Mambo gani tena kuleta mpasuko? Kasaliti dini ya baba ake huyo sio wa kumuamini kabisa.Lakini akili na uwezo wake wa kupambanua mambo unafanana na uislam na waislamu.
Sioni mantiki ya kumvua uislamu wake maana ame- qualify.
Naona Leo umeamka vizur mkuu na siku iishe hivi hivi.Huyo ni mnyakyusa wala sio shekhe waislamu hatumuungi mkono angalia tu alivyo mtu wa hovyo kabisa.
Hakuna muislamu anaweza kuunga mkono huyo mjinga ,clip imesambaa magroup kibao watu wanampinga...
Analipwa na CCMKuna hate religious speech ya huyu anayejiita sheikh Mwaipopo ina trend hiko X (Tweeter), akihubiri Waislam watu wajenge chuki dhidi ya ukristo. Huyu anaipeleka nchi pabaya. Kuna wajinga watamsikiliza! Kama ametumwa na CCM, basi CCM mnachanga karata vibaya!
Huyu ni hatari, serikali, mamlaka husika mkemeeni.
Nape ame mute , ikiashiria ana baraka zake, directly, kama siyo hivyo basi by necessary implication
Kitengo wapi huyo ni chakula tu watu wanajilia kisamvu cha kopo.Ww tangu lini mwarabu ujipenekeze kwake akuache salamaAjabu nasikiaga ni kitengo
Kafanya vizuri. Katafuta dini anayoona ni ya kweli na kaifuata. Mi namheshimu sana mtu anayetafuta dini yake mwenyewe.Mambo gani tena kuleta mpasuko? Kasaliti dini ya baba ake huyo sio wa kumuamini kabisa.
Huyu auwawe tuKuna hate religious speech ya huyu anayejiita sheikh Mwaipopo ina trend hiko X (Tweeter), akihubiri Waislam watu wajenge chuki dhidi ya ukristo. Huyu anaipeleka nchi pabaya. Kuna wajinga watamsikiliza! Kama ametumwa na CCM, basi CCM mnachanga karata vibaya!
Huyu ni hatari, serikali, mamlaka husika mkemeeni.
Nape ame mute , ikiashiria ana baraka zake, directly, kama siyo hivyo basi by necessary implication
Tukiwaambiwa maza ameleta udini nchini mnatuona wabayaKama ametumwa,basi aliemtuma na yeye akili zao ziko mbioni kuexpire
Kwa kifupi huyo jamaa akili hana ,hana ata chembe,na muslims mnisamehe ila wasemaji wengi wamekua wakizungumza kwa mihemko/chuki/udini
Ipasuke mara ngapi? maza ni mdini no 1Hii nchi itakuja kupasuliwa na udini. Ni swala la muda tu.
Huyo shekh anapokea pesa kila mwezi kutoka kwa waarabu waliouziwa bandari
Na ameahidiwa kujengewa misikiti mbeya na nyanda za juu kusini
Pesa za mwarabu zinamfanya awaone ndugu zake wa mbeya km takataka
Ipasuke mara ngapi? maza ni mdini no 1
Hawa jamaa nimegundua kitu huwa wakiamua kula na wajinga wanakula mpaka wanapitiliza huyu jamaa ni mtu wangu wa karibu sana ukikaa naye kuongea mambo mengi ana akili nzuri tu sema hapa kaamua tu kuchangamsha genge na anapata pesa nzuri tu kaamua kuishi kwa style hii so mumwelewe tu.Wanyakyusa ni watu makini sana...ila ukimkuta fala anakuwa mpuuzi kwelikweli....
Kumbe CCM ya Samia ni chama cha kiislamu na kizanzibari!Kuna hate religious speech ya huyu anayejiita sheikh Mwaipopo ina trend hiko X (Tweeter), akihubiri Waislam watu wajenge chuki dhidi ya ukristo. Huyu anaipeleka nchi pabaya. Kuna wajinga watamsikiliza! Kama ametumwa na CCM, basi CCM mnachanga karata vibaya!
Huyu ni hatari, serikali, mamlaka husika mkemeeni.
Nape ame mute , ikiashiria ana baraka zake, directly, kama siyo hivyo basi by necessary implication
Ndio maana yake, ina mwenyekiti, makamu wenyeviti wawili, waziri mkuu wote waislamuAre you saying CCM wana chuki na Wakristo?