu wajenge chuki dhidi ya ukristo. Huyu anaipeleka nchi pabaya. Kuna wajinga watamsikiliza! Kama ametumwa na CCM, basi CCM mnachanga karata vibaya!
Huyu ni hatari, serikali, mamlaka husika mkemeeni.
Nape ame mute , ikiashiria ana baraka zake, directly, kama siyo hivyo basi by necessary implication
Hamjui kibaka Mwaipopo huyo kawaibia waislamu swala Tano na mihadhara yake ya kusingizia kuwa Wakristo kibao wanaslimu wanafukuzwa majumbani akaomba misaada kibao ya kujenga misikiti Eti Walau wawe wanalala misikitini Kwa kuanzia sababu wengi wanaosilimu wanaume waislamu wakampa mahela kibao akajenga vimisikiti kibao barabara ya Dar kwenda mbeya Hadi porini barabarani barabara kuu vile vyenye rangi ya kijani juu waamini uislamu Tanzania Wakristo wamesilimu Kila Kona ile misikiti hiyo ya barabarani barabara ya mbeya Kwake ya Dar mbeya mingi wanaishi mijusi na ngedere hakuna Cha mwislamu hata mmoja eneo Hilo majani yameota Hadi kiblaWewe ndio umemjua leo Mwaipopo?
👊👊🙏🙏🙏 kila uchaguzi ukikaribia Mazezeta dizaiñi hii huibuka.Wakati CCM ndio wamemtuma
Ccm wenyewe wanakenua tu maana anaichafua cdmKuna hate religious speech ya huyu anayejiita sheikh Mwaipopo ina trend hiko X (Tweeter), akihubiri Waislam watu wajenge chuki dhidi ya ukristo. Huyu anaipeleka nchi pabaya. Kuna wajinga watamsikiliza! Kama ametumwa na CCM, basi CCM mnachanga karata vibaya!
Huyu ni hatari, serikali, mamlaka husika mkemeeni.
Nape ame mute , ikiashiria ana baraka zake, directly, kama siyo hivyo basi by necessary implication
Sasa kwanini wasimuhamishie kabisa Dubai?Huyo shekh anapokea pesa kila mwezi kutoka kwa waarabu waliouziwa bandari
Na ameahidiwa kujengewa misikiti mbeya na nyanda za juu kusini
Pesa za mwarabu zinamfanya awaone ndugu zake wa mbeya km takataka
WanajidhalilishaWakati CCM ndio wamemtuma
Kwani hana majirani zake wa karibu wakamfundisha adabu?Huyo ni mnyakyusa wala sio shekhe waislamu hatumuungi mkono angalia tu alivyo mtu wa hovyo kabisa.
Hakuna muislamu anaweza kuunga mkono huyo mjinga ,clip imesambaa magroup kibao watu wanampinga...
Wachana na huyu mwehuKwahio?
Kitengo kama ndiyo kweli basi kinapoteza credibilityAjabu nasikiaga ni kitengo
Watachafukwa wao ccm maana Mungu daima yupo upande wa wanyongeCCM imeshaona haipo tena hata ndani ya nafsi za wafuasi wake. Imeamua kuparanganya nchi ili chama kitakachokabidhiwa nchi kijikute katikati ya machafuko
Ukimkuta Nyani Kariakoo ujue Kuna aliye mleta mjiniAna ruhusa ya kuongea yote hayo
Huoni anavyojiamini!
Hilo halina ubishiKatumwa na ccm
Kama huyu anaitwa Lucas Mwashambwa, yaani huyu anawaibisha Wanyakyusa mbayaWanyakyusa ni watu makini sana...ila ukimkuta fala anakuwa mpuuzi kwelikweli....
Wewe ndiye punga kabisa yaani watu wanaongea mambo constructively kwa taifa wewe unakuja na itikadi zako za diniBaada ya kuongea ukweli ambao wazee wa [emoji304] hamuupendi si ndio? Naunga mkono Mwaipopo